Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 4,662
- 4,162
Tokea siku moja kabla ya uchaguzi mpaka zaidi ya wiki moja baadaye mawasiliano ya kimtandao yalisitishwa nchini. Kwa muda wote huo vifurushi vya internet tulivyonunua havikuweza kutumika na vifurushi vingine vili'expire' ndani ya hicho kipindi cha zuio
Tunayataka makampuni ya simu yasijikaushe bali yawajibike kwa kufidia vifurushi vyetu
NI HAYO TU!
Tunayataka makampuni ya simu yasijikaushe bali yawajibike kwa kufidia vifurushi vyetu
NI HAYO TU!