Simba Sports Club yangu ole wenu ' Mumsamehe ' Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela nitawalaani na kuwachukieni Milele

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,871
SAKATA LA CHAMA: MWAKALEBELA AWAOMBA RADHI SIMBA

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela ameomba radhi kufuatia kauli yake kuwa ameshaanza mazungumzo na kiungo wa Simba, Clatous Chama.

Mwakalebela amesema alitoa kauli hiyo kama sehemu ya utani wa jadi dhidi ya Simba baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa watani zao hao wanamuwinda kiungo wao, Papy Tshishimbi.

Katibu Mkuu huyo wa zamani wa TFF, amesema hajazungumza chochote na mchezaji huyo kuhusu usajili, na kama angekuwa na nia hiyo angefuata utaratibu, kwa kuwa yeye kiongozi wa juu mwenye weledi katika soka.

“Kiukweli na uhalisia mchezaji huyo sijazungumza naye… Kwa kuwa hapa katikati tumekuwa na mazungumzo ya utani kati yetu na wenzetu wa Simba… walikuwa wakieleza kuwachukua wachezaji wetu kama Tshishimbi basi na mimi nikaona niseme jambo”

“Inaonekana jambo hili nimelizungumza limevuka mipaka basi natumia fursa hii kuiomba msamaha Simba, TFF na wenzangu wa Yanga. Labda nilizidisha utani naamini kabisa jambo kama hili halitaweza kutokea tena kwangu”, amesema Mwakalebela.

Mapema leo kupitia #WasafiFM Msemaji wa Simba, Haji Manara alisema wataishtaki Yanga TFF kwa kuvunja utaratibu wa kuzungumza na mchezaji wao ambaye bado ana mkataba nao hadi Julai 2021.

GENTAMYCINE nawaonya na nawaambia Simba Sports Club yangu mapema kabisa hapa hapa JamiiForums na naomba aliye na ' access ' na Msemaji wa Simba SC au Mwekezaji wetu Mohammed Dewji au Mwenyekiti wetu wa Wanachama Mwina Seif Kaduguda ' awafowadie ' hili bandiko langu haraka sana.

Nina sababu zangu Kuu kadhaa za kutotaka huyu ' Mpuuzi ' Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela asisamehewe kabisa kama zifuatazo:

1. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akizungumza kwa Kuidharau mno Simba SC
2. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana hata ' Body Language ' yake ilijaa Kudhamiria jambo fulani na hakuwa akitania hata kidogo
3. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akimaanisha kuwa Yanga SC wanajua Sheria na Utaratibu wa Kimpira duniani kuliko Simba SC, TFF, CAF na FIFA
4. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akitaka Kuonyesha Jeuri na Ubabe wa Yanga SC yake ndani ya Soka la Tanzania
5. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akionyesha kuwa Yanga SC yake kwa Makusudi kabisa ndiyo ilimtuma kufanya Upumbavu ( Upopoma ) ule
6. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akitaka Kuuaminisha Umma kuwa Yanga SC ni Timu isiyogusika na isiyotishika na yoyote yule na kwa lolote lile
7. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akionyesha kuwa Yanga SC ipo zaidi Kivita ( Kiuadui ) na Kukomoana na Simba SC lakini siyo kwa ile dhana ya FIFA ya FAIR PLAY hivyo aliidharau Simba SC

Wapumbavu hawa walianza hii Michezo yao ya ' Kipuuzi ' kwa Kelvin Yondan, Mbuyi Twite na sasa walitaka Kuurudia kwa Clatous Chota Chama wakidhani kuwa Serikali ya sasa hivi na Uongozi wa sasa wa TFF ni ule ule waliouzoea wa Mshabiki Wao Mkuu Rais Mstaafu Kikwete na aliyekuwa Rais wa TFF Malinzi wakasahau kuwa Tanzania ya sasa ipo chini ya Jemedari Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Nawaomba Simba SC kupitia Viongozi hao niliowataja hapo juu bila Kumsahau CEO Wetu ' makini ' Senzo Mazingisa wamchukulie hatua Kali kabisa Makamu Mwenyekiti huyu ' Mpuuzi ' wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela kwa Kumshtaki TFF kisha CAF na hatimaye FIFA pamoja na Klabu yake ya Yanga SC ili iwe Fundisho na tuweze Kuheshimiana.

