simu

  1. B

    JamiiForums Tanzania Update: Mashtaka dhidi ya makampuni manne ya simu

    UPDATE MASHTAKA DHIDI YA MAKAMPUNI MANNE YA SIMU. Bashir Yakub, WAKILI 0714047241. Niliwaahidi kwamba nitakuwa nikiwaeleza kila tukio kuhusu mchakato wa kuyashitaki makampuni ya simu kwa unyonyaji. Mnakumbuka kuhusu yale mambo yetu matano, vifurushi kutokuwa na muda wa kuexpire,ruhusa ya...
  2. Makanyaga

    JamiiForums Tanzania Wakili azibana kampuni za simu vifurushi muda wa maongezi, bando

    FARAJA MASINDE-DAR ES SALAAM WAKILI wa kujitegemea, Bashir Yakub, ambaye amechapisha barua ya wazi mtandaoni aliyoiita, ‘mashtaka kwa kampuni nne za simu’, akipinga kuisha kwa muda wa vifurushi vya muda wa maongezi na bando vinavyowekwa kwenye simu ameliambia gazeti hili kuwa mapambano bado ni...
  3. Mung Chris

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pokea simu basi

  4. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Napiga simu hupokei kumbe uko na malaya zako

    Sasa hapa ningepokeaje simu?
  5. The Assassin

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania China yazindua 5G technology nchi nzima. Mitandao yote ya simu kutoa 5G kuanzia Ijumaa

    Serikali ya China imetangaza kuanzia Ijumaa ya kesho tarehe 2 Nov, mitandao yote ya simu China itaanza kutoa huduma ya 5G na kufikia mwisho wa mwaka huu inategemewa sehemu kubwa ya miji ya China itakuwa na huduma ya mtandao wa 5G. Hii ndio itakuwa huduma kubwa zaidi ya mtandao wa 5G duniani...
  6. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Huduma za maji, serikali iunde kampuni zitakazofanya kazi kama muundo wa kampuni za simu

    Baada ya kusikiliza maoni ya Mheshimiwa Lema aliyoyatoa wiki iliyopita, nimelitafakari sana wazo lake kuhusu huduma ya maji, maji ni muhimu sana kwa maisha ya kila siku ya binadamu. Yakichukuliwa kibiashara biashara ya maji ina faida kubwa. Tanzania tumebahatika kuwa na vyanzo vingi vya maji...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Bashir Yakub: Nitayashitaki makampuni manne ya simu

    NAYASHITAKI MAKAMPUNI MANNE YA SIMU. BASHIR YAKUB, Wakili. 0714047241 Naishitaki Tigo, Airtel, Vodacom na Halotel. Kwa mujibu ya Sheria Namba 12/2003 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania mashtaka ya aina hii natakiwa kuyaandikia makampuni hayo taarifa kuyataka yarekebishe ndani ya siku 30...
  8. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Tanzania billionaire Mohammed Dewji told kidnapper to shoot him

    Tanzania billionaire Mohammed Dewji told kidnapper to shoot him Tanzanian billionaire Mohammed Dewji has said that he asked his kidnapper to shoot him six days into being held captive. His abduction, 12 months ago, outside a hotel gym in the country's main city, Dar es Salaam, sparked a huge...
  9. kwamtoro

    JamiiForums Tanzania Wale wote tunaodaiwa na mitandao ya simu tukutane hapa, tupeane ushauri

    Tumekuwa tukiishi kwa wasiwasi sana hasa tukitumiwa pesa tunakimbilia kwa mawakala kama hatuna akili nzuri. mimi kidogo nime-advance, natembea na namba za wakala za kutolea pesa. Ila kuna siku nimesinzia kwenye daladala kushtuka pesa wamezilamba. Sasa nadaiwa laki nne wakinijumlishia riba yao...
  10. bowlibo

    JamiiForums Tanzania Usajili wa laini za simu kwa alama za vidole against ujumbe uliozagaa leo

    Wadau habari za wakati huu. Naenda kwenye mada moja kwa moja. Leo nimepokea jumbe zenye maana na angalizo jumuishi kama hiyo attachment inavyojieleza. Sasa swali ninalojiuliza ni kwamba iwapo mimi nimeshajisajili kwa kuchukuliwa alama za vidole kwa nini mtu mwingine ajisajili kwa kutumia namba...
  11. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Polisi mkoani Mara wawaonya wananchi mkoani humo kuacha kuwapigia simu kutaka wawatafutie wachumba

