simu

  1. E

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa Mtandao wa Simu ya Kampuni ya Voda kuweni makini

    WanaJF mnaotumia mtandao wa simu wa kampuni ya Vodacom kuweni makini kufuatilia makato ya fedha kwenye vifurushi mnavyojiunga. Kuna kukatwa pesa bila mteja kujua hasa unapokuwa unajiunga ukiwa na fedha kwenye account yako. Jioni hii nimepigwa, nanilipowafatilia wananipa majibu ambayo wao...
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania 15 kizimbani wakidaiwa kutumia simu kutapeli

    WAKAZI 15 wa wilaya ya Kilombero Morogoro wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kula njama kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutumia laini za watu wengine bila kutoa taarifa. Washitakiwa hao ni mkulima Meniad Ndiyo (25), dereva...
  3. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Changamoto tunazopata katika mchakato wa kuomba namba ya simu

    Kupata namba ya simu ya demu ni mchakato hasa kwa wale wazee wa kujishtukia Juzi kati nikasafiri toka Dom kwenda Mwanza. Pembeni nina pis kali anashuka Buhongwa. Wote tulichangamka sana na mastori ya kila aina. Mara chache sana tulikuwa kimya ukiacha ile mida ya kusinzia. Drinks na bites...
  4. wanzagitalewa

    JamiiForums Tanzania Huduma za simu zinavyoisaidia Tanzania kukuza uchumi wake

    Mashaka Meela, Dar es Salaam Takwimu za uchumi za hivi karibuni zinaonesha kuwa kuna kila sababu ya kuwa na matumaini na hali ya uchumi wa nchi yetu. Kwa mujibu wa makadirio ya hivi karibuni ya Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), uchumi wa Tanzania unakadiriwa kukua kwa asilimia 5.2 kufikia...
  5. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Upotolo wa simu yangu

    Simu yangu ni utopolo mtupu, unaweza ukawa uko kwenye application nyingine kabisa ie uko kwenye chrome, mara ghafla unakuta simu inajipiga yenyewe kwa namba yoyote ya kwenye phone book. Ukiiweka mfukoni unakuta imejirekodi mavideo na imejipiga mapicha zaidi ya buku. Betri inapata moto sana...
  6. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Mteja wa Vodacom sasa anaweza kupokea pesa kutoka nchi za nje akitumiwa kwa njia ya World Remit, Money Gram na Juba express

    Kilio cha wadau cha kutaka kurahishwe njia za kupokea pesa zimeanza kusikilizwa Sasa hivi Mteja wa vodacom mwenye Mpesa Sasa waweza pokea pesa toka nchi za nje kwenye simu yako ukitumiwa kwa njia ya World Remit,Money Gram na Juba express. Kama una mtu nje na una namba ya vodacom yenye Mpesa...
  7. DrMatelephone

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Wewe Ni Tigo Agent? Unatafuta Simu Yenye OTG?

    Kama unavyojua, Ili uweze kutumia application ya Tigo Agent unahitaji OTG. Na OTG zipo kwenye simu chache tu. Kwenye simu nyingine inabidi upoteze muda wako ku-donwload OTG kwanza ndio Iweze kufanya kazi. Sasa kama hutaki kupoteza huo muda. Na unatafuta simu inayokuja na OTG moja kwa moja...
  8. Gabbimakini

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Shule inauzwa wilaya ya Temeke

    Kwa picha na maelezo zaidi piga simu... 0688351006 kwa maelezo zaidi.
  9. Feld Marshal Tantawi

    JamiiForums Tanzania Aina hii ya simu, nikiagiza haziwezi kuleta shida bongo?

    Wadau nimetembelea mtandao wa Ali Express kuna simu mbalimbali nimeziona kule na kwa bei nzuri simu kama qukutel n.k. Je, nikiagiza haziwezi kuja kuleta shida bongo au tayari jamaaa washaiweka katika access ya nchi zote duniani? Wajuvi nawaomba hapa kwa msaada zaidi
  10. wanzagitalewa

    JamiiForums Tanzania Intaneti kwa njia ya simu inavyochagiza ukuaji wa uchumi jumuishi

    Hivi karibuni Benki ya Dunia imetangaza kuwa Tanzania imeingia rasmi kwenye uchumi wa kati ikiwa ni miaka mitano kabla ya kufikia ukomo wa muda uliokuwa umewekwa na serikali yaani 2025. Tanzania imefanikiwa kufikia hatua hii kutokana na ukuaji imara wa uchumi. Kwa mfano, mwaka uliopita Tanzania...
  11. Jimbi

    JamiiForums Tanzania NIDA Kuna shida gani mbona hampokei simu?

