simu

  1. R

    JamiiForums Tanzania Naomba namba ya simu ya Mkuu wa Shule Bahari Beach High School - Ununio Dar es Salaam

    Wakuu naomba msaada wenu kupata mawasiliano ya simu na mkuu wa shule tajwa hapo juu. Mimi niko mbali na Dar es salaam. Nime- Google namba walizotoa aidha zilikuwa za walimu walishahama. Natanguliza shukran
  2. Money Penny

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Money Penny Mpenzi, naomba namba yako ya simu

    To be honest nimemiss Sana JF na kuandika HADITHI Kwa website yangu na Kuongea YouTube, tulieni Wana ngoja upepo upite nitarudi Novemba NIMEKUWA buzy mweeee, Hadi utanihurumia💃 Anywho naskia mabaharia huku mnalalamika natoa namba feki, kuna Faza anapokea simu na KUWAFOKEA 😂😂😂, poleni mweee...
  3. wanzagitalewa

    JamiiForums Tanzania Sekta ya Mawasiliano ya simu inavyosaidia ukuaji wa Uchumi Tanzania

    Kwa miaka kadhaa sasa Uchumi wa Tanzania umeendelea kukua na kuiwezesha nchi kufikia lengo la kuwa nchi ya Uchumi wa kati (lower-middle-income economy) ikiwa ni miaka mitano kabla ya kufikia mwisho wa muda iliyokuwa imejiwekea. Huku hili likitokea, Tanzania imejikita katika kuboresha zaidi...
  4. Kurzweil

    JamiiForums Tanzania NEC yaweka masharti matumizi ya simu vituoni Oktoba 28

    TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imeweka masharti ya matumizi ya simu katika vituo vya kuhesabu, kupigia na kujumulishia kura katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Mambo hayo yasiyotakiwa ni; Mosi...
  5. mgt software

    JamiiForums Tanzania TBS, TCRA na TRA washindwa kuisaidia Serikali kuondoa spea feki za Simu. Mafundi simu waishia lockup wasijue lakufanya

    Wana Jf Serilikali kupitia ajent zake za kitaifa kwa pamoja wanaungana kuikosesha mapata serikali na kuleta mtafaruku mkubwa kati ya mafundi simu na wateja wao. TBS, TCRA na TRA zilivyoshindwa Nazi zao kila moja nitaelezea makosa yao TBS wameshindwa kuajiri vijana wenye weledi kutambua vitu...
  6. FrankLutazamba

    JamiiForums Tanzania Iweje simu za mezani Ttcl walizipatia sana na zinasikika vyema na washindwe kuboresha simu za mkononi?

    Jamani inakuwaje kuwaje ukitumia simu za mezani za ttcl mambo poa,hata kwa sie wa siku nyingi walileta mradi wa simu za box unadumkiza sarafu unapiga,nazo zikawa safi na wakaweza ila za mkononi zinasuasua,tatizo nini?bora waniajili nikaongezee nguvu.
  7. happyrozo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimepoteza simu leo asubuhi Tecno Camon 11

    Habarini za saizi wadau wa Jamii Forums. Nimepoteza simu ya Tecno Camon 11 leo, nilikuwa naomba msaada wenu wa ushauri ni nini hatua ya kwanza ya kuchukua kuanzia sasa na ni namna gani nitaweza kuipata simu yangu. Asanteni sana
  8. Heavy User

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simu yangu nikiwa ndani haina mtandao, shida itakuwa ni internal antenna au software?

    Wakuu nisaidieni, hii simu inanikosesha raha. Tangu niinunue kwa mtu haijawahi kukamata network hata siku moja nikiwa ndani, inakamata nje tu, nje kwenyewe mpaka sehemu za muinuko au miti, sehemu hizohizo zenye muinuko na miti ukiiitingisha kidogo tu inakata signal ghafla, ikikamata network...
  9. Thesmartphone class

    JamiiForums Tanzania Jifunze kutangaza biashara yako na Facebook ads kupitia app ya simu yako

    Habarini wapendwa Kama kichwa Cha huu uzi kinavyojieleza kuhusu Facebook ads. Kwahivyo sisi tumeamua kukufundisha hii huduma kwa kupitia video zitakazo rushwa via WhatsApp messenger. Huduma itatolewa kwa gharama ya Tsh 1000/= na kutukua na full technical support. Napatika kwa WhatsApp no-...
  10. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Usipende kuweka namba yako ya simu mitandaoni bila sababu. Ni rahisi kumdukua mtu ukiijua namba yake ya simu

    Napenda kuwapa ushauri wana JF wenzangu. Mjitahidi kulinda privacy zenu huko Facebook, Instagram, Twitter n.k. Kuna watu wakiipata tu namba yako wanakudukua kiulaini. Nimewahi kufanya research na kugundua ni rahisi sana kumdukua mtu kwenye mtandao wa kijamii ikiwa tu utaijua namba ya simu...
  11. Almendezz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Orodha ya Simu 10 bora kwa camera

