simu

  1. Mr mussa

    JamiiForums Tanzania Natafuta sehemu ya kujitolea katika muda wa ziada. Fani ni IT pamoja na sehemu za mafundi wa PC na simu

    Kwanza naomba niwape pole kwa mapambano ya kila siku kuhakikisha maisha yanaenda. Mimi ni mwanafunzi wa Degree chuo kimojawapo hapa Dar katika course ya IT. Katika maisha kila mtu anakuwa na lengo lake kuwa baada ya muda fulani nataka kuwa katika level hii ya maisha. Personally naomba msaada...
  2. Richard

    JamiiForums Tanzania Ubalozi wa Tanzania Uingereza walalamikiwa kwa kutopokea simu, huduma duni kutoka kwa wageni watarajiwa, je wahusika wanakwepa lugha ya kiingereza?

    Tangu kuanzishwa kwa huduma ya kufanya maombi ya viza mtandaoni kwa wageni wanaotarajiwa kutembelea Tanzania, huduma hiyo imezorota katika siku za karibuni. Muombaji viza anaetaka kutembelea Tanzania kwa kusudio lolote inanmbidi ajaze fomu ya maombi mtandaoni ambapo idara ya uhamiaji makao...
  3. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania TCRA mtakapofunga Simcard za watu mjiandae kulipa madeni ya kwenye simu

    Ebwana eee kwa yule anayeweza kukopa kwenye simu muda ndio huu kopa kopa kopa kwa bidii mlipaji yupo kwa maana fedha zipo pale TCRA za kulipa hayo madeni ,hakuna kampuni itakayokubali hasara kirahisi, Mpawa tu wana kama bilions of money hazijarejeshwa, ebwana wekeni mikakati kupata vitambulisho...
  4. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aongeza muda kwa usajili wa laini kwa alama za vidole

    Rais John Magufuli ameongeza siku 20 kuanzia kuanzia Januari 1-20 kwa watu wote watakaoshindwa kusajili laini zao za simu ifikapo Desemba 31. Pia, leo Desemba 27 Rais amefanya usajili wa laini yake kwa kutumia alama za vidole Mwananchi ====
  5. T

    JamiiForums Tanzania Yaani Rais anafitinishwa hivi hivi - Usajili wa laini simu usilete chuki

    Nimeshangaa sana baada ya Rais kubadili Maelekezo yake. Mwanzoni alikiri kuwa ni vigumu usajili kukamilika kwa kutumia Vitambulisho vya Taifa lkn jana ameelekeza kuwa kufikia Tarehe 20 Januari 2020 usajili huo uwe tayari. Nikaangalia nilipo mimi huku Idukilo - ukitaka kukutana na NIDA mpaka...
  6. Richard

    JamiiForums Tanzania TCRA kufunga simu zisizosajiliwa ni mpango wa serikali kuwabana wale wanaotumia simu kusambaza habari za uzushi au fake news

    Habari za uzushi za kutekwa kwa mdhibiti mkuu wa fedha za serikali wa zamani Profesa Assad zimezusha taharuki kubwa. Na mpaka ilipoibuka video mitandaoni ambapo Profesa Assad anaonekana yupo salama na mwenye afya njema, watu wengi waliingiwa na hofu kubwa. Ifikapo tarehe 31 Desemba mwaka huu...
  7. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania China yakamata watu 99,000 wanaojihusisha na utapeli kwa njia ya simu

    Wizara ya Usalama wa Umma ya China imesema, Polisi nchini humo imefungua kesi 118,000 za uhalifu wa utapeli kwa kutumia simu za mkononi na kuwakamata watu elfu 99 wakati wa operesheni ya "Cloud Sword" iliyoanza mwezi Juni mwaka huu. Mkurugenzi wa Idara ya Uchunguzi wa Uhalifu iliyo chini ya...
  8. TECNO Tanzania

    JamiiForums Tanzania Kwanza nilipopigiwa simu sikuamini!

    Ni kauli ya mshindi wa Tunu za TECNO wakati akikabidhiwa zawadi yake alipotembelewa na TECNO Blue Santa na timu ya TECNO nyumbani kwake Mbagala, Dar es Salaam. Caroline ambaye ni mwanafunzi wa sekondari, alishinda seti ya Dstv na vocha ya manunuzi yenye thamani ya Sh. 500,000 baada ya...
  9. Suley2019

    JamiiForums Tanzania TCRA: Laini zote ambazo hazijasajiliwa kwa namba za NIDA zitafungwa kufikia Desemba 31, 2019

    Mamlaka hiyo imesema kwamba hakuna laini ya simu itakayofungwa kabla ya tarehe hiyo. Aidha, imesema wananchi wanatakiwa kwenda kusajili laini zao kwa kutumia vitambulisho vya uraia, na kuthibitisha usajili huo kabla ya muda uliowekwa kwa kuwa hakutakuwa na mabadiliko ya kuzifunga. Akizungumza...
  10. Akilitime

    JamiiForums Tanzania Dharau: Airtel wameanza kufungia laini zisizosajiliwa

    Naomba kujua, hawa Airtel wanapinga agizo la Mheshimiwa? Mbona wameanza kufunga line kinyume na tamko la Rais? Mimi ni mhanga wa kufungiwa huduma. Ushauri: kama hujasajili wahi mapema ili kuepuka usumbufu wa kukosa mawasiliano hapo baadae. Poa kwa NIDA ingekuwa bora wakaongeza kasi ya utoaji...
  11. Cicero

    JamiiForums Tanzania Google Pixel 4 XL ni simu nzuri kwa Tanzania?