Simba SC tunapenda mno Utani lakini siyo Utani huu wa Kipumbavu ambao kama ukiendelea kuachwa au kuchekewa kwa Asili na Uhalisia wa Mashabiki wake kuna Siku ' Dhahama ' kubwa itakuja kutokea nchini Tanzania. Na leo nimeamini rasmi ni kwanini hata CCM hawakumkubali Mwakalebela huko Iringa lakini pia hata wana Yanga SC wengi wenye Akili nao hawajawahi Kumkubali.

Simba Sports Club hii ya CEO Mweledi kabisa na Mwekezaji Mohammed Dewji siyo ya Kuchezewa chezewa hivi. Kudadadeki!
 
SAKATA LA CHAMA: MWAKALEBELA AWAOMBA RADHI SIMBA

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela ameomba radhi kufuatia kauli yake kuwa ameshaanza mazungumzo na kiungo wa Simba, Clatous Chama.

Mwakalebela amesema alitoa kauli hiyo kama sehemu ya utani wa jadi dhidi ya Simba baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa watani zao hao wanamuwinda kiungo wao, Papy Tshishimbi.

Katibu Mkuu huyo wa zamani wa TFF, amesema hajazungumza chochote na mchezaji huyo kuhusu usajili, na kama angekuwa na nia hiyo angefuata utaratibu, kwa kuwa yeye kiongozi wa juu mwenye weledi katika soka.

“Kiukweli na uhalisia mchezaji huyo sijazungumza naye… Kwa kuwa hapa katikati tumekuwa na mazungumzo ya utani kati yetu na wenzetu wa Simba… walikuwa wakieleza kuwachukua wachezaji wetu kama Tshishimbi basi na mimi nikaona niseme jambo”

“Inaonekana jambo hili nimelizungumza limevuka mipaka basi natumia fursa hii kuiomba msamaha Simba, TFF na wenzangu wa Yanga. Labda nilizidisha utani naamini kabisa jambo kama hili halitaweza kutokea tena kwangu”, amesema Mwakalebela.

Mapema leo kupitia #WasafiFM Msemaji wa Simba, Haji Manara alisema wataishtaki Yanga TFF kwa kuvunja utaratibu wa kuzungumza na mchezaji wao ambaye bado ana mkataba nao hadi Julai 2021.

GENTAMYCINE nawaonya na nawaambia Simba Sports Club yangu mapema kabisa hapa hapa JamiiForums na naomba aliye na ' access ' na Msemaji wa Simba SC au Mwekezaji wetu Mohammed Dewji au Mwenyekiti wetu wa Wanachama Mwina Seif Kaduguda ' awafowadie ' hili bandiko langu haraka sana.

Nina sababu zangu Kuu kadhaa za kutotaka huyu ' Mpuuzi ' Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela asisamehewe kabisa kama zifuatazo:

1. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akizungumza kwa Kuidharau mno Simba SC
2. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana hata ' Body Language ' yake ilijaa Kudhamiria jambo fulani na hakuwa akitania hata kidogo
3. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akimaanisha kuwa Yanga SC wanajua Sheria na Utaratibu wa Kimpira duniani kuliko Simba SC, TFF, CAF na FIFA
4. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akitaka Kuonyesha Jeuri na Ubabe wa Yanga SC yake ndani ya Soka la Tanzania
5. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akionyesha kuwa Yanga SC yake kwa Makusudi kabisa ndiyo ilimtuma kufanya Upumbavu ( Upopoma ) ule
6. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akitaka Kuuaminisha Umma kuwa Yanga SC ni Timu isiyogusika na isiyotishika na yoyote yule na kwa lolote lile
7. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akionyesha kuwa Yanga SC ipo zaidi Kivita ( Kiuadui ) na Kukomoana na Simba SC lakini siyo kwa ile dhana ya FIFA ya FAIR PLAY hivyo aliidharau Simba SC

Wapumbavu hawa walianza hii Michezo yao ya ' Kipuuzi ' kwa Kelvin Yondan, Mbuyi Twite na sasa walitaka Kuurudia kwa Clatous Chota Chama wakidhani kuwa Serikali ya sasa hivi na Uongozi wa sasa wa TFF ni ule ule waliouzoea wa Mshabiki Wao Mkuu Rais Mstaafu Kikwete na aliyekuwa Rais wa TFF Malinzi wakasahau kuwa Tanzania ya sasa ipo chini ya Jemedari Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Nawaomba Simba SC kupitia Viongozi hao niliowataja hapo juu bila Kumsahau CEO Wetu ' makini ' Senzo Mazingisa wamchukulie hatua Kali kabisa Makamu Mwenyekiti huyu ' Mpuuzi ' wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela kwa Kumshtaki TFF kisha CAF na hatimaye FIFA pamoja na Klabu yake ya Yanga SC ili iwe Fundisho na tuweze Kuheshimiana.

