simu

  1. sky soldier

    iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

    1. i phones ni gharama, Hapa sitazungumza sana, nachoomba tu nenda duka linalouza i phones mpya (sio mitumba / refurbished) kaulize bei, Inabidi uwe vizuri kiuchumi tofauti na huku android kuna simu hata za laki kwa wenye bajeti finyu ila pia kuna simu za gharama kuliko hata iPhone kwa...
  2. T

    iPhone yapoteza nafasi ya kuwa simu namba 1 China. Watu wengi wanahamia Huawei

    China kulikua na Iphone nyingi kuliko nchi yoyote Duniani ila sasa Iphone inapoteza nafasi ya kua simu namba moja China. Watumiaji wengi wa Iphone wanahamia Huawei, Iphone inakabiliwa na ushindani mkubwa kutoka kwa makampuni ya China kama Huawei, One Plus, Oppo, Honor, TCL, ZTE na kadhalika...
  3. Mparee2

    Nahitaji namba ya Simu ya Hospitali ya Amana

    Naomba aliye na namba za simu za Amana Hospitali anipatie kwani zilizopo kwenye mtandao hazipatikani. Asanteni
  4. Analogia Malenga

    GE2020 NEC yaonya wasimamizi kuzima simu

    WASIMAMIZI wa uchaguzi wa mikoa na wasimamizi wa uchaguzi mkuu ngazi ya wilaya na majimbo, wameagizwa kuhakikisha simu zao zinakuwa wazi katika kipindi chote hadi uchaguzi utakapomalizika na matokeo kutangazwa rasmi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Kadhalika, NEC imewasisitiza wasimamizi wa...
  5. stunnacarter2015

    Wallpapers za simu

    Hello mwana JF Wengi wetu tunapata changamoto kupata wallpaper nzuri za simu. Ama tunaweka wallpaper zinazotuumiza macho kwa namna moja ama nyingine au tunatumia wallpaper lakini imekuchosha na hujui wallpaper nzuri ya kuweka... Sasa basi usisumbuke tena kwani tunakuletea wallpaper nzuri...
  6. Tanki

    Msaada wakuu hii simu ina mapepo au?

    Wakuu habari za muda huu. ninan shida hapa kwenye hiisimu yangu ambayo ni tecno W3. Hii simu sasa hivi nikiiweka tu betri inajiwasha yenyewe kabla hata sijaiwasha. Na ikijiwasha inaandika tu neno tecno arafu inaganda hivyo hivyo baada sekunde kama kumi hivi inajizima na kujiwasha tena...
  7. Mkogoti

    Yaani tukutane kimjini mjini harafu nikukabidhi tu simu yangu Umerogwaa?

    Habari za usiku huu wapendwa katika Bwana Natanguliza shukrani zangu za dhati Kwa Mpendwa wetu Aliyetutoka Mh. William Benjamin Mkapa pia Umomi R.I.P🙏🙏 Baada ya salamu hizo niingie sasa kwenye kufoka😅🤣 Nipo maeneo ya mjini Mida kama ya saa 11 jioni nimeskilizia tu kushangaa magorofa, mara...
  8. C

    Msaada simu inapata joto

    Habari wakuu, Nina simu ya mtumba nilinunua kama wiki tatu Sasa ila ina mtindo wa kupata joto nikiwasha data kidogo au nikiunga Hotspot na pc au hata niwasha baadhi ya apps. Cha ajabu naweza play audio usiku kucha na isipate joto au naweza ongea na mtu Muda mrefu still isipate joto Aina ya...
  9. dunstech

    Fahamu usiyoyajua kuhusu Imei namba ya simu yako

    IMEI NUMBER NI NINI? IMEI ni kifupi cha " International Mobile Equipment Identity". Hii ni number ambayo inatumiwa kukitambua na kutofautisha vifaa ambavyo vinatumia cellular network. Cellular network ni network ambayo unatumia kupiga simu au kuunganishwa na internet. Kwa simu zenye sim card...
  10. B

    Msaada: Tatizo la picha kujirudia rudia (Multple photos) katika simu

    Habari waungwana, kuna changamoto ya kujirudia rudia kwa picha na ma file mengine katika simu hasa "Audio" na "Video". Msaada : 1. Naomba kujuzwa ni kitu husababisha kujirudia rudia (Multiple) kwa mafile katika simu, yaani audio zinakuwa mbili mbili, au folder za mapicha zinakuwa mbili mbili...
  11. E

