simba

  1. May Day

    Kuelekea tarehe 4, utabiri wa Simba vs Yanga

    Dogo wa Simba anakula mitama, kama sio refa...
  2. N

    Simba SC ndani ya PES 20

    Simba SC ya Tanzania ndani ya PES CAF, zipo teams 51 tu za africa ,ikumbukwe simba ni ya 16 afrika kwa ubora hivyo ni lazima iiingie kwenye issue hiyo
  3. May Day

    Hii timu inayoshindiliwa magoli na Simba huko Dar ni ya wapi?

    Mpaka sasa nasikia ni goli la tano, naambiwa timu inatokea Arusha ila mimi kama Mwana Arusha hata siijui.
  4. FRANCIS DA DON

    Ipo siku simba watachinja binadamu na kuwala mchemsho wa supu, ni suala la muda tu

    Unajua 'evolution' ni kitu cha ajabu sana, na najua ugumu wa ku-comprehend hii concept inatokana na watu kukaza ubongo, yaani mtu anakuwa na prefixed mind set yake ambayo hairuhusu kabisa mawazo mapya kuingia kichwani na kufanyiwa kazi, mbaya sana hiyo. Anyway, moja ya njia ambazo 'evolution'...
  5. Jamii Opportunities

    Nafasi ya kazi, Human Resource Manager at Simba Logistics Limited

    Job Description Posting ID: SLS-2019-004 Simba Supply Chain Solutions and Simba Logistics are looking for a an astute, mature and reliable Human Resource Professional between the ages of 35 and 40 years. This position will be on a two year fixed contract. The major focus will be to continue...
  6. kidadari

    Bunju Complex ni mali ya Mo, si mali ya Simba SC

    Uwanja huu unaosemekana ni mali ya Simba ila ukweli sio mali ya simba bali ni mali binafsi ya mfanyabiashara mwenye share kubwa ndani ya club ya Simba Mohamed Dewj "Mo". Jina la uwanja huo ni Bunju Complex na hautakaa upewe jina linalishabihiana na Club ya Simba. Pia doccument za umiliki wa...
  7. Babu Kijiwe

    Napata wapi maziwa ya Simba anayenyonyesha?

    Mambo, nashida na maziwa ya Simba anayenyonyesha nimeelezwa yanatibu kabisa vidonda vya tumbo. Nimeambiwa yanayofaa zaidi ni ya simba aliyezaa hivi karibuni. Wapi napata simba nimkamue mie.
  8. GENTAMYCINE

    Simba Sports Club achaneni na nia yenu ya kumfukuza kocha wetu Patrick Aussems kwani tutakuja kujuta na kulia akiondoka

    Nimezifuatilia sababu za baadhi ya Viongozi wa Simba SC na Mashabiki ' Wapuuzi ' wachache juu ya sababu zao kutaka Kocha Mkuu wa Simba SC Patrick Aussems aondoke na Kugundua kuwa zote ni za Kipopoma. Moja ya sababu ambayo hadi hivi sasa imeniacha hoi ni kwamba baadhi ya Viongozi hawamtaki Kocha...
  9. GENTAMYCINE

    Kwahiyo Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) hawajawaona Wachezaji wazuri wa Yanga SC yangu hadi wawaone wa Simba SC tu?

    Medie Kagere ametajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwenye orodha wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka ngazi ya Vilabu 2019 (African Interclubs Player of the Year). Emmanuel Okwi ambaye msimu uliopita alikuwa sehemu ya kikosi chetu na yeye ametajwa kuwania tuzo hiyo...
  10. T

    Huu ni udhaifu wa TFF kupandanisha timu ya taifa, Simba na Azam

    Watanzania wengi ni wapenzi wa michezo haswa Soka, lakini pia ni washabiki wa timu za taifa na vilabu vilevile haswa Simba, Yanga na Azam. Watanzania hupenda burudani ya mpira kwa kutazama uwanjani, kwenye Tv au kusikiliza redioni. Leo Novemba 23, Timu ya Taifa ya mpira wa miguu kwa upande wa...
  11. Analogia Malenga

    Simba mlinda nyumba karibu na shule akamatwa Nigeria

    Hebu tafakari hili, unatembea mjini halafu upite karibu na nyumba inayolindwa na simba wala sio mbwa. Hiyo ndio hali waliokumbana nayo wakazi mjini Lagos, Nigeria baada ya mmiliki wa nyumba moja kuamua kutumia simba kama mlinzi. Simba huyo wa miaka miwili aliripotiwa kuonekana katika nyumba...
  12. M

