simba

  1. F

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Simba, kama inatwaka itwae kombe la CAF iwekeze kwenye beki na kipa wa ukweli.. Good defence = championship

    Habari wadau.. Nimesikia simba wanamtaka morrisson.. nikashangaa sana.. simba imesajili watu wengi wazuri mbele ila bado inahangaika.. Kwa uzoefu wangu wa kutazama caf champions league nimejifunza mengi sana.. Mpira wa africa una tofauti kubwa na wa ulaya.. ushindani wa caf champions...
  2. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Ndiyo tuna Timu nzuri, ina Morali na Mazingira yote mazuri ila nawatahadharisha wana Simba SC Mechi ya leo si rahisi kihivyo Kwetu kama tuwazavyo!

    Kama kuna Mechi ambazo zinaenda kuwa ngumu kwa Simba Sports Club ( ambayo hata Mimi Mzukulu ) naipenda na Kuishabikia basi ni hizi Kumi ( 10 ) zilizobaki na hasa hasa hii ya Leo na zile zingine Tatu ( 3 ) ambazo zote tutazicheza katika Uwanja wa Uhuru au pale kwa Mkapa. Sina Shaka na Timu yangu...
  3. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Simba SC: Kuwakabili Ruvu shooting uwanja wa Taifa

    Mabingwa watetezi ligi kuu bara, wekundu wa msimba(simba) leo majira ya saa kumi jioni. Watakipiga na majirani zao kutoka mkoani pwani Ruvu shooting fc hakika utakuwa ni mchezo mkali na wakusisimua. Kwa watakao kwenda uwanjani viingilio ni kama ifuatavyo: 1.MZUNGUKO elfu 5000 2.VIP B elfu...
  4. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Ama hakika Simba Sports Club ya Msimu wa 2020 / 2021 itakuwa ni ile ya Tema Mate Kushoto kisha Unafukia Kulia na Raha tupu tu!

    Winga ya Kushoto Emanuel Okwi, Winga ya Kulia Bernard Morisson, Central Striker Justine Shonga na chini yao kuna Clatous Chama Mwamba. Kuna Watu Kipindi hiki cha Mapumziko ya CORONA walikuwa wakitamba sana na Usajili sasa ndiyo mtatujua vyema hasa Simba SC ya Mo Dewji.
  5. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Mo hapoi wala haboi huko Simba.....

    Mwekezaji na Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi Simba katweet huu ujumbe kwenye tweet yake, kazi kwenu wana simba kumpa saport.
  6. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania Simba sports club: ubahiri siyo deal lipeni vizuri wachezaji wenu

    The picture speaks more louder than words
  7. RAKI BIG

    JamiiForums Tanzania Wachezaji wa Simba wapiga goti kumuenzi George Floyd

    Wachezaji wa Simba wakiwa wamepiga magoti na kutengeneza herufi IM ikiwa ni ishara ya kulaani mauaji ya kijana Mmarekani mweusi, George Floyd aliyeuawa wiki iliyopita na askari wa kimarekani. R.I.P George
  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wana Yanga SC Wenzangu sasa tushindwe Wenyewe Kubeba Kombe la VPL kwani kwa ' Fixture ' hii mpya Simba SC hachukui Ubingwa tena!

    Kama Mabosi wa GSM wakiweza Kuongea vyema na Marefarii wa Kibongo na hivi wengi sasa wana Njaa kutokana na CORONA hii basi Yanga SC yetu itashinda Mechi zetu zote zilizobaki na Kuiduwaza Timu nisiyoipenda kabisa duniani ya Simba SC. Tuwaombe akina GSM, La Liga na Klabu ya Sevilla waje watusaidie...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CHADEMA kuhamia NCCR/ CUF ni sawa na mchezaji mahiri kuhama Simba kwenda Toto Africans badala ya Yanga!

