simba

  1. kavulata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba anzeni kupiga jalamba

    Penye moshi kuna moto, muda sio mwingi Mh. MO atakaa pembeni maana inaonekana anatoa pesa yake kishingo upande. Kuna siku alisemega kuwa 20 bil zake zinaweza kununua bank, na sasa anasema 4bil zake zinatumika kulipa mishahara ya Simba bila sababu. Mh. MO anataka Simba ishinde mechi zoooooote...
  2. Mstahiki Mea

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hiki ndicho kinachowaangusha Simba

    Huyu mdau anasemaje? Jicho langu: TATIZO LA SIMBA LINAJENGWA NA VIONGOZI Hakuna anayeweza kubisha kuwa simba ndiyo timu yenye wachezaji bora kwa sasa Afrika Mashariki, Simba inao wachezaji wa kila namna wanaoweza kutengeneza matokeo hata wale ambao hawapati nafasi mara kwa mara bado ni bora na...
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Poleni sana Simba Sports Club

    Leo ilikuwa ni fainali ya Kombe la Mapinduzi. Mlijiamini kwa asilimia 100 kuwa kombe mnalibeba mkasahau kuwa mpira ni dakika tisini. Poleni sana. Binafsi naona kuwa mlifanya uamuzi usio wa busara kwa kuachana na Kocha Patrick Aussems. Kocha huyu mlieachana naye alikuwa anajua kuusoma mpira na...
  4. venance7

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mo Dewji akana kujiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na Kubakia kuwa Mwekezaji

    Muda mfupi baada ya Simba kupoteza fainali ya kombe la mapinduzi dhidi ya Mtibwa, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba ametangaza kujiuzulu katika nafasi hiyo na kubaki kuwa mwekezaji tu. ====== UPDATES: ======== Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohammed Dewji kupitia ukurasa wake wa...
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapinduzi Cup: Mtibwa yatwaa kombe la Mapinduzi baada ya kuichapa Simba kwa goli 1 - 0

    Wadau tupeni updates mbona kimya...wengine bado tupo magengeni! ==== SIMANZI na hali ya sintofahamu imeanza kuingia pale Msimbazi. Ndio, Simba imepoteza taji la kwanza msimu huu baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 mbele ya Mtibwa Sugar, katika fainali ya Kombe la Mapinduzi...
  6. BASIASI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwambieni yule dogo aliechezea simba kutembea na mke wangu, Stamina hold on pls

    Ndoa isikie kwa mwenzio Mmoja wa waliokuwa wanajua shida na raha zilizokuwa zikiendelea za dogo watu Stamina Tusingependa mengi hata alichoongea najua akutakiwa ila.Ukweli unabaki kuwa kweli wachezaji mwache kuingilia ndoa za watu mtageuzwa. Mchezaji gani tuendele kusubiri atatuambia siku moja
  7. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wizi mkubwa mechi ya Simba na Yanga

    Mechi hii iliyofanyika Jumamosi ilikuwa na matukio mengi ya uwanjani na nje ya uwanja lakini wakati washabiki wengi wakijikita kwenye mjadala wa penati ya Kagere kama ni halali au siyo halali na wengine kujikita kumjadili Aishi Manula juu ya magoli yaliyofungwa huku nje kabla ya kuingia kulikuwa...
  8. Kunguru Mjanja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kariakoo Derby: Simba SC 2 - 2 Yanga SC | Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara - Uwanja wa Taifa Dar

    Wakati homa ya mchezo wa Watani wa Jadi, Simba na Yanga ikiendelea kupanda huku zikiwa zimebaki saa chache, Mashabiki na Wachezaji wa timu hizo wameendelea kutambiana kuibuka na ushindi Simba ambayo itakuwa mwenyeji, itaikaribisha Yanga katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania...
  9. Erythrocyte

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri : Simba isijaribu kuidharau Yanga , kuna wakati Marehemu hupiga chafya

    Hili ni angalizo ninalolitoa kwa Timu yangu ya Simba , Tusithubutu kudharau yanga kwa sababu ya dhiki waliyonayo , tutaumia ! Inapofika siku ya mazishi Masikini wanakuwa na umoja wa ajabu sana ! Hebu angalia Buguruni kwa Mnyamani au Temeke Mikoroshini jinsi masikini wanavyozikana ...
  10. May Day

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuelekea tarehe 4, utabiri wa Simba vs Yanga

    Dogo wa Simba anakula mitama, kama sio refa...
  11. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba SC ndani ya PES 20

    Simba SC ya Tanzania ndani ya PES CAF, zipo teams 51 tu za africa ,ikumbukwe simba ni ya 16 afrika kwa ubora hivyo ni lazima iiingie kwenye issue hiyo
  12. May Day

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii timu inayoshindiliwa magoli na Simba huko Dar ni ya wapi?