    Simba ilifanya usajili wa hovyo Sana kwenye fowadi

    Kwa Hali ilivyo,isiporekebishwa Simba kukosa mbadala waKagere na Boko NI jambo hatari Sana. Na hili limejitokeza baada ya majeraha ya Boko.Watu wakimkamata Mk14 gemu imeisha,NI heri wangmwacha dogo Salamba tusuesue naye. Dirisho dogo viongozi walione hili.
  13. Influenza

    Iraq: Polisi wawatishia Waandamanaji kwa kutumia Mbwa, Waandamanaji wajibu kwa kuleta Simba

    Tangu Oktoba 01, 2019 Wananchi wa Iraq walianza maandamano ya dhidi ya Wanasiasa wanaoongoza nchi hiyo wakiwashutumu kwa mfumo uliokithiri rushwa na utawala usiokidhi katika kuongoza nchi Taarifa zinadai kuwa siku za hivi karibuni, Polisi wanaopambana na Waandamanaji hao waliwatishia...
  14. Suley2019

    Mechi gani ya Watani wa jadi (Simba na Yanga) unaikumbuka zaidi?

    Habari zenu wakuu, Leo katika pita pita zangu katika mtandao wa YouTube nikakutana na vipande vinavyoonesha mechi mbalimbali za Simba na Yanga. Nikiwa kama mdau ma mfuatiliaji wa soka la nyumbani mara nyingi huwa naona mechi zinazoikutanisha Miamba hii ya soka nchini huwa zinakosa mvuto...
  15. M

    Simba vs Prison: Hii ni mechi tamu

    Huu mtanange unachezwa saa ngapi tuwaache wadaiwa sugu wa Papa Mwinyi Zahera?
  16. GENTAMYCINE

    Nani aliyewaambieni na kuwadanganyeni kuwa Kocha wa Pyramids FC haijui Ligi ya Tanzania na Timu bora ya Simba SC?

    Ifuatayo ni Nukuu yake aliyoitoa jana mara baada ya Kumalizika kwa mtanange baina ya Timu yake na Yanga SC ambayo aliisema kwa Kiarabu na kwakuwa Mimi An Eagle najua Kiarabu sana nikaweza Kuitafsiri kwenu kama hivi….. " Wachezaji wa yanga ni laini kama bamia au tambi kama yule namba 14 ndiyo...
  17. Jamii Opportunities

    50 Jobs at Simba Logistics Limited Ltd (SLL) – 50 Drivers

    50 Drivers Jobs Opportunities at Simba Logistics Limited Ltd (SLL) OVERVIEW Simba Logistics Limited Ltd (SLL) was established in 2008 and boasts a total fleet size of 150 heavy duty vehicles that ply the Dar Es Salaam and the Central Corridors. The company has about 300 employees. Our main...
  18. GENTAMYCINE

    Mwadui FC chezeni kama mlivyocheza na Simba SC jana pia mkicheza na Yanga SC ili mbebe Kombe la VPL kabisa

    Kumbe Mpira huwa mnaujua sasa kwanini kila Msimu wa Ligi huwa mnapumulia tu Mashine huku mkiwa hatarini Kushuka daraja na badala yake mnabaki tu Kusumbua Waamuzi kwa ‘ Kuwahonga ‘ Pesa zenu kidogo za hapa Mgodini ili mbakie Ligi Kuu? Ombi Kuu kwenu ni kwamba nawaombeni nyie Mwadui FC kuwa hata...
  19. GENTAMYCINE

    Baada ya wachezaji wa timu tajiri nchini ya Simba SC kukabidhiwa pikipiki, hivi ndivyo mchezaji wa Yanga SC Fei Toto alivyopewa makavu yake

    Yafuatayo ni Mawasiliano ‘ Kiduchu ‘ kwa njia ya Meseji ( SMS ) kati ya Mchezaji Mwandamizi wa Simba SC Hassan Dilinga ( HD ) na Kiungo wa Timu Masikini na inayoenda Kushuka daraja nchini kwa Msimu huu Yanga SC hasa baada ya Kusikia kuwa Rafiki yake huyo pamoja na Wenzake wa Simba SC leo...
Back
Top Bottom