Mi niliongea na msichana wangu mmoja tulivyomaliza kumbe sikukata nikabaki nawambia washikaji kwamba huyu msichana simpendi anajipendekeza kwanza hajui mapenzi, kumbe yeye yote aliyasikia kesho yake ilikua kizaazaa.
Nimuamua kushare na nyie huu ujumbe nimekutana nao sehemu ili uwe na Amani ya moyo fanya hivi;
=======
Kwa wanandoa na wenye wapenzi waaminifu, uaminifu limekuwa ni jambo la msingi sana ili udumu na huyo uliyeingia naye kwenye ndoa, mjengee imani kuwa wewe ni wake na haitatokea siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.