    Mpaka sasa nasikia ni goli la tano, naambiwa timu inatokea Arusha ila mimi kama Mwana Arusha hata siijui.
  13. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Ipo siku simba watachinja binadamu na kuwala mchemsho wa supu, ni suala la muda tu

    Unajua 'evolution' ni kitu cha ajabu sana, na najua ugumu wa ku-comprehend hii concept inatokana na watu kukaza ubongo, yaani mtu anakuwa na prefixed mind set yake ambayo hairuhusu kabisa mawazo mapya kuingia kichwani na kufanyiwa kazi, mbaya sana hiyo. Anyway, moja ya njia ambazo 'evolution'...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi, Human Resource Manager at Simba Logistics Limited

    Job Description Posting ID: SLS-2019-004 Simba Supply Chain Solutions and Simba Logistics are looking for a an astute, mature and reliable Human Resource Professional between the ages of 35 and 40 years. This position will be on a two year fixed contract. The major focus will be to continue...
  15. kidadari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bunju Complex ni mali ya Mo, si mali ya Simba SC

    Uwanja huu unaosemekana ni mali ya Simba ila ukweli sio mali ya simba bali ni mali binafsi ya mfanyabiashara mwenye share kubwa ndani ya club ya Simba Mohamed Dewj "Mo". Jina la uwanja huo ni Bunju Complex na hautakaa upewe jina linalishabihiana na Club ya Simba. Pia doccument za umiliki wa...
  16. Babu Kijiwe

    JamiiForums Tanzania Napata wapi maziwa ya Simba anayenyonyesha?

    Mambo, nashida na maziwa ya Simba anayenyonyesha nimeelezwa yanatibu kabisa vidonda vya tumbo. Nimeambiwa yanayofaa zaidi ni ya simba aliyezaa hivi karibuni. Wapi napata simba nimkamue mie.
  17. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba Sports Club achaneni na nia yenu ya kumfukuza kocha wetu Patrick Aussems kwani tutakuja kujuta na kulia akiondoka

    Nimezifuatilia sababu za baadhi ya Viongozi wa Simba SC na Mashabiki ' Wapuuzi ' wachache juu ya sababu zao kutaka Kocha Mkuu wa Simba SC Patrick Aussems aondoke na Kugundua kuwa zote ni za Kipopoma. Moja ya sababu ambayo hadi hivi sasa imeniacha hoi ni kwamba baadhi ya Viongozi hawamtaki Kocha...
  18. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwahiyo Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) hawajawaona Wachezaji wazuri wa Yanga SC yangu hadi wawaone wa Simba SC tu?

    Medie Kagere ametajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwenye orodha wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka ngazi ya Vilabu 2019 (African Interclubs Player of the Year). Emmanuel Okwi ambaye msimu uliopita alikuwa sehemu ya kikosi chetu na yeye ametajwa kuwania tuzo hiyo...
  19. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu ni udhaifu wa TFF kupandanisha timu ya taifa, Simba na Azam

    Watanzania wengi ni wapenzi wa michezo haswa Soka, lakini pia ni washabiki wa timu za taifa na vilabu vilevile haswa Simba, Yanga na Azam. Watanzania hupenda burudani ya mpira kwa kutazama uwanjani, kwenye Tv au kusikiliza redioni. Leo Novemba 23, Timu ya Taifa ya mpira wa miguu kwa upande wa...
  20. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Simba mlinda nyumba karibu na shule akamatwa Nigeria

    Hebu tafakari hili, unatembea mjini halafu upite karibu na nyumba inayolindwa na simba wala sio mbwa. Hiyo ndio hali waliokumbana nayo wakazi mjini Lagos, Nigeria baada ya mmiliki wa nyumba moja kuamua kutumia simba kama mlinzi. Simba huyo wa miaka miwili aliripotiwa kuonekana katika nyumba...
Back
Top Bottom