Tafadhali Rais Samia... Hakuna anayekuamini...

Tafadhali Rais Samia... Hakuna anayekuamini...

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
34,175
Reaction score
43,936
Ni vigumu kuaminika kuwa uliguswa, kuumizwa, kustushwa au kuchukizwa na matukio ya Oktoba 29, 2025. Ni vigumu kufanya watu wasadiki kuwa wewebkama Rais wa nchi yetu hujui kilichotokea au hata kufanya jitihada za kutaka kujua...

- hujajaribu kukutana na wahanga wa matukio yale...hujajaribu kujua Ni kina nani wanadai au kitafuta miili ya ndugu zao

- hujajaribu kujua au kukutana waliopoteza ndugu zao. Yaani, wale watoto/vijana waliouwa pale Mwanza hutaki kujua wazazi wao? Na yule mama na mwanae waliouawa mbele ya kamera hutaki kabisa kujua?

- umeendelea kukingia kifua vyombo vya dola na kuvipongeza jwa mauaji yale kwa kisingizio cha kutuliza "amani". Inamaanisha vyombo hivyo vilipata Baraka na vinaendelea kupata Baraka kutoka kwako. Miezi sita baadaye hujamwajibisha hata kuruta mmoja. Unataka watu waamini kilichotokea ni bahati mbaya.

- Utawala wako umeendelea kufumbia macho matukio ya utekaji na kupoteza wananchi kiasi kwamba haijulikani yapi ni uhalifu na yapi yanafanywa na vyombo vya dola. Kitendo cha Mafwele kutajwa kingekushtua...haujashtuka..IGP hajashtuka na wale wavuta bangi za madaraka bungeni hawajashtuka...

Unataka watu wengine wa nje wawajibishe nyinyi? Yaani Wamarekani, EU, SADC na wengine waumizwe na matukio kuliko mnaojiita viongozi wetu...

Bado hujafanya lolote la kutufanya tuamini kuwa umeguswa na unataka lisitokee tena...naogopa kuwa wa kwanza kusema...mtaua tena nyinyi...tena labda zaidi..harufu ya damu bado iko angani. Hamuogopi...hamna cha kuwatisha kama walivyosema wahenga...


ZA MWIZI.....
 
Naona unajitekenya na kujichekesha Mwenyewe kama zuzu.

Unafikiri kwanini Rais wetu ameunda tume?

Unafikiri lengo la kuunda tume ni nini?

Unataka afanye maamuzi ya kukurupuka ili baadaye mje msema alikurupuka?

Rais wetu ni Makini na anataka ukweli wote ufahamike pasipo mtu yeyote yule kuonewa. Ndio Maana ameunda tume ili ije na majibu na majawabu yasiyo acha shaka.

Ndio maana watanzania wameendelea kuwa watulivu wenye subira na imani kubwa sana kwa Rais wetu Mpendwa
 
Tutaishia kuandika mitandaoni, kupiga sijui makelele lakini hawamsikilizi mtu !

Masikio yametiwa pamba !

Wanaona hakuna Chenye tutawafanya !

Mind you mtu anapotezwa kiongozi ama chama pinzani kinatoa tamko la kulaani , then imeisha hiyo !

Sad !
 
Zaidi zaidi amekuwa akiwasifia polisi na vyombo vya ulinzi na usalama kwa kazi ya kuua watu waliyoifanya.
Acheni ujinga wenu hapa . Kwani nani asiyejua nakuona kazi kubwa inayofanywa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama?

Unafikiri bila ushupavu, uimara na uhodari wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama Taifa lingekuwa wapi muda huu?

Najua ninyi furaha yenu mlitaka kuona Taifa likisambaratisha.

Kama ndio dhamira yenu hiyo basi hamtaweza kupata nafasi ya kuleta vurugu na machafuko Nchini
 
Ni vigumu kuaminika kuwa uliguswa, kuumizwa, kustushwa au kuchukizwa na matukio ya Oktoba 29, 2025. Ni vigumu kufanya watu wasadiki kuwa wewebkama Rais wa nchi yetu hujui kilichotokea au hata kufanya jitihada za kutaka kujua...

- hujajaribu kukutana na wahanga wa matukio yale...hujajaribu kujua Ni kina nani wanadai au kitafuta miili ya ndugu zao

- hujajaribu kujua au kukutana waliopoteza ndugu zao. Yaani, wale watoto/vijana waliouwa pale Mwanza hutaki kujua wazazi wao? Na yule mama na mwanae waliouawa mbele ya kamera hutaki kabisa kujua?

- umeendelea kukingia kifua vyombo vya dola na kuvipongeza jwa mauaji yale kwa kisingizio cha kutuliza "amani". Inamaanisha vyombo hivyo vilipata Baraka na vinaendelea kupata Baraka kutoka kwako. Miezi sita baadaye hujamwajibisha hata kuruta mmoja. Unataka watu waamini kilichotokea ni bahati mbaya.

