tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. wanzagitalewa

    JamiiForums Tanzania Sekta ya Mawasiliano ya simu inavyosaidia ukuaji wa Uchumi Tanzania

    Kwa miaka kadhaa sasa Uchumi wa Tanzania umeendelea kukua na kuiwezesha nchi kufikia lengo la kuwa nchi ya Uchumi wa kati (lower-middle-income economy) ikiwa ni miaka mitano kabla ya kufikia mwisho wa muda iliyokuwa imejiwekea. Huku hili likitokea, Tanzania imejikita katika kuboresha zaidi...
  2. IAfrika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania, Rwanda na Uganda zaunda soko moja la hisa

    Nyakati zabadilika kweli. Tanzania Uganda, na Rwanda zimeungana kuunda soko moja la hisa. Tumetoka siku za COW hivi sasa nchi za Africa mashariki zinaendelea kuitenga Kenya. Kenya imepoteza deals kadha za ukanda huu kwa mda wa hivi karibuni but we still hold strong. Haya yote yanafanyika bila...
  3. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania to acquire 25% of EACOP as Oil firms set deadline for FID

    Pipeline deal: Oil firms set date for final investment decision TUESDAY SEPTEMBER 15 2020 By FREDERIC MUSISI The government and oil companies - French Total E&P, and China’s Cnooc - are eyeing December or January as the new dates for taking the final investment decision (FID) for development...
  4. ADC Party

    JamiiForums Tanzania GE2020 Bi Queen Cuthbert Sendiga Mgombea urais wa Tanzania kupitia ADC, azindua Kampeni Zanzibar, Wavuvi na Wakulima wa Karafuu kuneemeka

    Mgombea wa RAIS Jamhuri ya Muungano WA Tanzania Bi Queen Cuthbert Sendiga aliwaambia wananchi wa PEMBA endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania atahakikisha wananchi wa PEMBA watanufaika na zao la karafuu kwa kulipandisha thamani ili liweze kuingiza fedha za kigeni na kuwafanya wananchi hao...
  5. CUF Habari

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ilani ya The Civic United Front (CUF - Chama cha Wananchi) ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020 - 2025

    Yaliyomo 1. SEHEMU YA KWANZA ...................................................................... 4 1.1.Kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa .......................................... 8 1.2.Kufuta Umasikini Katika Nyanja Zote........................................... 8 1.3...
  6. Tabutupu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KRA vs TRA: Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania

    KRA vs TRA (Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania) KRA: Kenya Revenue Authority TRA: Tanzania Revenue Authority Makusanyo (Tax Collection July 2019 to June 2020) KRA-Kenya: 34 Trillion (Tsh) TRA-Tanzania: 14 Trillion (Tsh) Sababu ni hizi hapa. Matumizi duni ya teknologia (ICT)...
  7. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye Tanzania imeruhusu KQ kuingia nchini humo

    Baada ya Watanzania kupiga domo jana kuwa Tanzania haitaruhusu KQ kuingia humo hadi mwakani, Tanzania imeshindwa kungoja hata wiki moja ili kufunza Kenya adabu kama mlivyokuwa mkisema. Yaani hata masaa 24 hazijaisha kabla Kenya kuruhusu malazy kuingia huku, tayari TZ imeruhusu KQ kuingia. Hio...
  8. idawa

    JamiiForums Tanzania TCAA yaziruhusu Ndege za Kenya kutua Tanzania

    Mamlaka ya Anga Tanzania imeondoa marufuku ya makampuni ya Ndege za Kenya kutua Tanzania Hatua hiyo inakuja baada ya Serikali ya Kenya kuruhusu Watanzania kuingia Kenya bila masharti yoyote yale.
  9. Q

    JamiiForums Tanzania UN imetahadharisha Tanzania kuepuka mazingira ya ukandamizaji hasa kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet ameeleza kuwa, nchini Tanzania kumekuwepo hali ya "kuongezeka kwa ukandamizaji wa kidemokrasia na haki za raia, hali ambayo inazidi kufanya mazingira ya haki za binadamu kuwa duni". Ameeleza hasa mabadiliko ya sheria...
  10. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Toka mwaka 2015 kuna matukio makubwa ya Kihalifu ambayo yameitetemesha Tanzania na hayajapata ufumbuzi

    Toka mwaka 2015 kumekuwa na matukio makubwa nchini ambayo yaliyumbisha nchi hasa upande wa Idara ya Usalama. Na ambayo waliyoyapanga walifanikiwa kwa Asilimia 100 kuvishinda vyombo vya dora. 1. Tukio la kutekwa na kupotezwa Ben Saanane mwanaharakati ambaye alikuwa akiandika sana suala la Elimu...
  11. Q

