Ma-MC kuigiza Tamthilia, Njaa au Fursa?

Andrew123

JF-Expert Member
Jun 2, 2012
7,043
8,599
Njaa imezidi kubana kiasi kwamba watu wanachungulia fursa popote. Yaani hakuna kuacha hata kazi ya Buku. Sisi wasanii wadogo tunaponea wapi?
 
Ni Hemedy PhD pekee aliyeweza kutumikia mabwana wawili kipind fulani ingawa kwasasa amepwaya kiasi fulani.
 
juzi nilimuona shehe Kipozeo kwenye series flani dstv..nikajua njaa mbaya
 
Back
Top Bottom