rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,183
- 20,141
kagere ni mzee lakini kila mwaka ndo mfungaji bora.mpira wetu utakwama sababu ya kunyenyekea hivi vizee okwi ni 40 yrs old now
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha wivu mkuu...mpira wetu utakwama sababu ya kunyenyekea hivi vizee okwi ni 40 yrs old now
Sent using Jamii Forums mobile app
Naungana na wewe kuna umuhimu wa timu kutmia wachezaji vijana ila siyo mbaya kuwa na wazee wawii au watatu ili vijana waweze kujifunza toka kwao ,unakumbuka miaka michache iliyopita Okwi,Kagere,na Niyo wapinzani wa wekundu waliwaita hawa 'wahenga' lakini nadhani unakumbuka kazi waliofanya.ubingwa back to back.kagere ni mzee lakini kila mwaka ndo mfungaji bora.
vijana ni muhimu kwenye soka ila kwa vijana wa kitanzania ni bora ubebe wazee kama akina okwi na kagere.
wanapambana,wanajituma.hawa wabongo ni mademu pombe kwisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hao vijana wa 20 yrs wanashindwa kuperform waache wazee tuwafundishe kipasacho.mpira wetu utakwama sababu ya kunyenyekea hivi vizee okwi ni 40 yrs old now
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu wachezaji wa nchi hizi za jirani wanajituma sana yani.Naungana na wewe kuna umuhimu wa timu kutmia wachezaji vijana ila siyo mbaya kuwa na wazee wawii au watatu ili vijana waweze kujifunza toka kwao ,unakumbuka miaka michache iliyopita Okwi,Kagere,na Niyo wapinzani wa wekundu waliwaita hawa 'wahenga' lakini nadhani unakumbuka kazi waliofanya.ubingwa back to back.
Kama ni kweli mbumbumbu wanacheza kamali safari hii! Boko ( 34), Okwi ( 36), MK14 ( 37) hawa ni washambuliaji! Wawa (37), Nyoni ( 37) hawa ni mabeki........! Acha tuone
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi!Washambuliaje wazee ni muhumu.. ila kwenye champions league inabidi vijana wawepo... jackson muleka 20 yrs.. samatta kacheza champions league early 20s... ukitaka ubebe champions legue lazima uwe na vijana wenye spidiii na brain ya kufanya maamuzi ya haraka sahihi... angalia mamelodi, mazembe, enyimba etc washambuliaji wao wana age gani
Usisahau kuweka miaka ya yondani, tshishimbi, nyonzima, ngassa na nchimbiKama ni kweli mbumbumbu wanacheza kamali safari hii! Boko ( 34), Okwi ( 36), MK14 ( 37) hawa ni washambuliaji! Wawa (37), Nyoni ( 37) hawa ni mabeki........! Acha tuone
Sent using Jamii Forums mobile app
Chukueni Ligi sasa mbele ya hao wazee tuoneKama ni kweli mbumbumbu wanacheza kamali safari hii! Boko ( 34), Okwi ( 36), MK14 ( 37) hawa ni washambuliaji! Wawa (37), Nyoni ( 37) hawa ni mabeki........! Acha tuone
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya kipindi cha nyuma kidogo, sio ya sasa.Kama itakuwa sahihi
Inawezekana nimeikuta sehemu ila nimejaribu kuangalia kwenye vyanzo vingine sijaonaHii ya kipindi cha nyuma kidogo, sio ya sasa.
Hawa shikamoo jazz unategemea nini wakutane na damu changa kina Balama na Fei TotoKama ni kweli mbumbumbu wanacheza kamali safari hii! Boko ( 34), Okwi ( 36), MK14 ( 37) hawa ni washambuliaji! Wawa (37), Nyoni ( 37) hawa ni mabeki........! Acha tuone
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapo hujawaongelea Shiboub,Kapombe na Deo Kanda aliyecheza na NsajigwaKama ni kweli mbumbumbu wanacheza kamali safari hii! Boko ( 34), Okwi ( 36), MK14 ( 37) hawa ni washambuliaji! Wawa (37), Nyoni ( 37) hawa ni mabeki........! Acha tuone
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, wazo zuri vijana wenye hali ya kupambana wapi ?Washambuliaje wazee ni muhumu.. ila kwenye champions league inabidi vijana wawepo... jackson muleka 20 yrs.. samatta kacheza champions league early 20s... ukitaka ubebe champions legue lazima uwe na vijana wenye spidiii na brain ya kufanya maamuzi ya haraka sahihi... angalia mamelodi, mazembe, enyimba etc washambuliaji wao wana age gani