Gazeti la Nation.Africa Nation - Breaking News, Kenya, Africa, Politics, Business, Sports | HOME US sanctions Tanzanian linked to terrorism in Mozambique la nchini Kenya linaripoti habari hii ya mtanzania kuwekwa ktk listi ya mtu hatari, kiongozi wa magaidi na anayefadhili ugaidi katika jimbo la Cabo Delgado kaskazini mwa Mozambique ambapo kumekuwepo na matukio ya kigaidi.
Polisi wa Tanzania wanafuatilia ripoti kuwa serikali ya Marekani imemuwekea vikwazo mtanzania Abu Yasir Hasan Designation of Abu Yasir Hassan as a Specially Designated Global Terrorist State Department Terrorist Designations of ISIS Affiliates and Leaders in the Democratic Republic of the Congo and Mozambique - United States Department of State kwa kuhusika kwake na ugaidi unaoendelea jimbo la Cabo Delgado Mozambique.
Wizara ya Nchi (State Department) inayotambulika kama Wizara ya Nje ya Marekani kupitia waraka aliosaini waziri Antony J. Blinken umetoa tangazo kuwa mtanzania huyo Abu Yasir Hassan ni mtu hatari anayeongoza ugaidi duniani.
Waraka huo wa serikali ya Marekani umetamka pia unazuia mali zote za Abu Yasir Hassan pamoja na mitaji inayomilikiwa na bwana Abu Yasir Hassan na zile za kikundi cha ISIS-Mozambique.
Waraka huo wa wizara hiyo uliotolewa 11 March 2021 unasomeka hivi hapa chini Designation of Abu Yasir Hassan as a Specially Designated Global Terrorist
Consistent with the determination in section 10 of Executive Order 13224 that prior notice to persons determined to be subject to the Order who might have a constitutional presence in the United States would render ineffectual the blocking and other measures authorized in the Order because of the ability to transfer funds instantaneously, I determine that no prior notice needs to be provided to any person subject to this determination who might have a constitutional presence in the United States, because to do so would render ineffectual the measures authorized in the Order.
This notice shall be published in the Federal Register.
Authority: E.O. 13224, 66 FR 49079, 3 CFR, 2001 Comp., p. 786.
Dated: March 1, 2021.
Antony J. Blinken,
Secretary of State.
03/10/2021
Body
SPECIALLY DESIGNATED NATIONALS LIST UPDATE
The following individuals have been added to OFAC's SDN List:
HASSAN, Abu Yasir (a.k.a. "HASSAN, Yaseer"; a.k.a. "QASIM, Abu"), Pwani Region, Tanzania; Cabo Delgado Province, Mozambique; DOB 1981 to 1983; nationality Tanzania; Gender Male (individual) [SDGT] source : Burma-related Designations; Counter Terrorism Designations and Designations Updates; Global Magnitsky Designation Update; Democratic Republic of the Congo Designation Update | U.S. Department of the Treasury
Polisi wa Tanzania wanafuatilia ripoti kuwa serikali ya Marekani imemuwekea vikwazo mtanzania Abu Yasir Hasan Designation of Abu Yasir Hassan as a Specially Designated Global Terrorist State Department Terrorist Designations of ISIS Affiliates and Leaders in the Democratic Republic of the Congo and Mozambique - United States Department of State kwa kuhusika kwake na ugaidi unaoendelea jimbo la Cabo Delgado Mozambique.
Wizara ya Nchi (State Department) inayotambulika kama Wizara ya Nje ya Marekani kupitia waraka aliosaini waziri Antony J. Blinken umetoa tangazo kuwa mtanzania huyo Abu Yasir Hassan ni mtu hatari anayeongoza ugaidi duniani.
Waraka huo wa serikali ya Marekani umetamka pia unazuia mali zote za Abu Yasir Hassan pamoja na mitaji inayomilikiwa na bwana Abu Yasir Hassan na zile za kikundi cha ISIS-Mozambique.
Waraka huo wa wizara hiyo uliotolewa 11 March 2021 unasomeka hivi hapa chini Designation of Abu Yasir Hassan as a Specially Designated Global Terrorist
Designation of Abu Yasir Hassan as a Specially Designated Global Terrorist
Acting under the authority of and in accordance with section 1(a)(ii)(B) of Executive Order 13224 of September 23, 2001, as amended by Executive Order 13268 of July 2, 2002, Executive Order 13284 of January 23, 2003, and Executive Order 13886 of September 9, 2019, I hereby determine that the person known as Abu Yasir Hassan, also known as Yaseer Hassan, also known as Abu Qasim, is a leader of Islamic State of Iraq and Syria—Mozambique, a group whose property and interests in property are blocked pursuant to a determination by the Secretary of State pursuant to Executive Order 13224.Consistent with the determination in section 10 of Executive Order 13224 that prior notice to persons determined to be subject to the Order who might have a constitutional presence in the United States would render ineffectual the blocking and other measures authorized in the Order because of the ability to transfer funds instantaneously, I determine that no prior notice needs to be provided to any person subject to this determination who might have a constitutional presence in the United States, because to do so would render ineffectual the measures authorized in the Order.
This notice shall be published in the Federal Register.
Authority: E.O. 13224, 66 FR 49079, 3 CFR, 2001 Comp., p. 786.
Dated: March 1, 2021.
Antony J. Blinken,
Secretary of State.