    Watumiaji wa Mtandao wa Simu ya Kampuni ya Voda kuweni makini

    WanaJF mnaotumia mtandao wa simu wa kampuni ya Vodacom kuweni makini kufuatilia makato ya fedha kwenye vifurushi mnavyojiunga. Kuna kukatwa pesa bila mteja kujua hasa unapokuwa unajiunga ukiwa na fedha kwenye account yako. Jioni hii nimepigwa, nanilipowafatilia wananipa majibu ambayo wao...
  12. Analogia Malenga

    15 kizimbani wakidaiwa kutumia simu kutapeli

    WAKAZI 15 wa wilaya ya Kilombero Morogoro wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kula njama kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutumia laini za watu wengine bila kutoa taarifa. Washitakiwa hao ni mkulima Meniad Ndiyo (25), dereva...
  13. Kipenzi Changu

    Changamoto tunazopata katika mchakato wa kuomba namba ya simu

    Kupata namba ya simu ya demu ni mchakato hasa kwa wale wazee wa kujishtukia Juzi kati nikasafiri toka Dom kwenda Mwanza. Pembeni nina pis kali anashuka Buhongwa. Wote tulichangamka sana na mastori ya kila aina. Mara chache sana tulikuwa kimya ukiacha ile mida ya kusinzia. Drinks na bites...
  14. wanzagitalewa

    Huduma za simu zinavyoisaidia Tanzania kukuza uchumi wake

    Mashaka Meela, Dar es Salaam Takwimu za uchumi za hivi karibuni zinaonesha kuwa kuna kila sababu ya kuwa na matumaini na hali ya uchumi wa nchi yetu. Kwa mujibu wa makadirio ya hivi karibuni ya Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), uchumi wa Tanzania unakadiriwa kukua kwa asilimia 5.2 kufikia...
  15. Bujibuji Simba Nyamaume

    Upotolo wa simu yangu

    Simu yangu ni utopolo mtupu, unaweza ukawa uko kwenye application nyingine kabisa ie uko kwenye chrome, mara ghafla unakuta simu inajipiga yenyewe kwa namba yoyote ya kwenye phone book. Ukiiweka mfukoni unakuta imejirekodi mavideo na imejipiga mapicha zaidi ya buku. Betri inapata moto sana...
  16. YEHODAYA

    Mteja wa Vodacom sasa anaweza kupokea pesa kutoka nchi za nje akitumiwa kwa njia ya World Remit, Money Gram na Juba express

    Kilio cha wadau cha kutaka kurahishwe njia za kupokea pesa zimeanza kusikilizwa Sasa hivi Mteja wa vodacom mwenye Mpesa Sasa waweza pokea pesa toka nchi za nje kwenye simu yako ukitumiwa kwa njia ya World Remit,Money Gram na Juba express. Kama una mtu nje na una namba ya vodacom yenye Mpesa...
  17. DrMatelephone

    Phone4Sale Wewe Ni Tigo Agent? Unatafuta Simu Yenye OTG?

    Kama unavyojua, Ili uweze kutumia application ya Tigo Agent unahitaji OTG. Na OTG zipo kwenye simu chache tu. Kwenye simu nyingine inabidi upoteze muda wako ku-donwload OTG kwanza ndio Iweze kufanya kazi. Sasa kama hutaki kupoteza huo muda. Na unatafuta simu inayokuja na OTG moja kwa moja...
  18. Gabbimakini

    INAUZWA Shule inauzwa wilaya ya Temeke

    Kwa picha na maelezo zaidi piga simu... 0688351006 kwa maelezo zaidi.
  19. Feld Marshal Tantawi

    Aina hii ya simu, nikiagiza haziwezi kuleta shida bongo?

    Wadau nimetembelea mtandao wa Ali Express kuna simu mbalimbali nimeziona kule na kwa bei nzuri simu kama qukutel n.k. Je, nikiagiza haziwezi kuja kuleta shida bongo au tayari jamaaa washaiweka katika access ya nchi zote duniani? Wajuvi nawaomba hapa kwa msaada zaidi
  20. wanzagitalewa

    Intaneti kwa njia ya simu inavyochagiza ukuaji wa uchumi jumuishi

    Hivi karibuni Benki ya Dunia imetangaza kuwa Tanzania imeingia rasmi kwenye uchumi wa kati ikiwa ni miaka mitano kabla ya kufikia ukomo wa muda uliokuwa umewekwa na serikali yaani 2025. Tanzania imefanikiwa kufikia hatua hii kutokana na ukuaji imara wa uchumi. Kwa mfano, mwaka uliopita Tanzania...
Back
Top Bottom