UPDATE MASHTAKA DHIDI YA MAKAMPUNI MANNE YA SIMU.
Bashir Yakub, WAKILI
0714047241.
Niliwaahidi kwamba nitakuwa nikiwaeleza kila tukio kuhusu mchakato wa kuyashitaki makampuni ya simu kwa unyonyaji.
Mnakumbuka kuhusu yale mambo yetu matano, vifurushi kutokuwa na muda wa kuexpire,ruhusa ya...
FARAJA MASINDE-DAR ES SALAAM
WAKILI wa kujitegemea, Bashir Yakub, ambaye amechapisha barua ya wazi mtandaoni aliyoiita, ‘mashtaka kwa kampuni nne za simu’, akipinga kuisha kwa muda wa vifurushi vya muda wa maongezi na bando vinavyowekwa kwenye simu ameliambia gazeti hili kuwa mapambano bado ni...
Serikali ya China imetangaza kuanzia Ijumaa ya kesho tarehe 2 Nov, mitandao yote ya simu China itaanza kutoa huduma ya 5G na kufikia mwisho wa mwaka huu inategemewa sehemu kubwa ya miji ya China itakuwa na huduma ya mtandao wa 5G. Hii ndio itakuwa huduma kubwa zaidi ya mtandao wa 5G duniani...
Baada ya kusikiliza maoni ya Mheshimiwa Lema aliyoyatoa wiki iliyopita, nimelitafakari sana wazo lake kuhusu huduma ya maji, maji ni muhimu sana kwa maisha ya kila siku ya binadamu. Yakichukuliwa kibiashara biashara ya maji ina faida kubwa.
Tanzania tumebahatika kuwa na vyanzo vingi vya maji...
NAYASHITAKI MAKAMPUNI MANNE YA SIMU.
BASHIR YAKUB, Wakili.
0714047241
Naishitaki Tigo, Airtel, Vodacom na Halotel. Kwa mujibu ya Sheria Namba 12/2003 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania mashtaka ya aina hii natakiwa kuyaandikia makampuni hayo taarifa kuyataka yarekebishe ndani ya siku 30...
Tanzania billionaire Mohammed Dewji told kidnapper to shoot him
Tanzanian billionaire Mohammed Dewji has said that he asked his kidnapper to shoot him six days into being held captive.
His abduction, 12 months ago, outside a hotel gym in the country's main city, Dar es Salaam, sparked a huge...
Tumekuwa tukiishi kwa wasiwasi sana hasa tukitumiwa pesa tunakimbilia kwa mawakala kama hatuna akili nzuri. mimi kidogo nime-advance, natembea na namba za wakala za kutolea pesa.
Ila kuna siku nimesinzia kwenye daladala kushtuka pesa wamezilamba. Sasa nadaiwa laki nne wakinijumlishia riba yao...
Wadau habari za wakati huu.
Naenda kwenye mada moja kwa moja. Leo nimepokea jumbe zenye maana na angalizo jumuishi kama hiyo attachment inavyojieleza.
Sasa swali ninalojiuliza ni kwamba iwapo mimi nimeshajisajili kwa kuchukuliwa alama za vidole kwa nini mtu mwingine ajisajili kwa kutumia namba...
Sasa ni rasmi kuwa yawezekana aina ya Bange / Bangi inayolimwa na Kuvutwa Mkoani Mara ( Musoma ) ikawa na ‘ Madhara ‘ kuliko inavyodhaniwa na Watu wengine, hivyo ni Jukumu la Mamlaka husika ( Serikali ) kulivalia njuga Ulimwaji wa hiki ‘ Kilevi Moshi ‘ humo Mkoani kabla hali haijazidi kuwa mbaya...
Mkazi wa Kijiji cha Mesaga Wilayani Serengeti Mara, aitwaye Magori anadaiwa kumkata masikio yote mawili Mke wake Mkami Mwitonyi mwenye umri wa miaka 22 kwa madai ya kupoteza simu yake.
Imeripotiwa kuwa, mwanamke huyo amelazwa katika Hospitali ya DDH wodi ya Wanawake tangu juzi Jumatano, Oktoba...
Kuna wakati tuliambiwa mtandao wa Vodacom umevujisha taarifa sijui umehakiwa. Wakati mwingine tunaimbiwa kuna wezi wa mtandao wanaingilia Tigopesa na M-Pesa.
Sasa najiuliza, je taarifa zetu kwenye makampuni hayo hazidukuliwi tena?
Shule nyingi za serikali zimekuwa zikifanya vibaya matokeo ya mitihani ya secondary.Moja ya sababu ni kiwango cha chini mno cha kupitiliza cha nidhamu ya wanafunzi shuleni na nje ya shule na tatizo la umiliki wa simu,radio na TV mabwenini.
Mashule mengi serious ya private yanayofaulisha sana...
Mabaharia wafanyabiashara nimepata mpunga kidogo kama 20m kwamara yakwanza nataka kwenda dubai au china kununua simu hasa smartphone
Nimekuja kwenu kuomba ushauri mliowahi kwenda china au dubai kununua simu au vifaa vyaumeme naomba munieleweshe
1-Gharama zandege kwenda nakurudi
2-Nisehemu ipi...
Habari Zenu Wakuu, Natumaini Leo Mko Vyema.
Lengo La Nyuzi Hii Ni Kupeana Ushauri, Maoni Na Mbinu Za Uthubutu Katika Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop
Kwanza Mimi Ni Mmoja Wa Mafundi Waliojifunza Na Ku Master Phone And Laptop Repair Kutoka Google Na Youtube, Yaani Self Made Technician...
Habari wakuu!
Kuna kibaka mmoja kaiba simu yangu jana usiku ila bado anaitumia. Kwa bahati nzuri simu ina PIN sema anaweza kuiflash.
Tatizo tukiipiga namba inapokelewa na mtu anajifanya kauziwa hiyo simu na aliyemuuzia anamjua, tatizo tukimwambia tuonane atupeleke kwa huyo aliyemuuzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.