tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. K

    JamiiForums Tanzania GE2020 NEC ndiyo inaweza kuleta vurugu Tanzania sio Vyama vya Siasa

    NEC Imekuwa mbele sana kujipendekeza kwa CCM na kuanza kujadili hoja badala ya kuwaaachia vyama vishindane. Vile vile wana toa miongozo ambayo haiwahusu ya kitu gani au agenda gani ziongelewe. Vurugu itatokea tu pale ambako hakutakuwa na uwazi kwenye siku ya kura na kuhesabu kura. Ukiangalia...
  2. Naton Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya inavyonyanyasika na Tanzania

    Kuna hali ya sintofahamu inaendelea nchini Kenya inayoshindwa kutafsiriwa kama ni Kenya inferiority complex ama vipi Kenya ipo desperate sana kupambana na Tanzania kwenye maeneo ambayo imeachwa mbali. Tulifikiri wenge liliishia kwenye kupaka lipsticks barabarani kumbe wamekuja mpaka na...
  3. Mzizi Tanzania

    JamiiForums Tanzania Maswali muhimu Juu ya Mtaala wa Elimu Ya Tanzania

    Tujadili kidogo watanzania wenzangu! 1. Hivi ni kwa asilimia ngapi mtaala wa Elimu ya Secondary hapa Tanzania umetekelezwa ? 2. Je Mtaala unafatwa kama ulivopangwa? 3. Walengwa katika mtaala huo wamewekewa mazingira bora ili kutekeleza kiufanisi mtaala huo? 4. Je sera ya Elimu ya Tanzania...
  4. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania to assist in Botswana's pursuit to teach Kiswahili in her schools

    Kiswahili: Tanzania offers to assist Botswana By Jacob Mosenda Dar es Salaam. Tanzania said yesterday that it would cooperate in every possible way with Botswana after the southern African nation announced plans to start teaching the Swahili language as a subject in schools. On Tuesday, the...
  5. Teargass

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania World Bank: Tanzania is more poverty stricken than her East African neighbors.

    World Bank data shows that Tanzania has more poor people who are living on less than the international poverty line($1.90 a day) in the region as compared to Kenya and Uganda. For a long time, the Tanzanian poverty line started at $0.69 a day compared to Kenya`s which starts at 1.90 dollars per...
  6. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania WFP: Wakimbizi wengi wa Msumbiji wanakimbilia Tanzania kutikana na mapigano kuongezeka

    Kaskazini mwa Msumbiji, mapigano yanaendelea na kuongezeka hali ambayo imelazimisha maelfu ya watu kutoroka makazi yao. Sasa hivi idadi kubwa ya raia hao wanakimbilia nchi jirani ya Tanzania kulingana na mkurugenzi wa Shirika la Chakula Duniani eneo la Kusini mwa Afrika alipozungumza na BBC...
  7. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzanian MP's still believe Kenya is the giant of East Africa

    Members of parliament from Tanzania still believe Kenya is the giant of East Africa.
  8. FrankLutazamba

    JamiiForums Tanzania People from USA & Europe are a big hope to many families in Tanzania when you visit, so welcome in Tanzania and to our families

    Sometimes when I see different race I feel happy especially people from USA and Europe because they are so peace people I know, I say this following saw one Either a European or USA woman carry an African baby on mean bus with her own hands while her mother of that daughter sitting beside them...
  9. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Ili Kupambana na 'Umasikini' Serikali ya Tanzania haiwezi 'Kutulazimisha' Watanzania wote tuutumie 'Ubini' wa 'Laizer' ambao una 'Nyota' ya Utajiri?

    Mshindi wa Jackpot ya SportPesa, Lilian Ngitoria Laizer, amekabidhiwa kitita chake kiasi cha Sh. 267,800,060 na Kampuni ya Michezo na Burudani ya SportPesa Tanzania, huku akieleza mipango yake ni kufungua biashara kubwa. Nipashe Kuna Mtu aliwahi kuniambia huko zamani kuwa Pesa, Elimu na...
  10. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Botswana yapanga mipango ya kuanza kutumia lugha ya Kiswahili Shuleni

    Botswana aims to introduce Swahili language in the southern African country's local schools, a senior official said Tuesday. At a language teaching workshop in Francistown, Botswana's second-largest city, Fidelis Molao, Botswana's Minister of Basic Education, said that Swahili language will be...
  11. Subira the princess

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hizi si dalili njema kuelekea Oktoba 28

    Wasalaam, Kitendo cha tume ya Taifa ya Uchaguzi kutoka haraka kukemea makusudio ya vyama vya upinzani kushirikiana katika uchaguzi huu ni cha kibaguzi hakikubaliki. Sababu iliotolewa na NEC ni dhaifu na ni dhahiri ni kuitetea CCM, eti wananchi watachanganyikiwa siku ya uchaguzi na eti...
  12. CalvinKimaro

