simu

  1. Akilitime

    JamiiForums Tanzania Dharau: Airtel wameanza kufungia laini zisizosajiliwa

    Naomba kujua, hawa Airtel wanapinga agizo la Mheshimiwa? Mbona wameanza kufunga line kinyume na tamko la Rais? Mimi ni mhanga wa kufungiwa huduma. Ushauri: kama hujasajili wahi mapema ili kuepuka usumbufu wa kukosa mawasiliano hapo baadae. Poa kwa NIDA ingekuwa bora wakaongeza kasi ya utoaji...
  2. Cicero

    JamiiForums Tanzania Google Pixel 4 XL ni simu nzuri kwa Tanzania?

    Wasalaam. Nina mpango wa kununua simu na kwa sasa options ninazozifikiria ni 1. LG G8 Thinq 2. iPhone X / XS Max / 11 3. Google Pixel 4 XL Naomba kwa mwenye ujuzi na hizi simu za Google anieleze kwa nini hazitumiki sana kwa hapa Tanzania. Zina kasoro yoyote? Ukute labda kuna functions haziwi...
  3. Bubolwa Chura

    JamiiForums Tanzania Niuzie simu ofa 130,000 Dodoma

    Kama una simu na uko Dodoma naomba niuzie nimekwama kabisa. Masharti, uwe tayari kwenda kuandikisha polisi au kwa mwenyekiti wa mtaa au kwa mwanasheria kuwa tumeuziana simu. Tecno Air, Tecno Phantom, Samsung J7, Infinix Note 5 nk. Usiniambie una Tecno sijui ambayo dukani unauza laki moja au...
  4. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Namna matumizi ya simu au Kompyuta yanavyosababisha tatizo la uoni hafifu

    Daktari bingwa wa magonjwa ya macho kutoka Hospitali ya CCBRT, Dar es Salaam, Cprian Ntomoka amesema kuwa matumizi ya vifaa vyenye mwanga mkali kama simu na kompyuta yanaweza kusababisha tatizo la uoni hafifu au hata upofu wa muda. Dk. Ntomoka ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Macho katika...
  5. Miki123

    JamiiForums Tanzania Simu Bora kwa Mwaka 2019: Ni toleo lipi la smartphone ni bora kupita mengine kwa mwaka huu?

    Nimepita mtandao wa Android Police ambao wameichagua Pixel 3A kuwa ndio simu bora kwa mwaka 2019. Sasa nikiangalia bei yake si ya kitoto halafu sioni kama ina watumiaji wengi Tanzania. Sasa kwa sisi wa watumiaji wa Tecno, Samsung, Xiaomi, Oppo na nyinginezo zilizo na watumiaji wengi Tanzania...
  6. Laptop bei nafuu

    JamiiForums Tanzania Pata simu aina zote mpya kwa bei nafuu 0652 565 597

    Simu za infinix zilizopo zote ni mpya: Hot 8 lite bei 250,000 Smart 3+ bei 290,000 Hot 7 bei 240,000 S4 bei 350,000 Simu za Tecno zilizopo zote ni mpya Spark 2 bei 230,000 Spark 3 na pro yake bei 250,000 Spark 4 bei 300,000 Camon 12 bei 350,000 Kwa mawasiliano piga simu 0652 565 597 au 0743 448...
  7. Baba Ndubwi

    JamiiForums Tanzania Ninauza simu Samsung Galaxy A8

    Bei ni 250,000/= Imetumika. Ni nzima lakini Kioo cha juu kimepasuka. Tofauti na kioo haina tatizo zaidi. Picha:Sijaweza kuambatanisha picha kwa kuwa ninatumia des. comp. Mnunuzi tuwasiliane kwa namba:- 0679494815 Napatikana Dar es salaam.
  8. Hashpower7113

    JamiiForums Tanzania Foldable smart phones: Simu janja zenye uwezo wa kukunjika kirahisi

    Dunia inakwenda kwa kasi sana! Teknolojia ya mawasiliano nayo inazidi kubadilika kila kukicha. Miaka kadhaa iliyopita, hakukuwa na simu janja! Smart phones. Wajanja wote walikuwa wanatumia simu za ‘buttons’, na ili uonekane mjanja zaidi, unaivaa kiunoni! Mapinduzi makubwa katika sekta ya...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Simu za Malalamiko: Akamatwa kwa kupiga simu mara 2400

    Jeshi la polisi nchini Japan linamshikilia mzee mwenye umri wa miaka 71 kwa kuipigia simu kampuni moja mara 24,000 kupitia namba ya bure, akiilalamikia kuwa imekiuka mkataba kati yao. Mwanaume huyo aliyetajwa kwa jina la Akitoshi Okamoto alifikishwa kwenye selo za polisi Novemba 26, 2019 na...
  10. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Napendekeza taa za mwanga barabarani na nyaya za simu zifungwe kwenye nguzo za umeme