Simba SC tunapenda mno Utani lakini siyo Utani huu wa Kipumbavu ambao kama ukiendelea kuachwa au kuchekewa kwa Asili na Uhalisia wa Mashabiki wake kuna Siku ' Dhahama ' kubwa itakuja kutokea nchini Tanzania. Na leo nimeamini rasmi ni kwanini hata CCM hawakumkubali Mwakalebela huko Iringa lakini pia hata wana Yanga SC wengi wenye Akili nao hawajawahi Kumkubali.

Simba Sports Club hii ya CEO Mweledi kabisa na Mwekezaji Mohammed Dewji siyo ya Kuchezewa chezewa hivi. Kudadadeki!
Umeandika ushoga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SAKATA LA CHAMA: MWAKALEBELA AWAOMBA RADHI SIMBA

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela ameomba radhi kufuatia kauli yake kuwa ameshaanza mazungumzo na kiungo wa Simba, Clatous Chama.

Mwakalebela amesema alitoa kauli hiyo kama sehemu ya utani wa jadi dhidi ya Simba baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa watani zao hao wanamuwinda kiungo wao, Papy Tshishimbi.

Katibu Mkuu huyo wa zamani wa TFF, amesema hajazungumza chochote na mchezaji huyo kuhusu usajili, na kama angekuwa na nia hiyo angefuata utaratibu, kwa kuwa yeye kiongozi wa juu mwenye weledi katika soka.

“Kiukweli na uhalisia mchezaji huyo sijazungumza naye… Kwa kuwa hapa katikati tumekuwa na mazungumzo ya utani kati yetu na wenzetu wa Simba… walikuwa wakieleza kuwachukua wachezaji wetu kama Tshishimbi basi na mimi nikaona niseme jambo”

“Inaonekana jambo hili nimelizungumza limevuka mipaka basi natumia fursa hii kuiomba msamaha Simba, TFF na wenzangu wa Yanga. Labda nilizidisha utani naamini kabisa jambo kama hili halitaweza kutokea tena kwangu”, amesema Mwakalebela.

Mapema leo kupitia #WasafiFM Msemaji wa Simba, Haji Manara alisema wataishtaki Yanga TFF kwa kuvunja utaratibu wa kuzungumza na mchezaji wao ambaye bado ana mkataba nao hadi Julai 2021.

GENTAMYCINE nawaonya na nawaambia Simba Sports Club yangu mapema kabisa hapa hapa JamiiForums na naomba aliye na ' access ' na Msemaji wa Simba SC au Mwekezaji wetu Mohammed Dewji au Mwenyekiti wetu wa Wanachama Mwina Seif Kaduguda ' awafowadie ' hili bandiko langu haraka sana.

Nina sababu zangu Kuu kadhaa za kutotaka huyu ' Mpuuzi ' Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela asisamehewe kabisa kama zifuatazo:

1. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akizungumza kwa Kuidharau mno Simba SC
2. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana hata ' Body Language ' yake ilijaa Kudhamiria jambo fulani na hakuwa akitania hata kidogo
3. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akimaanisha kuwa Yanga SC wanajua Sheria na Utaratibu wa Kimpira duniani kuliko Simba SC, TFF, CAF na FIFA
4. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akitaka Kuonyesha Jeuri na Ubabe wa Yanga SC yake ndani ya Soka la Tanzania
5. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akionyesha kuwa Yanga SC yake kwa Makusudi kabisa ndiyo ilimtuma kufanya Upumbavu ( Upopoma ) ule
6. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akitaka Kuuaminisha Umma kuwa Yanga SC ni Timu isiyogusika na isiyotishika na yoyote yule na kwa lolote lile
7. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akionyesha kuwa Yanga SC ipo zaidi Kivita ( Kiuadui ) na Kukomoana na Simba SC lakini siyo kwa ile dhana ya FIFA ya FAIR PLAY hivyo aliidharau Simba SC