    JamiiForums Tanzania Tanzania yapinga ripoti ya UN ya Tume ya Haki za Binadamu

    Waziri wa mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi amesema kuwa tathimini iliyotolewa hailingani na uhalisia wa hali ilivyo Tanzania. Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetoa taarifa juu ya haki za binadamu maeneo mbalimbali Duniani na kuonesha...
  12. T

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mambo Kumi niliyoyasikia leo kwa mara ya kwanza kuhusu Tanzania kutoka kwa Tundu Lissu akiwa Mbarali

    MOJA: Reli nyingine zilizopo na zenyewe ni standard gauge - TAZARA, RELI YA KATI, (DAR -KIGOMA) na ya TANGA-ARUSHA MBILI: Marais wengine wote na wenyewe walianzisha mabwawa ya umeme, kuanzia Kidatu na Mtera (Nyerere), wengine wakajenga Kihansi (Morogoro - MKAPA), Hale (Tanga - NYERERE), Pangani...
  13. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Raia wa Tanzania waruhusiwa kuingia nchini Kenya bila kukaa karantini

    Kenya imetoa orodha ya nchi 147 ambazo raia wake wataruhusiwa kuingia nchini humo bila kukaa karantini Katika orodha ya sasa, Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi hizo ambapo katika orodha ya awali Tanzania haikuwepo Awali nchi hiyo ilikuwa inalazimisha raia wanaotoka nchi zenye hatari...
  14. Superleta

    JamiiForums Tanzania Pamoja na miundombinu bora ya Ethiopia, bado Wananchi ni masikini. Watanzania tujitafakari

    Jamani ni kweli tunafata nyayo za Ethiopia? Nauliza maana ni kama tunaanza kufanana ndege, mareli, umeme miradi, mbona kama tunafanana nao tu halafu wao pia hawatoagi ajira na serikali inadhibiti kila kitu. Halafu wao wanaangalia maendeleo ya vitu kama sisi tu tumeanza kufanana nao. Naogopa...
  15. BAK

    JamiiForums Tanzania Reference: Open letter concerns over shrinking Civic Space in Tanzania

    Thursday, 27th August 2020 H.E. HON JOHN POMBE MAGUFULI PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DAR ES SALAAM TANZANIA Dear Sir, REFERENCE: OPEN LETTER CONCERNS OVER SHRINKING CIVIC SPACE IN TANZANIA Your Excellency, receive warm greetings from the rest of Africa. It is our hope that...
  16. JOYOPAPASI

    JamiiForums Tanzania Heko nyingine ya Rais Magufuli kwenye kupigania maslahi ya Tanzania: Kisa cha bomba la mafuta kutoka Hoima, Uganda hadi Tanzania

    HEKO NYINGINE YA RAIS MAGUFULI KWENYE KUPIGANIA MASLAHI YA TANZANIA: KISA CHA BOMBA LA MAFUTA KUTOKA HOIMA, UGANDA HADI TANZANIA Na Bwanku M Bwanku Jumapili Septemba 13 mwaka huu tulishuhudia tukio kubwa la kihistoria la kiuchumi, ustawi wa watu, undugu na maendeleo ya nchi yetu kwa kushuhudia...
  17. Kurzweil

    JamiiForums Tanzania Tanzania imefanikiwa kukua kiuchumi wakati wa kipindi cha #CoronaVirus

    TANZANIA imeongoza kwa ukuaji mzuri wa uchumi katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na eneo zima la Mashariki mwa Afrika lenye nchi 13, katika kipindi chote cha janga la virusi vya corona. Hayo yamebainishwa katika Ripoti ya Uchumi wa Afrika ya 2020 ya Benki ya Maendeleo ya Afrika...
  18. K

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mataga nielewesheni nini maana ya Tanzania Mpya, Zanzibar Mpya?

    Wakuu amani iwe kwenu, Bila shaka wengi wetu wameona kauli mbiu hizi kwenye mabango ya wagombea mbali mbali hasa wa chama cha mapinduzi (CCM). Mgombea wa Urais Zanzibar kwenye bango lake kuna maneno "Zanzibar mpya", Mgombea wa Ubunge kigamboni kuna neno "Kigamboni Mpya" kwingine kuna Tanzania...
  19. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Tangazo la ufadhili wa miradi (skills development fund) kutoka Tanzania Education Fund

    Habari za sasa jf? Taasisi ya mamlaka ya elimu Tanzania, TEA, imetoa fursa ya ufadhili wa miradi ya kuendeleza ujuzi kwa makundi maalum ya vijana wanaoishi katika mazingira magumu Fungua PDF hii na tembelea mitandao mbalimbali kwa taarifa zaidi
  20. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Zitto: Tanzania Bara inaiminya Zanzibar

Back
Top Bottom