tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. MPUNGA MMOJA

    JamiiForums Tanzania Bei mbovu kuwahi kutokea ya zao la mpunga yadumu misimu miwili Tanzania

    Kwa miaka takribani 15 sasa hakujawahi kutokea kuanguka kwa bei ya Mpunga. Kilimo cha zao la Mpunga kwa msimu wa mwaka 2020/ 2021 kinaleta mashaka makubwa. Bei ya wakati wa mavuno kwa gunia la serikali la debe 6 kwa msimu 2020 kipindi cha mavuno Tsh 50,000 hii ni bei ya mwezi wa sita...
  2. Ushimen

    JamiiForums Tanzania VSO Tanzania Jobs and Volunteering Opportunities, March 2021

    JOB OPPORTUNITIES Bonyeza kila moja hapo chini kusoma zaidi na kuapply: 1. Food And Security Nutrition Adviser (Kagera) 2. Employability And Entrepreneurship Adviser (Shinyanga) 3. Employability And Entrepreneurship Adviser (Mwanza) 4. Project Officer (Tanzania) Deadline for applications...
  3. Shadow7

    JamiiForums Tanzania Diva amenyanyulia mikono Diamond, ndio msanii namba moja kwa sasa Tanzania

    Habari wadau, Kupitia Instagram yake ameandika haya:- “Mtangazaji namba 1 wa kike Tanzania niliwahi Piga Picha Na Msanii Namba 1 Tanzania saa Hii na tuna wimbo wetu unaitwa Piga Simu .. so acha nipost. Apa tulikuwa Marafiki sana apa …sana… semeni ukweli asa hivi ni msanii gan anamshinda...
  4. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zuio la mahindi kuingia Kenya, ni kwasababu makamu wa Rais anataka soko la mahindi yake

    Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, amedaiwa kuwa na shamba la mahindi hekari 500,000 nchini DR Congo, ambapo ametumia nguvu yake kisiasa kupata uhakika wa soko la mahindi yake Baadhi ya wabunge wa DRC wamethibitisha hilo. Ili kupata soko la mahindi alilazimika kuzuia mahindi kutoka Tanzania...
  5. Ushimen

    JamiiForums Tanzania ITM Tanzania Ltd Jobs, March 2021- (7 Posts)

    JOB OPPORTUNITIES Bonyeza kila moja hapo chini kusoma zaidi: 1. Audit Associate -(3 Posts) 2. IT Supervisor- (1 Post) 3. Tax Senior Associate- (1 Post) 4. Marketing Manager- (1 Post) 5. Internal Audit Manager - (1 Post) APPLICATION INSTRUCTIONS Send your CV to:infotanzania@itmafrica.com
  6. The Spirit of Tanzania

    JamiiForums Tanzania Hiki kitanda kinaweza kutengenezwa hapa Tanzania?

    Amani iwe nanyi wapendwa; Naomba kujua kama kuna fundi anatengeneza kitanda cha aina hii hapa Tanzania na bei yake pia;
  7. Mkikuyu- Akili timamu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Democracy index 2021: Kenya lags behind Tanzania

    Sijui mijitu itajificha wapi leo https://www.the-star.co.ke/news/2021-03-15-kenya-ranked-95-in-democracy-index/
  8. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote

    Ni wakati wa kumwomba Mungu. Ni wakati wa umoja. Tanzania nakupenda.
  9. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Bodi ya Nyama Tanzania yapiga marufuku uuzaji wa nyama za mafungu

    Bodi ya Nyama Tanzania imepiga marufuku uuzaji wa nyama kwa mafungu katika maeneo ya nje ya machinjio ya vingunguti kwani inahatarisha afya ya mlaji. . Hayo yamesemwa na Kaimu Msajili wa bodi ya Nyama Tanzania Bw. Imani Sichalwe alipofanya ziara katika maeneo ya nje ya machinjio ya vingunguti na...
  10. TODAYS

    JamiiForums Tanzania SAKATA: Hii ndiyo tofauti ya Media za Tanzania na Nje

    Angalau huyu kwa kutumia katuni ameongea kitu kikubwa ambacho mwandishi wa kawaida story yake isingetoka👇🏾. Huyu ni mwandishi wa nje ya Tanzania au ni yule asiye na mipaka, yawezekana yupo hapa nchini ila katumia chombo cha nje, ambapo hapa ndani ni hofu inatawala 👇🏾...
  11. E

