Makampuni ya simu yafidie MB zetu

Kishimbe wa Kishimbe

JF-Expert Member
Jul 18, 2013
4,662
4,162
Tokea siku moja kabla ya uchaguzi mpaka zaidi ya wiki moja baadaye mawasiliano ya kimtandao yalisitishwa nchini. Kwa muda wote huo vifurushi vya internet tulivyonunua havikuweza kutumika na vifurushi vingine vili'expire' ndani ya hicho kipindi cha zuio

Tunayataka makampuni ya simu yasijikaushe bali yawajibike kwa kufidia vifurushi vyetu

NI HAYO TU!
 
Back
Top Bottom