simu

  1. Jakamoyo msoga

    Sijui kwanini huwa najihisi vibaya mpenzi wangu asipopokea simu usiku

    Kuna siku nilimpigia mpenzi wangu simu, akasema subiri nikifika Nyumbani nitakupigia nimemsindikiza dada kazini kwake hapa Mlimani City mara moja, alipokea kana kwamba ana wasiwasi, na ukizingatia nikachukulia labda kwakuwa Dada yake hapendi niwe na mdogo wake ndo sababu, Baadaye hakunitafuta...
  2. Jacobus

    Msaada wa kutopata jumbe za kampuni za simu

    Wakuu, nimekuwa natatizwa mno kwa kupokea jumbe toka kampuni za cm za Airtel na Vodacom mpaka wakati mwengine zinajaa. Ili kuepukana na hii adha naomba njia ya kufanya. Aksanteni.
  3. T

    Vodacom na mitandao ya simu wekeni uwezo wa mtu kurudisha pesa aliyoipokea kimakosa

    Mitandao ya simu imerahisisha maisha kwa kuruhusu mtu kujirudishia pesa aliyotuma kimakosa kwenda kwa mtu mwingine. Hili tumelipokea kwa mikono miwili. Sasa naomba muweke uwezo wa mtu kurudisha muamala wa pesa ambayo ameipokea kimakosa au ambayo haitambui. Naomba wazo hili mlifanyie kazi...
  4. Hajto

    Mwenye simu Tecno W5

    Habari zenu mabibi na mabwana. Nilikuwa nahitaji mwenye kuwa na simu mbovu aina ya Tecno W5 tuwasiliane pm, lengo langu ni kuhitaji board ya nje ya simu tu, wenye nayo aje PM.
  5. mambali

    Naweza trace Smart TV iliyoibwa kama tunavotafuta simu?

    Habari wakuu, nimeibiwa smart TV je ku a nmna naweza itrace kama tufanyavo kayika simu na je na vitu gan vinahitajikaa kama huo utaratibu upoo?
  6. napenda movie

    Kwa wenye shida upande wa Software za simu na tool tukutane hapa

    Tuna deal na simu za aina yeyote ile kwa tatizo linalohusu software basi hapa ndo nyumbani unaweza jipatia frmware pamoja na tool yake kwa free kabisa na ukakamilisha kazi yako bila shida kabisa. Ikiwa unauhitaji wa ku unlock simu na vifaa vingine kama vile modem looter nk huduma inapatikana...
  7. Miss Zomboko

    Je, wajua Simu ya Mkononi ya kwanza Duniani ilikuwa na uzito wa kilogram 2 na ilijaa chaji kwa saa 12?

    Zaidi ya miaka 42 iliyopita simu ya kwanza ilipigwa kutumia simu ya mkononi, simu hiyo ya kwanza ya mkononi ilitengenezwa na kampuni ya Motorola. Ilikuwa mwezi wa 4 tarehe 3 mwaka 1973 walijaribu kupiga simu kwa kutumia simu hiyo ya kwanza ya mkononi iliyokuwa inafahamika kwa jina la Motorola...
  8. ommytk

    Nahisi mke wangu kadukua Simu yangu. Hivi inawezekana hiyo?

    Wadau habari za majukumu Kuna jambo linanitatiza sana katika kipindi hiki cha karibuni baina yangu na mke wangu. Yaani kuna msg zangu anazijuaa, sasa sijui anapata wapi, mfano jana kuna mdada kwenye group la shule kanitumia msg anaomba msaada nimemtumia. Narudi home umeme hakuna, nikanunua LUKU...
  9. M

    Kwanini simu nyingi hazitouch ukiiweka juu ya meza?

    Simu nyingi ukiiweka juu ya kitu chochote inakataa kutouch mpaka uibebe naomba kujuzwa kitalaam inakuwa kwa sababu gani?
  10. K

    Msaada wa namna ya kutumia mabox ya kuflash simu

    Wakubwa salaam Nilinunua mabox ya kuflash simu mawili piranha na volcano mwaka 2015, nilikuwa nayatumia vizuri tu bila shida,sasa leo nimepiga window upya yamegoma kutumika na website za Haya makampuni naona kumbe ziko offline kwa muda mrefu sasa. Nisaidieni nifanyeje niweze kuyaset na...
  11. The Assassin

    Wataalamu wa simu ipi kali kati ya One Plus 8 Pro na Oppo Find X2 Pro

    Natamani ku-test the difference kwenye hizi simu za kichina. Mimi ni mpenzi wa hizi display za Samsung za curved na amoled au oled screen. Sasa hizi brand za kichina zina-offer the same screen design and displays. Na pia zinatoa premium specifications kwa bei ya chini ya hizi za Samsung au...
  12. MSAGA SUMU

