tafadhali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Unahitaji website? Pita hapa tafadhali.

    Pata website modern KAMA HII kwaajili ya biashara yako kwa Tsh 500,000 tu! Hii inajumuisha designing & coding, hosting, domain, SEO, business emails & security. Hii ni custom design kwahiyo hata kama una michoro yako mwenyewe hakuna shida tunaicode inatoka kama ilivyo. Pia zingatia kuwa cost...
  2. JamiiForums Tanzania Kuna utaratibu wa kufuata ukitaka kuanzisha App Tanzania?

    Habari. Kuna mtu anauliza taratibu za kuanzisha app kwa hapa tanzania hadi iweze kua downloaded playstore/App store. Je, ni taratibu zipi anahitaji kufuata? Je itahitaji kwenda Tra,Tcra,Brela nk? Au unaanzisha kwanza kisha ndio unaenda kufuata utaratibu wa kiserikali? Je kwa Tanzania ni...
  3. JamiiForums Tanzania Tafadhali Rais Samia... Hakuna anayekuamini...

    Ni vigumu kuaminika kuwa uliguswa, kuumizwa, kustushwa au kuchukizwa na matukio ya Oktoba 29, 2025. Ni vigumu kufanya watu wasadiki kuwa wewebkama Rais wa nchi yetu hujui kilichotokea au hata kufanya jitihada za kutaka kujua... - hujajaribu kukutana na wahanga wa matukio yale...hujajaribu kujua...
  4. JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya, usirudi kwenye Media uchwara, tafadhali

    Tokea watangazaji maarufu wasimamishwe na bodi ya ithibati, masoud ameonyesha uwezo binafsi, Vipindi vyake vya sasa kupitia channel yake ya you tube ni vizuri vyenye mvuto kuliko alipokuwa clouds, Ana muda wa kutosha wa kutumia ubongo wake kujenga hoja na kujadili mada za msingi bula kubanwa na...
  5. R

    JamiiForums Tanzania POLISI tafadhali mshughulikie huyu anahatarisha Amani yetu, isiwe mnaiona Chadema tu ingawa Chadema haijawahi hatarisha Amani

    Clip speaks for itself
  6. R

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali kuhusu VPN

    Ni VPN gani ambayo ni inaweza kutumia kwenye Desktop computer? Ambayo ni Free!
  7. JamiiForums Tanzania Nipeni huu wimbo ukiwa kamili tafadhali!

    Wimbo nimeupenda sana lakini isivyo bahati nimeutafuta mno mtandaoni bila mafanikio
  8. JamiiForums Tanzania Rais Samia tafadhali zifute hizi taasisi kwa manufaa ya umma

    1. Wakala wa vipimo (WMA). Wakala wa vipimo ulianzishwa ili kuleta usawa kwa mlaji na mtoa huduma lakini vituo vya mafuta vinadhulumu walaji. Sasa hivi bei ya mafuta iko juu na vituo vya mafuta bila aibu wanatuibia huku wakala wa vipimo upo tu . Wakala hii ifutwe haraka na watumishi wake wote...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa Speakers & Mic(Sound system) naomba ushauri wenu tafadhali

    Nahitaji Speaker na Mic mbili zile zinazotumika sana kuhubiria Injili barabarani(mitaani). Naomba mnishauri ni aina(brand) ipi ina ubora wa sauti, portable na sifa nyingine muhimu za ziada. Natanguliza shukrani πŸ™
  10. JamiiForums Tanzania Msaada Tafadhali: Namna ya kufix issue ya Adsense YouTube

    Habari za uzima wana JF, Nina changamoto kidogo kwenye kufix Adsense kwenye YouTube Account Yangu, mwenye ujuzi kuhusu hili, Naomba msaada
  11. JamiiForums Tanzania Msaada wa tiba ya tatizo la kushindwa kubana mkojo

    Habari za uzima wana JF! Mpenzi wangu amepata changamoto ya kiafya hivi karibuni. Hawezi kubana mkojo hata kwa dakika moja, ile feeling ya kukojoa ikifika mkojo unatoka wenyewe tu, hawezi kuuzuia. Hii changamoto ni nini, na inaweza kutatuliwa vp?
  12. JamiiForums Tanzania Tetesi: Askofu Mwamakula: Kuna Miili iliyoharibika zaidi ya 20, ilifukiwa eneo la MSAE, KIBAHA. Miili ilikuwa kwenye Viroba

    Hii Miili kwa Mujibu wa Mtoa taarifa, ilikua inatoa harufu Kali sanaaaa , maana yake Kama imefukiwa na Serikali, ni kwamba sehemu ilipokua miili hiii, Serikali haikua na uwezo wa kuihifadhi , Je Serikali inakoswa uwezo wa kuhifadhi miili ??? TAHARUKI YAZUKA BAADA YA MIILI MINGI ILIYOHARIBIKA...
  13. JamiiForums Tanzania Je, vijana walioajiriwa serikalini na sekta binafsi wana haki ya kuunda vikundi na kupata mikopo?