    Yaani badala ya kununua milingoti ya chuma na wire kwa ajili ya kufunga zile taa za mwanga barabarani, napendekeza taa ziwe zinafungwa kwenye mistimu ya umeme iliyopo kando kando ya barabara na ziungwe kwenye umeme moja kwa moja, hii itakoa fedha nyingi mno. Pia badala ya kusimika mistimu ya...
  11. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Napendekeza namba moja ya wakala kwa mitandao yote ya simu

    Yaani badala ya wakala kubandika namba za kutolea pesa za mitandao tofauti tofauti, aweke namba moja tu ya wakala na wateja wenye line za mitandao yote waweze kutoa pesa kwa kutumia namba hiyo hiyo moja, halafu wenye mitandao watagawana wenyewe pesa huko kwa kutumia automatic system...
  12. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Fahamu sababu zinazowafanya vijana kukosa furaha wanaponyimwa simu

    Karibu robo ya vijana wamejenga tabia ya utegemezi wa simu zao na tabia hiyo imekuwa kama uraibu, utafiti umebainisha. Utafiti uliofanywa katika chuo cha King kilichopo London, unasema kuwa watu wanakuwa na hofu na kukasirishwa kama wakinyimwa mwanya wa kuwa na simu. Vijana wamekuwa...
  13. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Hongera Uganda kwa kufanikiwa kutengeneza simu na pia kompyuta mpakato nitaagiza ya kwangu nione fahari

    Nchi ya Uganda imefikia hatua nzuri sana inayostahili pongezi kwa kuweza kutengeneza simu na kuziingiza sokoni. Uzalishaji unaonekana kuwa simu 2000 za kawaida, smartphone 1500 na kompyuta mpakato 800. Watanzania tujifunze hapo napo
  14. technically

    JamiiForums Tanzania Mitandao yote ya simu inatakiwa kushitakiwa

    Mitandao yote ya simu kuanzia Vodacom, Airtel, Holotel, Tigo, Zantel na TCCL. Wanatakiwa kushitakiwa kwa kuruhusu mawasiliano yetu kuingiliwa na serikali, muda mwingine wanawapa taarifa za wateja serikali ambao hawana madhara yeyote sio majambazi sio magaidi inakuwaje mitandao inaruhusu...
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Je, nikichora katuni ya kiongozi mmoja duniani akiweka kipaza sauti ( Microphone ) Masikioni huku anaongea na simu nitaitwa Polisi?

    Moja ya Kazi yangu nyingine ni ya ‘ Ukomedi ‘ lakini ambao unawasilisha jambo fulani mtambuka ( lililotokea punde ) nikiwa na nia ya Kuwaburudisha Wasomaji wangu lakini pia Kuwaonyesha Wahusika kwamba walikosea ili Siku zingine wasirejee hilo Kosa na mwisho ni kutoa Elimu kwa Watawala / Viongozi...
  16. No Escape

    JamiiForums Tanzania Tupia namba ya matapeli ya miamala ya simu

    Watu bado wanatapeliwa jamani tuache masihara! Hali inatisha, mshikaji wangu jana imemtoka 120,000 hivi hivi eti kapigiwa simu kaambiwa kuna ofa yake mtandao fulani wa simu, ila aweke hicho kiasi cha pesa atumiwe ofa yake isiopungua 1 million. Muda muafaka wa hizi namba kwa nini tusi-share...
  17. B

    JamiiForums Tanzania Kikao changu na makampuni ya simu kuhusu kesi ya kuibiwa vifurushi

    KIKAO CHANGU NA MAKAMPUNI YA SIMU KUHUSU KESI YA KUIBIWA VIFURUSHI. Bashir Yakub, WAKILI 0714047241. Ndugu wapendwa mnakumbuka wiki iliyopita niliwapa taarifa kuwa baada ya kutangaza na kuanza utaratibu wa kuyashitaki makampuni manne ya simu Tigo,Vodacom,Airtel na Halotel nilipata ujumbe...
  18. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkiachana na mpenzi wako una mblock au kufuta namba za simu?

    Kama kichwa cha habari kunavyoeleza, madhara ya kuacha mawasiliano kama awali ilhali hamna mawasiliano ni nini?
  19. beth

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni muhimu ku-restart simu yako angalau mara 1 kwa wiki

    Ni wazi kuwa smartphone zimekuwa sehemu ya maisha yetu ya kila siku kiasi kwamba pale simu yako inapokuwa imezima angalau kwa dakika chache unakuwa na wasiwasi wa kushindwa kufanya mambo yako ya kila siku. Lakini ni kweli kwamba “kila kitu huchoka” nahisi hii ni sababu ya wewe kuendelea kusoma...
  20. Makirita Amani

    JamiiForums Tanzania Hatua nne za kuizuia simu janja yako isikuzidi wewe ujanja

    Maendeleo ya sayansi na teknolojia yametuletea bidhaa na huduma bora kabisa kuwahi kutokea hapa duniani. Chukua mfano wa simu janja (smartphone) na mtandao wa intaneti, vitu hivi viwili, vimeleta mapinduzi makubwa sana duniani, vimetengeneza mabilionea wengi mno na hata kurahisisha kila kitu...
Back
Top Bottom