    Niwapongeze sana Mwita Waitara na Dr Mollel wao hawakutaka kushangaa shangaa barabarani wametoka chama kikuu cha upinzani Chadema na kuhamia direct chama tawala CCM. Bado sijaelewa sababu za msingi kwa Lwakatare kuhamia Cuf hata kama ameahidiwa ukatibu mkuu lakini Ngangari bado ni chama kidogo...
  10. Gentleman96

    JamiiForums Tanzania Simba SC na Yanga SC kwenye game PES2020

    Itakua jambo la furaha kuona club zetu pendwa za mpira wa miguu zikipatikana kwenye games kama fifa, Pes na magame mengine! Hizo picha nimezitoa kwenye ukurasa wa habari tu za kimichezo africa zone !
  11. R

    JamiiForums Tanzania Okwi ndani ya Simba

    Kama itakuwa sahihi
  12. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Mo Simba Arena ikiwa tayari kwa mazoezi

    This is next level
  13. anonymousafrica

    JamiiForums Tanzania Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, DK Abdallah Possy aitaka timu ya Simba Sc kutotumia kigezo cha Ugonjwa wa Korona kutaka ubingwa

    Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, DK Abdallah Possy aitaka timu ya Simba Sc kutotumia kigezo cha Ugonjwa wa Korona kutaka ubingwa, na hivyo kuwataka waache uoga ili wamalizie ligi a
  14. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania TFF na BMT mpo serious kweli? Hivi Kagere na Morrison wanaliuaje Soka letu?

    Hili swala la wachezaji wa kigeni linaonekana kama zima moto lakini siyo mwarobaini wa Soka letu. Hata tukiwa na mmoja wa kigeni soka letu bado lipo hapa hapa, tatizo letu kubwa ni ukuzaji wa vipaji tulivyonavyo. Kama tukiweza kusimamia hilo hata hao wa nje hakuna atakaosumbuka nao. Cha muhimu...
  15. manchoso

    JamiiForums Tanzania Dakika ya 70 yanga 3 simba 0

    Mechi hii imechezwa jana majira ya saa 11 alfajir mechi ilianza kwa kasi na toka mwanzo mwa mchezo Yanga ilitaka kuonyesha umwamba wake mbele ya simba na wakajipatia goli la mapema dakika ya 2 kupitia kwa Bernad Morrison.llilkuwa moja ya magoli matamu kabisa kushuhudiwa ndani ya uwanja wa taifa...
  16. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Virusi vya corona: Simba sasa wanapumzika barabarani Afrika Kusini

    Wakati huu ambapo baadhi ya mataifa ya Afrika yameweka marufuku ya kutotoka nje ili kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya virusi vya corano, bila shaka wanyamapori wamegundua kuwa watu wameondoka. Katika moja ya hifadhi kubwa ya wanyama pori barani Afrika Simba wameamua kuchukua fursa hiyo...
  17. kavulata

    JamiiForums Tanzania Simba yaelekea kupata aibu kwa Mwakalebela

    Hivi mtu akisema nimeua mtu hafalu hakuna mtu aliyeuawa wala ushahidi wa kuua mtu huyo mtu anaweza kutiwa hatiani kwa kosa la kuua mtu? Hivi mtu akisema nimemuua Bwana Mateso Kamau halafu Bw. Mateso Kamau anaonekana mitaani yuko hai na anakanusha kuuawa na huyo Bwana mahakama inaweza kumnyonga...
  18. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Simba Sports Club yangu ole wenu ' Mumsamehe ' Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela nitawalaani na kuwachukieni Milele

    SAKATA LA CHAMA: MWAKALEBELA AWAOMBA RADHI SIMBA Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela ameomba radhi kufuatia kauli yake kuwa ameshaanza mazungumzo na kiungo wa Simba, Clatous Chama. Mwakalebela amesema alitoa kauli hiyo kama sehemu ya utani wa jadi dhidi ya Simba baada ya kuwepo kwa...
  19. mugah di matheo

    JamiiForums Tanzania Simba Sc:Chat na #

    Simba kupigia page zao za mitandao ya kijamii wameanzisha program ta kuuliza maswali na mchezaji anajibu papo hapo live Hiki kitu ni kizur na ni ubunifu mzuri chini ya senzo Vipi wadau wa soka hapa nchini mmeuelewa? Je maswali nkonki yanajibiwa? Nawasilisha Mugah M
  20. Rockcity native

    JamiiForums Tanzania Kikosi bora cha Simba SC 1990-2010

    1. MOHAMED MWAMEJA 2. SAID SUED 3. ALPHONCE MODEST 4. VICTOR COSTA NAMPOKA "NYUMBA" 5. GEORGE MAGERE MASATU 6. SELEMAN MATOLA 7. STEPHEN MAPUNDA "GARINCHA" 8. HUSSEIN MARSHA 9. ATHUMANI MACHUPPA 10. MADARAKA SELEMAN 11. NTEZE JOHN "LUNGU'
Back
Top Bottom