    Wakuu, Mamlaka ya NIDA imeorodhesha namba hizi kwaajili ya mawasiliano kwa sisi wateja wao wenye changamoto mbali mbali kutokana URASIMU wao; 0752 000058, 0677 146667, 0777 740008, na 0735 201020. Jambo la kushangaza na KUUDHI, namba hizo kila ukipiga simu HAZIPOKELEWI wala kujibiwa chochote...
  12. Kitangiri15

    JamiiForums Tanzania Simu yangu ya Tecno inasumbua inaandika 'Google play has stopped'

    Wana teknolojia hamjambo? Naomba msaada wa ufumbuzi wa simu yangu ya Tecno. Imekuwa inasumbua Sana na Kila nikitaka kutumia Kuna ujumbe unatokea kwenye screen (Google play has stopped) hata Niki click "setting" haifunguki. Naomba kuwasilisha.
  13. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Polepole: Watia nia wanaotoa rushwa kote Mikoani chama kina taarifa zao, hawatapata Uongozi

    Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kinapokea taarifa za watia nia wanaotoa rushwa kutoka kote mikoani kila siku. Polepole amesisitiza kuwa watu hao ambao majina yao yapo makao makuu hawatapewa fursa ya kugombea uongozi kamwe. Chanzo: Channel ten. Maendeleo...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Hatimae Telecom Italia, kampuni namba moja ya simu Italia imeiondoa Huawei kwenye uzinduzi wa 5G yake

    Jana zilitoka habari za ndani au chini ya kapeti kua nchi ya Italia inafikiria kuitenga Huawei kwenye mfumo wake wa mtandao wa 5G. Juzi pia zilitoka habari kua Marekani inaishinikiza Brazil kutafta kampuni nyingine nje ya Huawei kuunda mfumo wake wa taknolojia ya 5G na Marekani akaahidi yuko...
  15. senzoside

    JamiiForums Tanzania Ni simu gani nzuri nayoweza kununua kwa bajeti ya 150,000/=

    Poleni na mapambano ya kila siku, naomba mapendekezo ya simu nzuri ya smart ninayoweza kununua kwa budget ya 150,000/=
  16. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania Je, Rais Magufuli alipopiga simu kwenye Tamasha la Kwaya la Kumshukuru Mungu alikuwa yupo wapi pale?

    Habari wapendwa? Natumaini Wazima wa Afya. Twende kwenye hoja yetu, ni hivi: Jumapili kulikuwa na Tamasha la kwaya mbalimbali Lengo ni Kumshukuru MUNGU, Sasa kwenye mida kama ya Usiku hivi Kulikuwa na kama Tv ikamuonesha Rais John Pombe Magufuli akiwasalimia waliohudhuria. Ila Nyuma ya...
  17. miamiatz

    JamiiForums Tanzania Fahamu kitu cha kufanya ikiwa simu inakuwa ya moto mara kwa mara

    Kwa kawaida simu huwa yamoto wakati ikiwa inachajiwa ama inatumika kwa matumizi yanayotumia moto mwingi wa betri (mfano kuangalia videos, kucheza games, etc). Ila umoto wake huwa wa kawaida na sio wa kutisha. Ukiona simu inakuwa yamoto mpaka unashtuka ujue kuna kitu hakipo sawa. Soma zaidi...
  18. T

    JamiiForums Tanzania Ufaransa imesema haitaipiga marufuku Huawei ila imezisihi kampuni za simu kuiepuka Huawei

    Serikali ya ufaransa imesema haina mpango wa kuipiga marufuku Huawei kufanya kazi ndani ya nchi hiyo ila imesisisitiza kampuni za simu kuepuka Huawei. Kuna kampuni tayari zilishapewa kibali cha kutumia mitambo ya Huawei kwenye teknolojia ya 5G hasa kwenye maeneo yasiyo ya muhimu kama vile...
  19. wanzagitalewa

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kampuni za simu katika kukuza teknolojia Tanzania

    Katika miaka ya hivi karibuni, dunia imeshuhudia maendeleo makubwa kwenye sekta ya teknolojia hasa linapokuja suala la matumizi ya simu. Hakuna ubishi wowote kwamba intaneti kwa njia ya simu imeleta tija kubwa katika shughuli zetu. Katika ulimwengu wa biashara imesaidia watu kuwasiliana na...
  20. Mr Q

    JamiiForums Tanzania Wajuzi, hii inaweza kuwa ni aina gani ya simu?

    Hizo n screenshot kutoka kwenye series inayoitwa HANNA season ya pili, episode ya 7 Hiyo simu ilionekana nikaiscreenshot kama hivyo. Sasa naomba kama kunamtu kwa huo muonekano anaweza kuitambua anipe jawabu Natanguliza shukrani
Back
Top Bottom