johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,947
- 141,927
Niwapongeze sana Mwita Waitara na Dr Mollel wao hawakutaka kushangaa shangaa barabarani wametoka chama kikuu cha upinzani Chadema na kuhamia direct chama tawala CCM.
Bado sijaelewa sababu za msingi kwa Lwakatare kuhamia Cuf hata kama ameahidiwa ukatibu mkuu lakini Ngangari bado ni chama kidogo sana Wilfred alishavuka hizo level.
Hata kwa Selasini mambo ni yale yale unatoka Simba unaenda kujisajili kwa mtoto wa Yanga... Toto Afrika ya Mwanza.
Maendeleo hayana vyama!
Bado sijaelewa sababu za msingi kwa Lwakatare kuhamia Cuf hata kama ameahidiwa ukatibu mkuu lakini Ngangari bado ni chama kidogo sana Wilfred alishavuka hizo level.
Hata kwa Selasini mambo ni yale yale unatoka Simba unaenda kujisajili kwa mtoto wa Yanga... Toto Afrika ya Mwanza.
Maendeleo hayana vyama!