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kampeni za Tanzania: Badala ya Mgombea kuulizwa maswali, yeye ndiye anawauliza maswali Wananchi

    Ni bahati mbaya mikutano ya CHADEMA na ACT wanaoulizwa maswali ni Wananchi waliokuja kuwasikiliza badala ya wananchi kuwauliza wao maswali. Kwa kuwa siku bado ningefurahi kama kuna atakayewauliza wagombea wakuu wa CHADEMA na ACT haya maswali yangu. Au tufanye mdahalo nao? Maswali yangu ni haya...
  13. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa: Vyama vya Siasa vinavyotaka kushirikiana Uchaguzi Mkuu vimeshachelewa kwa mujibu wa Sheria

    Naibu wa msajili wa vyama vya siasa Dkt. Nyahoza amesema vyama vya siasa vinavyojipanga kushirikiana vimeshachelewa. Nyahoza amesema muda uliowekwa kisheria kwa vyama vyenye nia ya kushirikiana kuingia mkataba wa kisheria umeshapita hivyo hakuna ushirikiano utakaoruhusiwa kwa sasa. ======...
  14. Rahma Salum

    JamiiForums Tanzania Je, wajua gharama za upimaji wa vinasaba (DNA) nchini Tanzania?

    Gharama za upimaji wa vinasaba kwa Tanzania ni shilingi laki 1 kwa sampuli ya mtu mmoja. Hii inamaanisha kuwa kwa sampuli za watu 3, yaani baba, mama na mtoto gharama itakuwa jumla ya shilingi laki 3.
  15. Mlenge

    JamiiForums Tanzania Vodacom, huu wema umeanza lini?

    Vodacom, huu wema umeanza lini? Leo nimeona push menu za USSD, zikiniuliza na hatimaye kuniwezesha kujitoa kwenye matumizi ya salio kulipia huduma za mtandao wa intaneti kutoka kwenye salio la kawaida. Kwa hiyo kuanzia leo, hata bando la GB likikata, salio la kawaida lililopo halitaguswa...
  16. pingli-nywee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Human Rights Watch: Freedoms in Tanzania threatened ahead of elections as authorities crack down on Opposition Parties, Rights Groups, Media

    Human Rights Watch, shirikika la kimataifa la kutetea haki za kibinadamu, limeiangazia Tz kuhusu ukiukwaji wa haki za kibinadamu kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba. HRW inadai kwamba kwa muda wa miezi mitatu iliyopita wanachama wa upinzani 17 na watanzania wengine waliokashifu serikali...
  17. wanzagitalewa

    JamiiForums Tanzania Kukua kwa Teknolojia ya Mawasiliano kunavyochangia maendeleo ya kijamii na kiuchumi Tanzania

    Na Bindu Hassan, UDBS Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt. Zainab Chaula wiki hii ameeleza namna sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) inavyoweza kuchangia zaidi katika ukuaji wa sekta za kijamii na kiuchumi nchini Tanzania. Dkt. Chaula ameeleza kuwa...
  18. kavulata

    JamiiForums Tanzania Baada ya uchaguzi kuna dhambi gani kuunda Serikali ya Umoja Tanzania?

    Mpaka sasa CCM na CHADEMA vina wafuasi wengi sana kwenye mikutano yao ya kampeni. Kama wingi wa watu ni mojawapo ya viashiria vya kuungwa mkono na watu wengi basi ccm na chadema vinaungwa mkono wa watu wengi. Nionavyo mimi hamasa ni kubwa sana kwa vyama vyote, hivyo mtu atajidanganya mwenyewe...
  19. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ni kwanini 'Ajira' za kuwa Mshauri Mkuu wa Rais/Kampeni Meneja wa Mgombea Urais nchini Tanzania huwa hazitangazwi wengine tuziombe?

    "Ni mara chache sana kukuta watu wamefurika hivi tena asubuhi saa 2, wenzetu kule wanajua kuchakata, wanatumia picha za miaka ya zamani waonekane wamejaza watu kwenye kampeni zao, waje wajionee kwenye kampeni za CCM watu walivyofurika, hongereni sana." - Dkt. Magufuli, Igalula. Kwa haya...
  20. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania At TCAA courtesy, KQ resumes flight to Tanzania

    National carrier Kenya Airways (KQ) has resumed flights to Tanzania following the lifting of a ban on local aviation operators. The carrier says it will operate two daily flights to Tanzania’s capital Dar es Salaam and three weekly flights to Zanzibar...
Back
Top Bottom