    JamiiForums Tanzania An open letter to all Hiring Managers in Tanzania

    Dear all Hiring Managers, Please stop asking 25-year-olds to have 15 years of industry work experience for entry-level jobs. Instead ask them if they will work hard and care about your company. I think you will get better results. Sincerely, Ellyskywilly Education: Masters in...
  12. Mtyela Kasanda

    JamiiForums Tanzania Shirika la haki za binadamu Tanzania, kuna haja ya kujipambanua

    Mimi Sio Mataga. Wasalaam ndugu zangu. Shirika la haki za binadamu ni muhimu sana hasa kwa nchi zinazokua na zenye demokrasia changa kama Tanzania Tanzania kumekua na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu; unafanywa na taasisi za serikali kwa sehemu kubwa pamoja na taasisi binafsi. Kwahiyo...
  13. Ushimen

    JamiiForums Tanzania Tanzania National Roads Agency (TANROADS) Vacancies, March 2021- (10 Posts)

    JOB OPPORTUNITIES Bonyeza hapo chini kudownload PDF:
  14. J

    JamiiForums Tanzania Dkt. Faustine Ndugulile afungua Kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi cha Shirika la Mawasiliano Tanzania

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt Faustine Ndugulile afungua kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi cha Shirika la Mawasiliano Tanzania leo katika ukumbi wa Kambarage, jengo la Shirika la Nyumba la Taifa, jijini Dar es salaam. #Siku100ZaUtekelezaji.
  15. B

    JamiiForums Tanzania Polisi Tanzania wamfuatilia Abu Yasir Hassan anayesakwa na Serikali ya Marekani kwa ugaidi Mozambique

    Gazeti la Nation.Africa Nation - Breaking News, Kenya, Africa, Politics, Business, Sports | HOME US sanctions Tanzanian linked to terrorism in Mozambique la nchini Kenya linaripoti habari hii ya mtanzania kuwekwa ktk listi ya mtu hatari, kiongozi wa magaidi na anayefadhili ugaidi katika jimbo...
  16. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Duh! shamba la bibi linaendelea kuchumwa, shehena lakamatwa Marekani lililojaa wadudu kutokea Tanzania

    Wenzetu kwenu huko kila kitu kinachumwa kwa kwenda mbele, vyote hivyo ni dili, inashangaza kizazi cha sasa mnaojiita "walioelimika" bado mnaliwa kama ilivyokua kwa mababu zenu japo sitashangaa maana maprofesa wenu ndio hao wanafuata vikombe vya maji ya tangawizi Madagascar na kutangaza eti...
  17. A

    JamiiForums Tanzania Ma-MC kuigiza Tamthilia, Njaa au Fursa?

    Njaa imezidi kubana kiasi kwamba watu wanachungulia fursa popote. Yaani hakuna kuacha hata kazi ya Buku. Sisi wasanii wadogo tunaponea wapi?
  18. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaipita Uganda na Kenya kwa kuwa na wanawake wengi bungeni

    Ripoti ya 2021 ya Inter Parliamentary Union imeaonesha Tanzania inongoza kwa kuwa na wabunge wanawake ukilinganisha na Kenya na Uganda. Tanzania ina wanawake 36.7% ya bunge hivyo iko nafasi ya 34 kidunia. Aidha Uganda imeonekana kuwa na wabunge wanawake 34.9% na iko nafasi ya 37 kidunia huku...
  19. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania TFF inapaswa kumchukulia hatua zaidi mchezaji wa Tanzania Prison aliyetolewa kwa kadi nyekundu dhidi ya Simba

    Nimerudia kuangalia tena rafu ile ya kishamba aliyocheza yule mchezaji, nimejiridhisha kwamba kadi nyekundu pekee haitoshi , yule mchezaji anastahili adhabu zaidi, ikibidi hata kufungiwa michezo kadhaa. Hili likifanyika litaongeza nidhamu kwa wachezaji wengine, haiwezekani tukaacha wachezaji...
  20. ITM Tanzania Ltd

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Job Opportunities at ITM Tanzania Ltd

    Habari Wanabodi Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya matangazo ya kazi kutoka ITM Tanzania Ltd. ......... Kufahamu kuhusu ITM Tanzania Ltd tafadhali tembelea: https://www.jamiiforums.com/threads/itm-tanzania-ltd-tunaomba-ukaribisho-wenu-wanabodi.1834571/ Ahsanteni na karibuni #WeAreITM
Back
Top Bottom