    Mh waziri wa Vijana, Nanauke naomba ujibu swali langu hilo maana kuna vikundi vya kutosha sasa vinaomba mikopo na vya watumishi vipo je wanaruhusiwa ? Tujibu tafadhali
  14. JamiiForums Tanzania Mwenye hizi nyimbo za TOT na TamTam tafadhali anibariki

    Tafadhali sana: 1. Bad Bakule akiwa na TamTam wimbo unaitwa Chande( kazi hutaki kufanyabkwa vile kaka ana mali.) 2. Mpende akupendaye - TOT plus
  15. R

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lisu kesho: Tafadhali chukua tahadhali mtakao kwenda mahakamani. Si ajabu wamejipanga KUUA

    Wito wangu ni huo. Ya 29/10 yanaweza kujirudia. Siwatii woga hapana. HAKUNA WOGA, Chukua tahadhali! Nendeni kwa wingi kwa tahadhali. Kila mtu awe na simu ya kuchukua matukio. Ikitokea wakaua, basi kuwa na ushahidi. MUNGU WETU NI MWEMA KILA WAKATI MUNGU WETU AWE NA NABII , MTAKATIFU LISU. AMEN
  16. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Friendship connect (tuunge urafiki) tafadhali!

    Nimepost hapa hapa, Friendship connect (tuunge urafiki) tafadhali! Je umezaliwa tarehe zifuatazo πŸ‘‡ kama jibu ni 'Ndio' karibu tuunge urafiki? πŸ‘‰ Mei 21 hadi 31, πŸ‘‰ Juni 1 hadi 20, πŸ‘‰ Novemba 22 hadi 30 πŸ‘‰ Desemba 1 hadi 21 Napenda kuconnet na wewe mtajwa hapo juu kwa ajili ya urafiki.
  17. JamiiForums Tanzania Tafadhali GenZ msije mkaingia huu mtego wa Maria kuvamia magereza, mtachakazwa vibaya mno

    Huyu kigagula alipofikia ni pabaya. GenZ yeyote atakayethubutu kuvamia magereza kisa kaambiwa na shetani Maria ajue kitakachompata sio kitu kizuri. Anaweza pata ulemavu wa kudumu au kifo. Watapigwa wachakae. Kwa msiofahamu ni kuwa Askari Magereza hupitia mafunzo magumu sana kuliko askari wa...
  18. JamiiForums Tanzania Kila la Heri Uganda leo tafadhali tunaomba mtufunge maana vinginevyo Sifa zote zitaenda kwa mama

    Hatutapumua.. Mara mama this mama that.. Uchawa uchawa tu .. Utasikia mama ameiwezesha.. Sijui mama amefanyaje... Uganda please tupo nyuma yenu pigeni hiyo timu ya Sisiemu... Timu ya wauaji.. Watekaji.. Waiba kura.. Uganda ushindi wenu una baraka zote za waliouliwa kinyama tar 29, Ushindi wenu...
  19. JamiiForums Tanzania Usaliti na uzalendo huwa sielewi niwelewesheni tafadhali

    Wanaotetea nchi yao wanaitwa majina, wachochezi, waliohongwa, wanaotumiwa na mabeberu, wahaini na kadhalika. Ajabu wanaiibiana kuiuza nchi wanajiita wazalendo,walinzi wa amani, na majina mengine mengi mazuri. Walioko nje wakilalamika wanaitwa mawakala wa mabwana zao. Serikali zikiishi kwa...
  20. R

    JamiiForums Tanzania BAWACHA epukeni makosa ya kiufundi kwenye matamko yenu tafadhali

    Salaam! Nimemsikia kiongozi wa BAWACHA akiunga mkono kauli ya makamo mkt Taifa John Heche kuhusu kutoitambua Serikali na uchaguzi batili uliofanyika. Sasa kosa la kiufundi linakuja pale msemaji huyo anapoitaka Serikali iwachukulie hatua wote waliohusika na mauaji ya October 29. Serikali huja...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…