- Utawala wako umeendelea kufumbia macho matukio ya utekaji na kupoteza wananchi kiasi kwamba haijulikani yapi ni uhalifu na yapi yanafanywa na vyombo vya dola. Kitendo cha Mafwele kutajwa kingekushtua...haujashtuka..IGP hajashtuka na wale wavuta bangi za madaraka bungeni hawajashtuka...

Unataka watu wengine wa nje wawajibishe nyinyi? Yaani Wamarekani, EU, SADC na wengine waumizwe na matukio kuliko mnaojiita viongozi wetu...

Bado hujafanya lolote la kutufanya tuamini kuwa umeguswa na unataka lisitokee tena...naogopa kuwa wa kwanza kusema...mtaua tena nyinyi...tena labda zaidi..harufu ya damu bado iko angani. Hamuogopi...hamna cha kuwatisha kama walivyosema wahenga...


ZA MWIZI.....
Alituma Rambirambi???
 
Ni vigumu kuaminika kuwa uliguswa, kuumizwa, kustushwa au kuchukizwa na matukio ya Oktoba 29, 2025. Ni vigumu kufanya watu wasadiki kuwa wewebkama Rais wa nchi yetu hujui kilichotokea au hata kufanya jitihada za kutaka kujua...

- hujajaribu kukutana na wahanga wa matukio yale...hujajaribu kujua Ni kina nani wanadai au kitafuta miili ya ndugu zao

- hujajaribu kujua au kukutana waliopoteza ndugu zao. Yaani, wale watoto/vijana waliouwa pale Mwanza hutaki kujua wazazi wao? Na yule mama na mwanae waliouawa mbele ya kamera hutaki kabisa kujua?

- umeendelea kukingia kifua vyombo vya dola na kuvipongeza jwa mauaji yale kwa kisingizio cha kutuliza "amani". Inamaanisha vyombo hivyo vilipata Baraka na vinaendelea kupata Baraka kutoka kwako. Miezi sita baadaye hujamwajibisha hata kuruta mmoja. Unataka watu waamini kilichotokea ni bahati mbaya.

- Utawala wako umeendelea kufumbia macho matukio ya utekaji na kupoteza wananchi kiasi kwamba haijulikani yapi ni uhalifu na yapi yanafanywa na vyombo vya dola. Kitendo cha Mafwele kutajwa kingekushtua...haujashtuka..IGP hajashtuka na wale wavuta bangi za madaraka bungeni hawajashtuka...

Unataka watu wengine wa nje wawajibishe nyinyi? Yaani Wamarekani, EU, SADC na wengine waumizwe na matukio kuliko mnaojiita viongozi wetu...

Bado hujafanya lolote la kutufanya tuamini kuwa umeguswa na unataka lisitokee tena...naogopa kuwa wa kwanza kusema...mtaua tena nyinyi...tena labda zaidi..harufu ya damu bado iko angani. Hamuogopi...hamna cha kuwatisha kama walivyosema wahenga...


ZA MWIZI.....
Mkuu katibu wa chama kasema juzi hapa kuwa POLISI WALIFANYA ILIYOTUKUKA.
Pia mwenyekiti sa💯 alisema kuwa polisi walifanya kazi nzuri kwa muda mfupi.
 
Naona unajitekenya na kujichekesha Mwenyewe kama zuzu. Unafikiri kwanini Rais wetu ameunda tume? Unafikiri lengo la kuunda tume ni nini? Unataka afanye maamuzi ya kukurupuka ili baadaye mje msema alikurupuka ? Rais wetu ni Makini na anataka ukweli wote ufahamike pasipo mtu yeyote yule kuonewa . Ndio Maana ameunda tume ili ije na majibu na majawabu yasiyo acha shaka .

Ndio maana watanzania wameendelea kuwa watulivu wenye subira na imani kubwa sana kwa Rais wetu Mpendwa

Wengine walikuwepo jambo forum hata kabla haijaitwa Jamiiforums. Kwa hiyo Ukiwa unafanya kazi yako ya kusifu na kuabudu, uwe unaangalia na IDs unazozikejeli na kuzishambulia.

Anaweza kuwa na umri sawa na baba yako. So angalia step zako kiasi na si kubwatukia kila mtu kama hayawani
 
Wengine walikuwepo jambo forum hata kabla haijaitwa Jamiiforums. Kwa hiyo Ukiwa unafanya kazi yako ya kusifu na kuabudu, uwe unaangalia na IDs unazozikejeli na kuzishambulia.

Unaweza kuta ana umri sawa na baba yako. Angalia step zako kiasi na si kubwatukia kila mtu kama hayawani
Kwani hujui hata wajinga huzeeka na kuota Mvi? Au unafikiri Umri unaongeza akili? Kama huna akili ni huna tu hata ungeota Mvi kichwani. Hata majambazi huzeeka na ujambazi wao
 
Back
Top Bottom