    Unamkumbuka yule askari aliyeua mtu mweusi US,basi kwisha habari yake. Wazungu wakekesha kupiga simu Afrika kuomba msamaha

    Waswahili wanasema ukijua hili wenzio wanajua lile. Kikundi cha kina mama kutoka Kongo kimesema enough is enough, wamesema sasa basi. Wakina mama hao wamechoshwa na taarifa za kila siku kutoka Marekani ambapo kila kukicha watu weusi wamekuwa wakiuliwa na hivyo kutishia kutoweka kwa kizazi cha...
  13. DrMatelephone

    Ni Kweli Simu Nyingi Kariakoo Feki. Lakini Siyo Hii...

    Ukitembea kariakoo utakuatana na wauzaji wa kila aina. Na wengi wao sio watu wazuri kabisa. Wanakuuzia simu kwa kutumia mbinu zote za ushawishi. Ndani miezi miwili simu imeharibika. Na ukitaka ubadilishiwe au urudushiwe hela yako. Wanakataa. Kama hutaki kukutana na huu usumbufu. Au labda...
  14. JituMirabaMinne

    Hizi simu nzuri sana kuliko hata Tecno, zinauzwa kwa bei nafuum

    Najua ndugu zangu wa tecno mtakuja hapa na povu kama lote. Ila acha niwaambie tu kwamba hienda hamkuwaza sawa walati mnanunua hivyo vifaa vyenu vya mawasiliano. Anyway nimechagua kadhaa ambazo ni bei rahisi. Japo zingine zinaweza kuwa refurbished lakini zinaperform vizuri tu. Watu wengi...
  15. Analogia Malenga

    Marekani: Trump atishia kufunga mitandao ya kijamii nchini Marekani

    Donald Trump anatarajia leo Alhamisi kutia saini kwenye agizo linalolenga mitandao ya kijamii, maafisa wa Ikulu ya White House wamesema, saa chahe baada ya rais huyo kutishia kudhibiti au kufunga makampuni ya mitandao yote ya kijamii, akiyatuhumu kujaribu kuzuia uhuru wa kujieleza. Wawakilishi...
  16. Analogia Malenga

    Je, kutumia simu ya mkeo pia ni kosa kisheria, maana haijasajiliwa kwa jina lako?

    Msanii wa Mashairi ya kuongea,’Spoken words poerty, Malle Hanzi, ameandika kuhoji sheria ya makosa ya mtandao ilivyo. Amehoji hili baada ya Msanii wa kuchekesha kushitakiwa kwa kosa la kutumia laini isiyo sajiliwa kwa jina lake. Amehoji kama kutumia laini isiyosajiliwa kwa jina lako kuna...
  17. software master

    Jinsi ya kuflash simu za kichina (android phones)

    Kama kichwa cha post kinavyosema, nataka ujue ni jinsi gani ya kuweza kuflash simu yako ya Android kwa kutumia Proglam mbalimbali kulingana na tatizo binafsi. Hapa kwanza nitaelezea simu mbalimbali kulingana na aina ya chipset zake = => Tecno = => Infinix = => Gionee = => Innjoo = => Itel...
  18. C

    Je, tatizo ni USB Cable au ni Simu?

    Wakuu natumia simu aina ya Huawei Y9 Prime Nimejaribu kuhamisha files Kutoka kwenye PC kwenda kwenye simu Lakini imeshindikana. Sasa sijajua tatizo litakuwa ni kwenye simu au USB cable, maana mpaka Sasa nimeshajaribu zaidi ya USB Cable tano Lakini sijafanikiwa.
  19. Maleven

    Kitu gani cha ajabu umewahi kukiona uliposhika simu ya mtu?

    Kuna mzee wa heshima sana aliniomba nimsetie simu yake mambo fulani. Kwa bahati mbaya inahusisha gallery, nilichokuta ni video za porn sijaamini kabisa na wala sijamuonesha dalili yoyote kua nimeona hadi leo. Wa pili ni dada mmoja alipoteza simu yake hivyo akanipa email yake ni login ili nilog...
  20. C

    Hivi hawa wafanyakazi wa makampuni ya simu wanatuchukuliaje wateja wao?

    Kuna kampuni moja hivi ambayo si elewi elewi maana ishabadilishwa majina kibao na ujanja ujanja kibao ndani yake. Ipo pale yale mabasi yenye njia yake yanapo geukia. Sasa bana, juzi kati nilinunua bando la buku mbili shida yangu ilikuwa kupata MB's; cha ajabu sijui ndio kawaida yao basi bando...
Back
Top Bottom