simba

  1. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Baada ya wachezaji wa timu tajiri nchini ya Simba SC kukabidhiwa pikipiki, hivi ndivyo mchezaji wa Yanga SC Fei Toto alivyopewa makavu yake

    Yafuatayo ni Mawasiliano ‘ Kiduchu ‘ kwa njia ya Meseji ( SMS ) kati ya Mchezaji Mwandamizi wa Simba SC Hassan Dilinga ( HD ) na Kiungo wa Timu Masikini na inayoenda Kushuka daraja nchini kwa Msimu huu Yanga SC hasa baada ya Kusikia kuwa Rafiki yake huyo pamoja na Wenzake wa Simba SC leo...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini mechi ya Simba vs Azam ilichezwa Taifa?

    Habarini wanajamvi, Hivi kwanini mechi kati ya Simba na Azam ilihamishiwa Uwanja wa Taifa ilihali mechi za Simba zilikuwa zikichezwa Uhuru? Je, kuanzia sasa mechi zote za Simba zitachezwa Taifa? Naomba kufahamishwa.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mechi ya leo ,ni kielelezo cha kiwango cha soka cha Tanzania!

    Mechi ya leo ,ni kielelezo cha kiwango cha soka cha Tanzania! Leo wanaume wanacheza ...wengine make pembeni muone burudani murua! .... atakaye fanya kosa ndiye atakaye lia!
  4. Mtyela Kasanda

    JamiiForums Tanzania Mo Dewji ni tapeli na bora imeonekana mapema

    Tokea mwanzo mimi nilisema ' kina Kilomoni hawako sahihi kubania nyaraka za mali za Simba lakini potelea mbali, if I had to choose I'd choose the lesser evil of not letting Dewji anywhere near those documents". Dewji ametulaghai na mbwembwe nyingi na kina Hans Pope za usajili wa makelele mengi...
  5. Kurunzi

    JamiiForums Tanzania Yanga tuna la kujivunza kutokana na mafanikio ya timu ya Simba

    Ushindi wa mabao 2-1 walioupata Simba jana dhidi ya Vita Club umewapeleka robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika. Hakika wanastahili pongezi kwa mafanikio hayo Watani zetu wametufundisha jambo kubwa sana, ili kuweza kufanikiwa tunahitaji uwekezaji wa fedha, akili, muda...
  6. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania Wanaotaka kwenda zambia kuishangilia Simvba SC pitia hapa

  7. CONVERGENT LIMIT

    JamiiForums Tanzania Wanaohitaji fuel dispenser na spear zake tukutane hapa

    Kwanza napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru uongozi wa jamii forum. KB logistics company ltd tumewaletea huduma kwa karibu na haraka zaidi hasa wale wanaomiliki petrol station na wale wenye hobi ya kufanya biashara ya mafuta. Fuel dispenser zetu ni: Type: Tokheim changlong Flow rate...
  8. F

    JamiiForums Tanzania Mimi Nikipewa Yanga au Simba tunasumbua sana Champions League kwa style ya Enyimba, Mamelodi Sundows, Diamond Platnumz

    Habari wadau, binafsi ni mshabiki wa yanga miaka mingi. Simba ni watani wangu japo tabia zetu zinafanana ndio maana tunaishia kushindana wenyewe kwa wenyewe mchangani huku Natamani sana kabla sijafa nije nione mechi ya simba na yanga ambayo sio ya ligi kuu wala kombe lolote local natamani...
Back
Top Bottom