kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,307
- 12,602
Mpaka sasa CCM na CHADEMA vina wafuasi wengi sana kwenye mikutano yao ya kampeni. Kama wingi wa watu ni mojawapo ya viashiria vya kuungwa mkono na watu wengi basi ccm na chadema vinaungwa mkono wa watu wengi.
Nionavyo mimi hamasa ni kubwa sana kwa vyama vyote, hivyo mtu atajidanganya mwenyewe kama atasema kuwa CCM au CHADEMA imeshinda uchaguzi huu wa 2020 kwa kishindo. Hata kama takwimu zitafanywa sionyeshe hivyo lakini kuna mtu au watu nafsi itawasuta kwelikweli.
Maendeleo hayana chama na Tanzania ni yetu sote na maendeleo yakija wadau ni sisi sote., Hivi kuna ubaya gani kama watanzania hawa wote wakijumuishwa kwenye selikali ijayo ili wajione sehemu ya serikali yao?
Nionavyo mimi hamasa ni kubwa sana kwa vyama vyote, hivyo mtu atajidanganya mwenyewe kama atasema kuwa CCM au CHADEMA imeshinda uchaguzi huu wa 2020 kwa kishindo. Hata kama takwimu zitafanywa sionyeshe hivyo lakini kuna mtu au watu nafsi itawasuta kwelikweli.
Maendeleo hayana chama na Tanzania ni yetu sote na maendeleo yakija wadau ni sisi sote., Hivi kuna ubaya gani kama watanzania hawa wote wakijumuishwa kwenye selikali ijayo ili wajione sehemu ya serikali yao?