simu

  1. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Fahamu sababu zinazowafanya vijana kukosa furaha wanaponyimwa simu

    Karibu robo ya vijana wamejenga tabia ya utegemezi wa simu zao na tabia hiyo imekuwa kama uraibu, utafiti umebainisha. Utafiti uliofanywa katika chuo cha King kilichopo London, unasema kuwa watu wanakuwa na hofu na kukasirishwa kama wakinyimwa mwanya wa kuwa na simu. Vijana wamekuwa...
  2. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Hongera Uganda kwa kufanikiwa kutengeneza simu na pia kompyuta mpakato nitaagiza ya kwangu nione fahari

    Nchi ya Uganda imefikia hatua nzuri sana inayostahili pongezi kwa kuweza kutengeneza simu na kuziingiza sokoni. Uzalishaji unaonekana kuwa simu 2000 za kawaida, smartphone 1500 na kompyuta mpakato 800. Watanzania tujifunze hapo napo
  3. technically

    JamiiForums Tanzania Mitandao yote ya simu inatakiwa kushitakiwa

    Mitandao yote ya simu kuanzia Vodacom, Airtel, Holotel, Tigo, Zantel na TCCL. Wanatakiwa kushitakiwa kwa kuruhusu mawasiliano yetu kuingiliwa na serikali, muda mwingine wanawapa taarifa za wateja serikali ambao hawana madhara yeyote sio majambazi sio magaidi inakuwaje mitandao inaruhusu...
  4. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Je, nikichora katuni ya kiongozi mmoja duniani akiweka kipaza sauti ( Microphone ) Masikioni huku anaongea na simu nitaitwa Polisi?

    Moja ya Kazi yangu nyingine ni ya ‘ Ukomedi ‘ lakini ambao unawasilisha jambo fulani mtambuka ( lililotokea punde ) nikiwa na nia ya Kuwaburudisha Wasomaji wangu lakini pia Kuwaonyesha Wahusika kwamba walikosea ili Siku zingine wasirejee hilo Kosa na mwisho ni kutoa Elimu kwa Watawala / Viongozi...
  5. No Escape

    JamiiForums Tanzania Tupia namba ya matapeli ya miamala ya simu

    Watu bado wanatapeliwa jamani tuache masihara! Hali inatisha, mshikaji wangu jana imemtoka 120,000 hivi hivi eti kapigiwa simu kaambiwa kuna ofa yake mtandao fulani wa simu, ila aweke hicho kiasi cha pesa atumiwe ofa yake isiopungua 1 million. Muda muafaka wa hizi namba kwa nini tusi-share...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kikao changu na makampuni ya simu kuhusu kesi ya kuibiwa vifurushi

    KIKAO CHANGU NA MAKAMPUNI YA SIMU KUHUSU KESI YA KUIBIWA VIFURUSHI. Bashir Yakub, WAKILI 0714047241. Ndugu wapendwa mnakumbuka wiki iliyopita niliwapa taarifa kuwa baada ya kutangaza na kuanza utaratibu wa kuyashitaki makampuni manne ya simu Tigo,Vodacom,Airtel na Halotel nilipata ujumbe...
  7. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Mkiachana na mpenzi wako una mblock au kufuta namba za simu?

    Kama kichwa cha habari kunavyoeleza, madhara ya kuacha mawasiliano kama awali ilhali hamna mawasiliano ni nini?
  8. beth

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni muhimu ku-restart simu yako angalau mara 1 kwa wiki

    Ni wazi kuwa smartphone zimekuwa sehemu ya maisha yetu ya kila siku kiasi kwamba pale simu yako inapokuwa imezima angalau kwa dakika chache unakuwa na wasiwasi wa kushindwa kufanya mambo yako ya kila siku. Lakini ni kweli kwamba “kila kitu huchoka” nahisi hii ni sababu ya wewe kuendelea kusoma...
  9. Makirita Amani

    JamiiForums Tanzania Hatua nne za kuizuia simu janja yako isikuzidi wewe ujanja

    Maendeleo ya sayansi na teknolojia yametuletea bidhaa na huduma bora kabisa kuwahi kutokea hapa duniani. Chukua mfano wa simu janja (smartphone) na mtandao wa intaneti, vitu hivi viwili, vimeleta mapinduzi makubwa sana duniani, vimetengeneza mabilionea wengi mno na hata kurahisisha kila kitu...
  10. ashomile

    JamiiForums Tanzania Leo tuizungumzie Tecno Spark 4 Air, toleo la simu hii August 2019

