Wakuu naomba msaada wenu kupata mawasiliano ya simu na mkuu wa shule tajwa hapo juu. Mimi niko mbali na Dar es salaam. Nime- Google namba walizotoa aidha zilikuwa za walimu walishahama.
Natanguliza shukran
To be honest nimemiss Sana JF na kuandika HADITHI Kwa website yangu na Kuongea YouTube, tulieni Wana ngoja upepo upite nitarudi Novemba
NIMEKUWA buzy mweeee, Hadi utanihurumia💃
Anywho naskia mabaharia huku mnalalamika natoa namba feki, kuna Faza anapokea simu na KUWAFOKEA 😂😂😂, poleni mweee...
Kwa miaka kadhaa sasa Uchumi wa Tanzania umeendelea kukua na kuiwezesha nchi kufikia lengo la kuwa nchi ya Uchumi wa kati (lower-middle-income economy) ikiwa ni miaka mitano kabla ya kufikia mwisho wa muda iliyokuwa imejiwekea.
Huku hili likitokea, Tanzania imejikita katika kuboresha zaidi...
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imeweka masharti ya matumizi ya simu katika vituo vya kuhesabu, kupigia na kujumulishia kura katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).
Mambo hayo yasiyotakiwa ni;
Mosi...
Wana Jf
Serilikali kupitia ajent zake za kitaifa kwa pamoja wanaungana kuikosesha mapata serikali na kuleta mtafaruku mkubwa kati ya mafundi simu na wateja wao.
TBS, TCRA na TRA zilivyoshindwa Nazi zao kila moja nitaelezea makosa yao
TBS wameshindwa kuajiri vijana wenye weledi kutambua vitu...
Jamani inakuwaje kuwaje ukitumia simu za mezani za ttcl mambo poa,hata kwa sie wa siku nyingi walileta mradi wa simu za box unadumkiza sarafu unapiga,nazo zikawa safi na wakaweza ila za mkononi zinasuasua,tatizo nini?bora waniajili nikaongezee nguvu.
Habarini za saizi wadau wa Jamii Forums. Nimepoteza simu ya Tecno Camon 11 leo, nilikuwa naomba msaada wenu wa ushauri ni nini hatua ya kwanza ya kuchukua kuanzia sasa na ni namna gani nitaweza kuipata simu yangu. Asanteni sana
Wakuu nisaidieni, hii simu inanikosesha raha. Tangu niinunue kwa mtu haijawahi kukamata network hata siku moja nikiwa ndani, inakamata nje tu, nje kwenyewe mpaka sehemu za muinuko au miti, sehemu hizohizo zenye muinuko na miti ukiiitingisha kidogo tu inakata signal ghafla, ikikamata network...
Habarini wapendwa Kama kichwa Cha huu uzi kinavyojieleza kuhusu Facebook ads. Kwahivyo sisi tumeamua kukufundisha hii huduma kwa kupitia video zitakazo rushwa via WhatsApp messenger. Huduma itatolewa kwa gharama ya Tsh 1000/= na kutukua na full technical support.
Napatika kwa
WhatsApp no-...
Napenda kuwapa ushauri wana JF wenzangu.
Mjitahidi kulinda privacy zenu huko Facebook, Instagram, Twitter n.k. Kuna watu wakiipata tu namba yako wanakudukua kiulaini.
Nimewahi kufanya research na kugundua ni rahisi sana kumdukua mtu kwenye mtandao wa kijamii ikiwa tu utaijua namba ya simu...
List hii ya simu 10 bora kwa camera ni kwa mujibu wa DXOMARK.
Bila ya kupoteza muda tuanze na namba 1
HUAWEI MATE 40 PRO
Huawei Mate 40 Pro is officially announced on October 22, 2020.
The dimension of the device is 162.9 x 75.5 x 9.1 mm while it weighs 212 grams. The device is powered by...
Nimeona sio mbaya kuingia kwa JF kupata information zaidi sababu kuna watu wana knowledge nyingi sana na mbalimbali hapa.
Katika saiti yangu moja ya kazi, kuna nyumba za wafanyakazi. Kijana mmoja mwangalizi mkuu wa saiti hio, amekuwa akitunza hela kwenye ndoo sababu wazazi wake walipitia tatizo...
Nataka kununua Simu.
Naomba ushauri toleo gani zuri la Samsung.
Bajeti yangu 300,000/= ~ 400,000/=.
Nazingatia zaidi good camera na muonekano.
Update
Niliongeza pesa kidogo nikachukua Samsung A 51, nimeipenda ni nzuri. Asanteni.
WanaJF
Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuzindua kampeni katika Kanda ya Kati mkoani Dodoma.
Rais huyo mtarajiwa wa Tanzania ataambatana na mgombea Mwenza Salum Mwalimu, Katibu Mkuu John Mnyika na Mwenyekiti wa Kanda ya Kati Lazaro Nyalandu
Tayari Kuna pilikapilika kubwa...
Simu ni chombo muhimu sana cha mawasiliano lakini wakati mwingine kina weza kuwa karaha kutokana na sababu mbali mbali.
A: Unapo mpigia mtu simu zingatia mambo haya.
1. Ukipiga simu ukiona haipokelewi kata usisubiri mpaka mtandao ukuambie kuwa simu yako haipokelewi. Usishikilie line muda mrefu...
Kwa mara ya kwanza Katika ulimwengu wa kampuni KUBWA na MAARUFU za Simu(Tuelewane hapo, usikimbilie ligi uje unitajie Doogee, Energizer au ulefone).
Hatimaye leo mchana samsung ametoa ingizo jipya katika series yake ya 'M', series inayojuulikana kwa kutoa simu zenye battery kubwa.
Hii ni...
Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kizimamoto Kinondoni, Kamishna msaidizi muandamizi, Salum Mohamed amesema watawachukulia hatua za kisheria wanaosababisha usumbufu kwa Jeshi la Zimamoto.
Kamanda huyo amesema kuna raia wamekuwa na tabia ya kuitumia namba ya Zimamoto kuzungumza mambo...
1.washa simu kisha washa data.
2.Bonyeza settings.
3.Bonyeza apps.
4.kisha zitakuja app nyingi ulizodownload,sasa anza na zile zenye mb nyingi kama WhatsApp, unaibonyeza
5.Bonyeza storage.
6.Bonyeza clear data.kisha sema OK.
Halafu back unaingia app nyingine,ukifanya app tano nafasi utapata ya...
Mwalimu wa Shule ya Msingi Chalantai wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Tabita Mwanyanje (29), anadaiwa kuuawa kwa kuchomwa kisu shingoni na maeneo mengine ya mwili na mumewe Frank Galimoshi (30) kwa wivu wa mapenzi.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.