MPUNGA MMOJA
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 304
- 401
Kwa miaka takribani 15 sasa hakujawahi kutokea kuanguka kwa bei ya Mpunga.
Kilimo cha zao la Mpunga kwa msimu wa mwaka 2020/ 2021 kinaleta mashaka makubwa.
Bei ya wakati wa mavuno kwa gunia la serikali la debe 6 kwa msimu 2020 kipindi cha mavuno Tsh 50,000 hii ni bei ya mwezi wa sita wakati wa mavuno, bei hii imedumu mpaka mwezi wa 4/2021 na hakuna dalili za kupanda, miaka ingine mwezi kama huu wa 4 kurudi nyuma wa 3 mpka wa 12 bei hua 90,000 mpaka 110,000.
Wafanyabiashara wa kununua mpunga kwa Mbarali Mkoa wa Mbeya wengi hawajilima msimu huu kwa sababu walinunua mpunga kwa bei ya sh 50,000 wakiamini bei itapanda watauza kwa faida hali imekua siyo imesimama sh 50,000 kwa miezi 10 mfululizo.
Serikali haioneshi kuchukua hatua yoyote ktk kuhangaika kusaka masoko.
Mbeya pekee inazalisha Mpunga asilimia 32 kwa nchi nzima.
Tayari mavuno yanaanza ya msimu mpya wa mwaka 2021 bei ikiwa imesima ileile ya mavuno ya mwaka 2020.
Kilimo cha zao la Mpunga kwa msimu wa mwaka 2020/ 2021 kinaleta mashaka makubwa.
Bei ya wakati wa mavuno kwa gunia la serikali la debe 6 kwa msimu 2020 kipindi cha mavuno Tsh 50,000 hii ni bei ya mwezi wa sita wakati wa mavuno, bei hii imedumu mpaka mwezi wa 4/2021 na hakuna dalili za kupanda, miaka ingine mwezi kama huu wa 4 kurudi nyuma wa 3 mpka wa 12 bei hua 90,000 mpaka 110,000.
Wafanyabiashara wa kununua mpunga kwa Mbarali Mkoa wa Mbeya wengi hawajilima msimu huu kwa sababu walinunua mpunga kwa bei ya sh 50,000 wakiamini bei itapanda watauza kwa faida hali imekua siyo imesimama sh 50,000 kwa miezi 10 mfululizo.
Serikali haioneshi kuchukua hatua yoyote ktk kuhangaika kusaka masoko.
Mbeya pekee inazalisha Mpunga asilimia 32 kwa nchi nzima.
Tayari mavuno yanaanza ya msimu mpya wa mwaka 2021 bei ikiwa imesima ileile ya mavuno ya mwaka 2020.