Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
Sio siri tena kwa sasa Tanzania inatajwa vibaya sana duniani kuhusu mapambano dhidi ya COVID-19. Bahati mbaya hali hiyo imepelekea kuitaja Tanzania kama kitovu kipya cha kusambaza maambukizi ya COVID-19 (Covid-19 Epicentre) kwa ukanda wa maziwa makuu.
Hali hii inatokana na hatua ya nchi kadhaa...
SWAHILI:
CORONAVIRUS: BoT YAONGEZA KIWANGO CHA MIAMALA YA KWENYE SIMU NA UNAFUU KWA HATI FUNGANI
Kamati ya Sera ya Fedha ya Bodi ya Benki Kuu ya Tanzania imepitisha hatua mbalimbali za kisera zinazolenga kukabiliana na athari za mlipuko wa #COVID19 katika Uchumi ili kudumisha uthabiti wa Sera...
RwandAir secures deal to transport fish from Tanzania to Belgium
Kigali. RwandAir has on Tuesday, May 12 announced that it has secured a deal with Tanzania that will see the airline transport cargo from Mwanza airport to Brussels, Belgium.
“Today we inaugurated our cargo flight from Mwanza...
NA: ALLY KATALAMBULA
Kwa sentensi ndefu na wino uliokolezwa kwa maandishi makubwa na madogo, mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Mh: Chritina Mndeme, SIYO RAIA WA TANZANANIA na kwa miaka mitano ya JPM yeye ndio ‘Man Of The Match’
Sauti imetosha? Au niongeze kidogo?
Siku za nyuma niliwahi kuandika...
Mji wa Nakonde unaopakana na Tunduma iliyo Tanzania unapata maambukizi mapya ya COVID 19 ndani ya saa 24 zilizopita kuliko mji mkuu wa Lusaka kwa mujibu wa wizara ya afya ya Zambia.
Wakati haya yakiendelea kwa upande wa Tanzania tunaarifiwa kuwa waziri wa afya yupo katika hatua za mwisho...
Ni jambo ambalo sio jema watu kutaka kuutumia huu ugonjwa kutaka kupata umaarufu wa kisiasa.
WHO ilishatoa muongozo wa namna kila nchi itapambana vipi na huu ugonjwa kulingana na uchumi wake.
Jambo la msingi ni kuzingatia misingi inayotakiwa kujilinda na huu ugonjwa.Kama kuvaa mask kila...
JE TANZANIA INAFICHA VIFO
Hii ni habari kwenye kurasa za Aljazeera ambapo watanzania kadha wamehojiwa.
Kipengere hiki ndio kinashtua, kama ilala tuu tarehe 27th kwenye daftari la mazishi ya waliokufa kwa corona ilikua zaidi 256, basi hali ni mbaya.
Article naiweka kama ilivyo kwa kingereza...
Arusha, Tanzania - Omari*, a motorcycle taxi driver, stopped outside a house in Arusha City, a tourist hub in northern Tanzania and pointed to a large, grey gate.
"A person here died from COVID a few days ago," he said, before starting up his engine again and continuing down the city's...
Mimi binafsi nasema ni jambo la kumshukuru Mungu kwasababu amejibu maombi yetu na tumeishinda corona.
Hatahivyo ninafahamu kuwa kuna wale ambao nyungu imewasaidia. Kuna member humu waliotoa ushuhuda.
Kwa hali inavyoendela, dawa tunazo za kutosha zimezinduliwa na wataalam wetu na kuthibitishwa...
Akihojiwa na DW, waziri wa zamani wa mambo ya nje mheshimiwa Bernard Camilius Membe amesema katika awamu hii ya utawala wa Magufuli, diplomasia imeshuka mno.
Membe anaonya kwamba, tanzania awamu hii inajiendeshea mambo kivyakevyake nje ya utaratibu wa jumuia ya kimataifa.
Akoingelea suala la...
Hali ya siasa za Tanzania ni ya kutisha sana, na vyama vyote vya siasa vina hatia, CCM kama chama tawala na vyama vya upinzani. Imefikia mahali ambapo kuna chuki, ubabe, kukomoana, kusalitiana, kutukanana, kudharauliana na hata kuuana, sio tu kati ya chama tawala na vyama vya upinzani, bali pia...
Habari Wakuu,
Hali ya maambukizi ya corona hapa nchini kwa sasa haifahamiki zaidi ya sintofahamu tu huku watu wakiendelea kufanya shughuli zao kama kawaida
Watanzania tuko njia panda sasa tusielewe hali ya nchi hii kwa vita ya covid19 mpaka kujiuliza maswali kama hali ya mipaka ya nchi iko...
Nimestushwa sana na kauli ya Spika wa Bunge la Tanzania, aliyoitoa jana kuhusiana na wabunge wa Chadema, waliofukuzwa uanachama katika kikao cha Kamati Kuu ya Chadema.
Spika Ndugai amenukuliwa akiwaambia wabunge hao kuwa hatambui kufukuzwa kwao uanachama na chama chao cha Chadema na hivyo...
Jana tumeona ya Zambia, leo ya Wakenya tisa wameingia kutoka Tanzania wote wameathirika, duh! Bongo imekua vipi, hizo sera za kila kitu ruksa hata kusongamana kwenye vilabu kutawaponza sana.
=======
Nine Kenyan truck drivers who arrived in the country from Tanzania are among 28 people who...
Taarifa kutoka Kenya zinadokeza kwamba Uhuru kamtosa William Ruto mbio za urais 2020. Ruto inasemekana sababu kubwa iliyofanya atoswe ni kushiriki mauaji ya watu mwaka 2007 baada ya kaamasisha umma kuwashambulia watu jamii ya kikuyu pia alitoa ushauri wa kutekwa na kakatwa kiganja kwa afsa wa...
Leo nasikiliza radio ya taifa (NPR) topic yao kubwa ni jinsi Serikali ya Tanzania kukataa ukweli kuhusu Corona na kutumia nguvu na vitisho kunyamazisha watu. Wanasema vilevile wataongelea mazishi ya usiku usiku.
Nchi jirani kulalamika pia zitaongelewa kama Zambia kufunga mipaka na nchi nyingine...
Madereva wa magari zaidi ya 50 wa Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya katika mpaka wa Namanga hadi hapo watakapopimwa kujua kama wana maambukizi ya CoronaVirus
Taarifa zaidi inafuata.....
Hakuna ubishi kwamba kilimo ndo kimekuwa nguzo kuu ya uchumi wa Tanzania, ambapo kilimo kinachangia 24.5% kwenye GDP.
Kilimo kinachangia asilimia 85 kwenye total export, na pia nusu ya waajiriwa wote wanatokea kwenye sekta ya kilimo, kwa mujibu wa data zilizopo mitandaoni. Lakini kwenye uchumi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.