    Sasa ni rasmi kuwa yawezekana aina ya Bange / Bangi inayolimwa na Kuvutwa Mkoani Mara ( Musoma ) ikawa na ‘ Madhara ‘ kuliko inavyodhaniwa na Watu wengine, hivyo ni Jukumu la Mamlaka husika ( Serikali ) kulivalia njuga Ulimwaji wa hiki ‘ Kilevi Moshi ‘ humo Mkoani kabla hali haijazidi kuwa mbaya...
  12. Von Bismarck

    JamiiForums Tanzania Nahitaji betri ya simu aina ya Sumsung Galaxy Mega2. Model SM: G750F

    Nahitaji betri ya simu aina ya Sumsung galax mega2. Model SM: G750F
  13. pantheraleo

    JamiiForums Tanzania Mume amkata masikio yote mawili Mke wake kwa madai ya kupoteza simu yake

    Mkazi wa Kijiji cha Mesaga Wilayani Serengeti Mara, aitwaye Magori anadaiwa kumkata masikio yote mawili Mke wake Mkami Mwitonyi mwenye umri wa miaka 22 kwa madai ya kupoteza simu yake. Imeripotiwa kuwa, mwanamke huyo amelazwa katika Hospitali ya DDH wodi ya Wanawake tangu juzi Jumatano, Oktoba...
  14. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, mitandao ya simu ni salama?

    Kuna wakati tuliambiwa mtandao wa Vodacom umevujisha taarifa sijui umehakiwa. Wakati mwingine tunaimbiwa kuna wezi wa mtandao wanaingilia Tigopesa na M-Pesa. Sasa najiuliza, je taarifa zetu kwenye makampuni hayo hazidukuliwi tena?
  15. Gudasta

    JamiiForums Tanzania Simu original za Nokia zinapatikana wapi?

    Samahani Wanajamvi, naomba kuuliza ni duka gani Dar linalouza simu Original za Nokia (Smartphone) ?
  16. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Serikali itoe tamko kuwa mwanafunzi akikutwa na simu anafukuzwa shule

    Shule nyingi za serikali zimekuwa zikifanya vibaya matokeo ya mitihani ya secondary.Moja ya sababu ni kiwango cha chini mno cha kupitiliza cha nidhamu ya wanafunzi shuleni na nje ya shule na tatizo la umiliki wa simu,radio na TV mabwenini. Mashule mengi serious ya private yanayofaulisha sana...
  17. benjamathayo

    JamiiForums Tanzania Nataka kwenda Dubai au China kununua simu nipeni maelekezo mliowahi kwenda

    Mabaharia wafanyabiashara nimepata mpunga kidogo kama 20m kwamara yakwanza nataka kwenda dubai au china kununua simu hasa smartphone Nimekuja kwenu kuomba ushauri mliowahi kwenda china au dubai kununua simu au vifaa vyaumeme naomba munieleweshe 1-Gharama zandege kwenda nakurudi 2-Nisehemu ipi...
  18. Mtwara Smart

    JamiiForums Tanzania Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

    Habari Zenu Wakuu, Natumaini Leo Mko Vyema. Lengo La Nyuzi Hii Ni Kupeana Ushauri, Maoni Na Mbinu Za Uthubutu Katika Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop Kwanza Mimi Ni Mmoja Wa Mafundi Waliojifunza Na Ku Master Phone And Laptop Repair Kutoka Google Na Youtube, Yaani Self Made Technician...
  19. lucky lefty

    JamiiForums Tanzania WIZI WA SIMU

    Habari wakuu! Kuna kibaka mmoja kaiba simu yangu jana usiku ila bado anaitumia. Kwa bahati nzuri simu ina PIN sema anaweza kuiflash. Tatizo tukiipiga namba inapokelewa na mtu anajifanya kauziwa hiyo simu na aliyemuuzia anamjua, tatizo tukimwambia tuonane atupeleke kwa huyo aliyemuuzia...
  20. E

    JamiiForums Tanzania Msaada betri ya simu, aina: Freetel Priori 4

    Msaada.. Natafuta betri ya simu, aina ya simu: Freetel Priori 4
Back
Top Bottom