Wakuu, Mamlaka ya NIDA imeorodhesha namba hizi kwaajili ya mawasiliano kwa sisi wateja wao wenye changamoto mbali mbali kutokana URASIMU wao;
0752 000058, 0677 146667, 0777 740008, na 0735 201020.
Jambo la kushangaza na KUUDHI, namba hizo kila ukipiga simu HAZIPOKELEWI wala kujibiwa chochote...
Wana teknolojia hamjambo?
Naomba msaada wa ufumbuzi wa simu yangu ya Tecno. Imekuwa inasumbua Sana na Kila nikitaka kutumia Kuna ujumbe unatokea kwenye screen (Google play has stopped) hata Niki click "setting" haifunguki.
Naomba kuwasilisha.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kinapokea taarifa za watia nia wanaotoa rushwa kutoka kote mikoani kila siku.
Polepole amesisitiza kuwa watu hao ambao majina yao yapo makao makuu hawatapewa fursa ya kugombea uongozi kamwe.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo...
Jana zilitoka habari za ndani au chini ya kapeti kua nchi ya Italia inafikiria kuitenga Huawei kwenye mfumo wake wa mtandao wa 5G.
Juzi pia zilitoka habari kua Marekani inaishinikiza Brazil kutafta kampuni nyingine nje ya Huawei kuunda mfumo wake wa taknolojia ya 5G na Marekani akaahidi yuko...
Habari wapendwa? Natumaini Wazima wa Afya.
Twende kwenye hoja yetu, ni hivi: Jumapili kulikuwa na Tamasha la kwaya mbalimbali Lengo ni Kumshukuru MUNGU, Sasa kwenye mida kama ya Usiku hivi Kulikuwa na kama Tv ikamuonesha Rais John Pombe Magufuli akiwasalimia waliohudhuria.
Ila Nyuma ya...
Kwa kawaida simu huwa yamoto wakati ikiwa inachajiwa ama inatumika kwa matumizi yanayotumia moto mwingi wa betri (mfano kuangalia videos, kucheza games, etc). Ila umoto wake huwa wa kawaida na sio wa kutisha. Ukiona simu inakuwa yamoto mpaka unashtuka ujue kuna kitu hakipo sawa. Soma zaidi...
Serikali ya ufaransa imesema haina mpango wa kuipiga marufuku Huawei kufanya kazi ndani ya nchi hiyo ila imesisisitiza kampuni za simu kuepuka Huawei.
Kuna kampuni tayari zilishapewa kibali cha kutumia mitambo ya Huawei kwenye teknolojia ya 5G hasa kwenye maeneo yasiyo ya muhimu kama vile...
Katika miaka ya hivi karibuni, dunia imeshuhudia maendeleo makubwa kwenye sekta ya teknolojia hasa linapokuja suala la matumizi ya simu.
Hakuna ubishi wowote kwamba intaneti kwa njia ya simu imeleta tija kubwa katika shughuli zetu. Katika ulimwengu wa biashara imesaidia watu kuwasiliana na...
Hizo n screenshot kutoka kwenye series inayoitwa HANNA season ya pili, episode ya 7
Hiyo simu ilionekana nikaiscreenshot kama hivyo. Sasa naomba kama kunamtu kwa huo muonekano anaweza kuitambua anipe jawabu
Natanguliza shukrani
Kutokana na maongezi ya vigogo wa chama fulani kuvujishwa mitandaoni kwa siku za karibuni huku wahusika wakipeta utadhani hawajavunja sheria, nawashauri sana kuepuka kujadili mipango yenu yoyote inayohusu uchaguzi kwa njia ya simu kwani inaweza kuvujishwa kwa lengo la kutoa siri zenu na hata...
Baada ya sheria ya mitandao nchini kuanza kazi, na makampuni ya simu kuweka no 106 kama njia ya kuhakiki namba uliyosajiri kwa mfumo wa finger print.
Basi nashauri hivi:
ingekuwa vyema makampuni pamoja na TCRA wangeweka option ya mtu kuikataa namba ambayo anataka iondolewe ili kukidhi takwa la...
Walianza na kusajili line kwa alama za vidole, wamiliki wa mitandao wakaishiwa nguvu wakijua kuwa sasa mavuno yatapungua kwakuwa watumiaji (walaji) watapungua.
Ashukuriwe Mungu watu wakawasajilia watu wao wa karibu maisha yakaanza kutengamaa.
Sasa TCRA inapofosi mtu awe na line moja tu kwa...
Msanii idris sultan na mwezake walifikishwa mahakama ya kisutu kwa makosa ya matumizi mabaya ya mtandao, moja ya makosa waliyokuwa nayo ni pamoja na yeye Idris kutumia namba isiyo yake, na mwenzake alishtakiwa kwa kuruhusu line yake itumiwe na mtu mwingine. Nakumbuka mahakama ya Kisutu iliwapa...
TCRA tanzania, naomba mnisaidie kujua kama mambo yanayofanywa na kampuni ya simu ya vodacom tanzania nisahii! Nakama nisahii mtupe ufafanuzi, kama siyo sahihi mkomeshe jambo hili na muwaagize warudishe gharama tulizotumia katika huduma ambayo kimsingi ni haki kwa mteja kuipata bila gharama...
Natazama 360 Clouds naona Hassan Ngoma anambana Spika maswali mpaka anajichanganya kuhusu suala la Mbowe.
Kuhusu sheria ya habari analalamika lalamika tu kuwa wapinzani wanapendelewa na mitandao ya kijamii na waandishi wa habari.
=====
Katika Mahojiano ya Spika Job Ndungai na Clouds Media...
nilihifadhi namba za jamaa na ndugu kwenye option ya save via yahoo!!
sasa simu niliibiwa, nowa nipo kwenye account yangu ya yahoo... nimetafuta option ya kuona namba nilizokuwa nasave kwa yahoo sijafanikiwa, please msaada
Sasa nimeamini kuwa huenda nchi ya Tanzania ikawa na Watu mahiri kabisa na wenye Vipaji vikubwa vya Kukimbia mbio ndefu ( za Nyika ) kiasi kwamba wakijitokeza au wakimulikwa na Wahusika ( Vyama vya Michezo ) husika na Kushiriki katika Michuano mbalimbali mikubwa ya Riadha wanaweza Kuiletea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.