    Wasalaam. Nina mpango wa kununua simu na kwa sasa options ninazozifikiria ni 1. LG G8 Thinq 2. iPhone X / XS Max / 11 3. Google Pixel 4 XL Naomba kwa mwenye ujuzi na hizi simu za Google anieleze kwa nini hazitumiki sana kwa hapa Tanzania. Zina kasoro yoyote? Ukute labda kuna functions haziwi...
  12. Bubolwa Chura

    JamiiForums Tanzania Niuzie simu ofa 130,000 Dodoma

    Kama una simu na uko Dodoma naomba niuzie nimekwama kabisa. Masharti, uwe tayari kwenda kuandikisha polisi au kwa mwenyekiti wa mtaa au kwa mwanasheria kuwa tumeuziana simu. Tecno Air, Tecno Phantom, Samsung J7, Infinix Note 5 nk. Usiniambie una Tecno sijui ambayo dukani unauza laki moja au...
  13. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Namna matumizi ya simu au Kompyuta yanavyosababisha tatizo la uoni hafifu

    Daktari bingwa wa magonjwa ya macho kutoka Hospitali ya CCBRT, Dar es Salaam, Cprian Ntomoka amesema kuwa matumizi ya vifaa vyenye mwanga mkali kama simu na kompyuta yanaweza kusababisha tatizo la uoni hafifu au hata upofu wa muda. Dk. Ntomoka ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Macho katika...
  14. Miki123

    JamiiForums Tanzania Simu Bora kwa Mwaka 2019: Ni toleo lipi la smartphone ni bora kupita mengine kwa mwaka huu?

    Nimepita mtandao wa Android Police ambao wameichagua Pixel 3A kuwa ndio simu bora kwa mwaka 2019. Sasa nikiangalia bei yake si ya kitoto halafu sioni kama ina watumiaji wengi Tanzania. Sasa kwa sisi wa watumiaji wa Tecno, Samsung, Xiaomi, Oppo na nyinginezo zilizo na watumiaji wengi Tanzania...
  15. Laptop bei nafuu

    JamiiForums Tanzania Pata simu aina zote mpya kwa bei nafuu 0652 565 597

    Simu za infinix zilizopo zote ni mpya: Hot 8 lite bei 250,000 Smart 3+ bei 290,000 Hot 7 bei 240,000 S4 bei 350,000 Simu za Tecno zilizopo zote ni mpya Spark 2 bei 230,000 Spark 3 na pro yake bei 250,000 Spark 4 bei 300,000 Camon 12 bei 350,000 Kwa mawasiliano piga simu 0652 565 597 au 0743 448...
  16. Baba Ndubwi

    JamiiForums Tanzania Ninauza simu Samsung Galaxy A8

    Bei ni 250,000/= Imetumika. Ni nzima lakini Kioo cha juu kimepasuka. Tofauti na kioo haina tatizo zaidi. Picha:Sijaweza kuambatanisha picha kwa kuwa ninatumia des. comp. Mnunuzi tuwasiliane kwa namba:- 0679494815 Napatikana Dar es salaam.
  17. Hashpower7113

    JamiiForums Tanzania Foldable smart phones: Simu janja zenye uwezo wa kukunjika kirahisi

    Dunia inakwenda kwa kasi sana! Teknolojia ya mawasiliano nayo inazidi kubadilika kila kukicha. Miaka kadhaa iliyopita, hakukuwa na simu janja! Smart phones. Wajanja wote walikuwa wanatumia simu za ‘buttons’, na ili uonekane mjanja zaidi, unaivaa kiunoni! Mapinduzi makubwa katika sekta ya...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Simu za Malalamiko: Akamatwa kwa kupiga simu mara 2400

    Jeshi la polisi nchini Japan linamshikilia mzee mwenye umri wa miaka 71 kwa kuipigia simu kampuni moja mara 24,000 kupitia namba ya bure, akiilalamikia kuwa imekiuka mkataba kati yao. Mwanaume huyo aliyetajwa kwa jina la Akitoshi Okamoto alifikishwa kwenye selo za polisi Novemba 26, 2019 na...
  19. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Napendekeza taa za mwanga barabarani na nyaya za simu zifungwe kwenye nguzo za umeme

    Yaani badala ya kununua milingoti ya chuma na wire kwa ajili ya kufunga zile taa za mwanga barabarani, napendekeza taa ziwe zinafungwa kwenye mistimu ya umeme iliyopo kando kando ya barabara na ziungwe kwenye umeme moja kwa moja, hii itakoa fedha nyingi mno. Pia badala ya kusimika mistimu ya...
  20. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Napendekeza namba moja ya wakala kwa mitandao yote ya simu

    Yaani badala ya wakala kubandika namba za kutolea pesa za mitandao tofauti tofauti, aweke namba moja tu ya wakala na wateja wenye line za mitandao yote waweze kutoa pesa kwa kutumia namba hiyo hiyo moja, halafu wenye mitandao watagawana wenyewe pesa huko kwa kutumia automatic system...
Back
Top Bottom