    Tecno Spark 4 Air ni simu yenye sifa zifuatazo:- 1. Display: IPS LCD, 6.1 inches 2. OS: Android 9.0 (Pie) Kwa kuboresha toleo la hivi karibuni la mfumo endeshi na kiolesura cha mtumiaji, mabadiliko murwa na yenye kuburudisha zaidi yanakusubiri uyavinjari. Wakati huu, huhitaji tena vipodozi...
  11. wanzagitalewa

    JamiiForums Tanzania Muungano wa Tigo na Zantel utakuza uchumi kupitia soko la mawasiliano ya simu

    Ilitangazwa siku za karibuni kuwa Tanzania imepanda toka nafasi ya 144 hadi ya 141 katika taarifa ya Benki ya Dunia kuhusu ubora wa mazingira ya kufanya biashara. Hii inaifanya Tanzania kuwa nafasi ya nne katika eneo la Afrika ya Mashariki ukitazama nchi 190 duniani ambazo ripoti hiyo...
  12. Makanyaga

    JamiiForums Tanzania Simu milioni 30 hatarini kuzimwa kwa kukosa usajili wa alama za vidole

    Takriban nusu ya laini milioni 44 za simu zinaweza kufungwa iwapo kasi ya utoaji vitambulisho vya Taifa haitaongezeka katika siku 49 kuanzia leo. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema itazizima laini hizo ifikapo Desemba 31 iwapo wamiliki watakuwa hawajajisajili kieletroniki kwa...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Update: Mashtaka dhidi ya makampuni manne ya simu

    UPDATE MASHTAKA DHIDI YA MAKAMPUNI MANNE YA SIMU. Bashir Yakub, WAKILI 0714047241. Niliwaahidi kwamba nitakuwa nikiwaeleza kila tukio kuhusu mchakato wa kuyashitaki makampuni ya simu kwa unyonyaji. Mnakumbuka kuhusu yale mambo yetu matano, vifurushi kutokuwa na muda wa kuexpire,ruhusa ya...
  14. Makanyaga

    JamiiForums Tanzania Wakili azibana kampuni za simu vifurushi muda wa maongezi, bando

    FARAJA MASINDE-DAR ES SALAAM WAKILI wa kujitegemea, Bashir Yakub, ambaye amechapisha barua ya wazi mtandaoni aliyoiita, ‘mashtaka kwa kampuni nne za simu’, akipinga kuisha kwa muda wa vifurushi vya muda wa maongezi na bando vinavyowekwa kwenye simu ameliambia gazeti hili kuwa mapambano bado ni...
  15. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Pokea simu basi

  16. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Napiga simu hupokei kumbe uko na malaya zako

    Sasa hapa ningepokeaje simu?
  17. The Assassin

    JamiiForums Tanzania China yazindua 5G technology nchi nzima. Mitandao yote ya simu kutoa 5G kuanzia Ijumaa

    Serikali ya China imetangaza kuanzia Ijumaa ya kesho tarehe 2 Nov, mitandao yote ya simu China itaanza kutoa huduma ya 5G na kufikia mwisho wa mwaka huu inategemewa sehemu kubwa ya miji ya China itakuwa na huduma ya mtandao wa 5G. Hii ndio itakuwa huduma kubwa zaidi ya mtandao wa 5G duniani...
  18. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Huduma za maji, serikali iunde kampuni zitakazofanya kazi kama muundo wa kampuni za simu

    Baada ya kusikiliza maoni ya Mheshimiwa Lema aliyoyatoa wiki iliyopita, nimelitafakari sana wazo lake kuhusu huduma ya maji, maji ni muhimu sana kwa maisha ya kila siku ya binadamu. Yakichukuliwa kibiashara biashara ya maji ina faida kubwa. Tanzania tumebahatika kuwa na vyanzo vingi vya maji...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Bashir Yakub: Nitayashitaki makampuni manne ya simu

    NAYASHITAKI MAKAMPUNI MANNE YA SIMU. BASHIR YAKUB, Wakili. 0714047241 Naishitaki Tigo, Airtel, Vodacom na Halotel. Kwa mujibu ya Sheria Namba 12/2003 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania mashtaka ya aina hii natakiwa kuyaandikia makampuni hayo taarifa kuyataka yarekebishe ndani ya siku 30...
  20. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Tanzania billionaire Mohammed Dewji told kidnapper to shoot him

    Tanzania billionaire Mohammed Dewji told kidnapper to shoot him Tanzanian billionaire Mohammed Dewji has said that he asked his kidnapper to shoot him six days into being held captive. His abduction, 12 months ago, outside a hotel gym in the country's main city, Dar es Salaam, sparked a huge...
Back
Top Bottom