    List hii ya simu 10 bora kwa camera ni kwa mujibu wa DXOMARK. Bila ya kupoteza muda tuanze na namba 1 HUAWEI MATE 40 PRO Huawei Mate 40 Pro is officially announced on October 22, 2020. The dimension of the device is 162.9 x 75.5 x 9.1 mm while it weighs 212 grams. The device is powered by...
  12. Slow learner

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Jinsi ya ku unlock simu

    Habari wakuu! Naomba kwa anayefahamu jinsi ya Ku unlock simu ya Nokia ya torch iliyosahaulika password anisaidie tafadhali Naomba kuwasilisha.
  13. DocJayGroup

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa utaratibu wa kupata SMS za mtu kupitia watoa huduma (mitandao) na kama polisi Tanzania wanafanya polygraph test

    Nimeona sio mbaya kuingia kwa JF kupata information zaidi sababu kuna watu wana knowledge nyingi sana na mbalimbali hapa. Katika saiti yangu moja ya kazi, kuna nyumba za wafanyakazi. Kijana mmoja mwangalizi mkuu wa saiti hio, amekuwa akitunza hela kwenye ndoo sababu wazazi wake walipitia tatizo...
  14. mimi mtakatifu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Simu gani nzuri ya Samsung kwa bajeti yangu

    Nataka kununua Simu. Naomba ushauri toleo gani zuri la Samsung. Bajeti yangu 300,000/= ~ 400,000/=. Nazingatia zaidi good camera na muonekano. Update Niliongeza pesa kidogo nikachukua Samsung A 51, nimeipenda ni nzuri. Asanteni.
  15. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dodoma: Yaliyojiri mapokezi ya Tundu Lissu na mkutano mkubwa viwanja vya Uhuru Dodoma

    WanaJF Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuzindua kampeni katika Kanda ya Kati mkoani Dodoma. Rais huyo mtarajiwa wa Tanzania ataambatana na mgombea Mwenza Salum Mwalimu, Katibu Mkuu John Mnyika na Mwenyekiti wa Kanda ya Kati Lazaro Nyalandu Tayari Kuna pilikapilika kubwa...
  16. Tulimumu

    JamiiForums Tanzania Zingatia mambo haya unapopiga au kupigiwa simu ili usiwe kero

    Simu ni chombo muhimu sana cha mawasiliano lakini wakati mwingine kina weza kuwa karaha kutokana na sababu mbali mbali. A: Unapo mpigia mtu simu zingatia mambo haya. 1. Ukipiga simu ukiona haipokelewi kata usisubiri mpaka mtandao ukuambie kuwa simu yako haipokelewi. Usishikilie line muda mrefu...
  17. reyzzap

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania OFFICIAL : Samsung watoa simu yenye 7000mAh muda mfupi uliopita(M51)

    Kwa mara ya kwanza Katika ulimwengu wa kampuni KUBWA na MAARUFU za Simu(Tuelewane hapo, usikimbilie ligi uje unitajie Doogee, Energizer au ulefone). Hatimaye leo mchana samsung ametoa ingizo jipya katika series yake ya 'M', series inayojuulikana kwa kutoa simu zenye battery kubwa. Hii ni...
  18. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Wanaopiga simu Zimamoto kuripoti matukio ya uongo kuchukuliwa hatua za kisheria

    Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kizimamoto Kinondoni, Kamishna msaidizi muandamizi, Salum Mohamed amesema watawachukulia hatua za kisheria wanaosababisha usumbufu kwa Jeshi la Zimamoto. Kamanda huyo amesema kuna raia wamekuwa na tabia ya kuitumia namba ya Zimamoto kuzungumza mambo...
  19. FrankLutazamba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa wenye tatizo la simu kujaa nafasi au inaandika delete file fulani ili kupata nafasi ya kudownload app nyingine usikonde fuata hatua hizi ...

    1.washa simu kisha washa data. 2.Bonyeza settings. 3.Bonyeza apps. 4.kisha zitakuja app nyingi ulizodownload,sasa anza na zile zenye mb nyingi kama WhatsApp, unaibonyeza 5.Bonyeza storage. 6.Bonyeza clear data.kisha sema OK. Halafu back unaingia app nyingine,ukifanya app tano nafasi utapata ya...
  20. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Mume amuua mkewe baada ya meseji ya muamala wa pesa kuingia kwenye simu ya mke na kudhani meseji imetoka kwa mwanaume mwingine

    Mwalimu wa Shule ya Msingi Chalantai wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Tabita Mwanyanje (29), anadaiwa kuuawa kwa kuchomwa kisu shingoni na maeneo mengine ya mwili na mumewe Frank Galimoshi (30) kwa wivu wa mapenzi. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
Back
Top Bottom