Mdaiwa-Sugu
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 284
- 910
The picture speaks more louder than words
Ngoja wajeeThe picture speaks more louder than wordsView attachment 1471087View attachment 1471088
Mpaka mama mtu ameogopa kuangalia camera kumfichia aibu mwanae. Dogo nae akashindwa kujiongezaNgoja wajee
Huyu jamaa itakuwa analipwa ata Elfu 7 kama vijana wa lumumbaThe picture speaks more louder than wordsView attachment 1471087View attachment 1471088
ni aibu mchezaji wa kimataifa kushindwa kuwajengea wazazi wake nyumba nzuri ya kuishi. Simba msimwonee Mo aibu mwambieni ukweli aache unyonyaji alipe vizuri wachezaji wenuMi nilitegemea kuona kashika bakuli anaomba msaada
Umeandika nini mkuu? Wewe bila shaka ni shabiki wa molinga.The picture speaks more louder than wordsView attachment 1471087View attachment 1471088
Mkuu, hapo alienda na wazazi wake kijijini kwao kwenye asili yao.Mpaka mama mtu ameogopa kuangalia camera kumfichia aibu mwanae. Dogo nae akashindwa kujiongeza
HahhahahhhAlafu Mo anajisifu kutumia zaidi ya bilion 4 kulipa mishahara ya wachezaji kwa mwaka.Huyu jamaa itakuwa analipwa ata Elfu 7 kama vijana wa lumumba
Sijaona sababu ya wewe kuona kama jamaa hana pesani aibu mchezaji wa kimataifa kushindwa kuwajengea wazazi wake nyumba nzuri ya kuishi. Simba msimwonee Mo aibu mwambieni ukweli aache unyonyaji alipe vizuri wachezaji wenu
Tuonyeshe picha ya mjengo aliowajengea mkuu ndipo tuamini maneno yakoMkuu, hapo alienda na wazazi wake kijijini kwao kwenye asili yao.
Itafute wewe unayeitaka. Sio kazi yangu!Tuonyeshe picha ya mjengo aliowajengea mkuu ndipo tuamini maneno yako
Nimetafuta nilikaletewa hiyo hakuna nyingineItafute wewe unayeitaka. Sio kazi yangu!
HahhahahhhAlafu Mo anajisifu kutumia zaidi ya bilion 4 kulipa mishahara ya wachezaji kwa mwaka.
ni aibu mchezaji wa kimataifa kushindwa kuwajengea wazazi wake nyumba nzuri ya kuishi. Simba msimwonee Mo aibu mwambieni ukweli aache unyonyaji alipe vizuri wachezaji wenu
Mpaka mama mtu ameogopa kuangalia camera kumfichia aibu mwanae. Dogo nae akashindwa kujiongeza
Akili hizi za kishamba sana.. Nyinyi ndio mnaoenda kupga picha kwenye nyumba za majirani zenu halafu mnapost home sweet.The picture speaks more louder than wordsView attachment 1471087View attachment 1471088
Shiboub mchezaji wa kimataifa wa simbaHuyo ni nani?
Povu lote hili la nini?Akili hizi za kishamba sana.. Nyinyi ndio mnaoenda kupga picha kwenye nyumba za majirani zenu halafu mnapost home sweet.
1. Umejuaje kama huko ndio kijijini kwao kwenye asili yao?
2. Unajuaje kama hizo picha alizipga kabla ya kuja Simba?
3. Ww unajua kuwa ana majukumu mangapi na vipaombele vyake ktk maendeleo yake...
Ishi ktk uhalisia Wa maisha yako unaweza kuwa unaropoka huku kumbe hata ww wazazi wako wanaishi kwenye matembe.