Wapumbavu hawa walianza hii Michezo yao ya ' Kipuuzi ' kwa Kelvin Yondan, Mbuyi Twite na sasa walitaka Kuurudia kwa Clatous Chota Chama wakidhani kuwa Serikali ya sasa hivi na Uongozi wa sasa wa TFF ni ule ule waliouzoea wa Mshabiki Wao Mkuu Rais Mstaafu Kikwete na aliyekuwa Rais wa TFF Malinzi wakasahau kuwa Tanzania ya sasa ipo chini ya Jemedari Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Nawaomba Simba SC kupitia Viongozi hao niliowataja hapo juu bila Kumsahau CEO Wetu ' makini ' Senzo Mazingisa wamchukulie hatua Kali kabisa Makamu Mwenyekiti huyu ' Mpuuzi ' wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela kwa Kumshtaki TFF kisha CAF na hatimaye FIFA pamoja na Klabu yake ya Yanga SC ili iwe Fundisho na tuweze Kuheshimiana.

Simba SC tunapenda mno Utani lakini siyo Utani huu wa Kipumbavu ambao kama ukiendelea kuachwa au kuchekewa kwa Asili na Uhalisia wa Mashabiki wake kuna Siku ' Dhahama ' kubwa itakuja kutokea nchini Tanzania. Na leo nimeamini rasmi ni kwanini hata CCM hawakumkubali Mwakalebela huko Iringa lakini pia hata wana Yanga SC wengi wenye Akili nao hawajawahi Kumkubali.

Simba Sports Club hii ya CEO Mweledi kabisa na Mwekezaji Mohammed Dewji siyo ya Kuchezewa chezewa hivi. Kudadadeki!
Mikia buana.
 
SAKATA LA CHAMA: MWAKALEBELA AWAOMBA RADHI SIMBA

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela ameomba radhi kufuatia kauli yake kuwa ameshaanza mazungumzo na kiungo wa Simba, Clatous Chama.

Mwakalebela amesema alitoa kauli hiyo kama sehemu ya utani wa jadi dhidi ya Simba baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa watani zao hao wanamuwinda kiungo wao, Papy Tshishimbi.

Katibu Mkuu huyo wa zamani wa TFF, amesema hajazungumza chochote na mchezaji huyo kuhusu usajili, na kama angekuwa na nia hiyo angefuata utaratibu, kwa kuwa yeye kiongozi wa juu mwenye weledi katika soka.

“Kiukweli na uhalisia mchezaji huyo sijazungumza naye… Kwa kuwa hapa katikati tumekuwa na mazungumzo ya utani kati yetu na wenzetu wa Simba… walikuwa wakieleza kuwachukua wachezaji wetu kama Tshishimbi basi na mimi nikaona niseme jambo”

“Inaonekana jambo hili nimelizungumza limevuka mipaka basi natumia fursa hii kuiomba msamaha Simba, TFF na wenzangu wa Yanga. Labda nilizidisha utani naamini kabisa jambo kama hili halitaweza kutokea tena kwangu”, amesema Mwakalebela.

Mapema leo kupitia #WasafiFM Msemaji wa Simba, Haji Manara alisema wataishtaki Yanga TFF kwa kuvunja utaratibu wa kuzungumza na mchezaji wao ambaye bado ana mkataba nao hadi Julai 2021.

GENTAMYCINE nawaonya na nawaambia Simba Sports Club yangu mapema kabisa hapa hapa JamiiForums na naomba aliye na ' access ' na Msemaji wa Simba SC au Mwekezaji wetu Mohammed Dewji au Mwenyekiti wetu wa Wanachama Mwina Seif Kaduguda ' awafowadie ' hili bandiko langu haraka sana.

Nina sababu zangu Kuu kadhaa za kutotaka huyu ' Mpuuzi ' Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela asisamehewe kabisa kama zifuatazo:

1. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akizungumza kwa Kuidharau mno Simba SC
2. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana hata ' Body Language ' yake ilijaa Kudhamiria jambo fulani na hakuwa akitania hata kidogo
3. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akimaanisha kuwa Yanga SC wanajua Sheria na Utaratibu wa Kimpira duniani kuliko Simba SC, TFF, CAF na FIFA
4. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akitaka Kuonyesha Jeuri na Ubabe wa Yanga SC yake ndani ya Soka la Tanzania
5. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akionyesha kuwa Yanga SC yake kwa Makusudi kabisa ndiyo ilimtuma kufanya Upumbavu ( Upopoma ) ule
6. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akitaka Kuuaminisha Umma kuwa Yanga SC ni Timu isiyogusika na isiyotishika na yoyote yule na kwa lolote lile
7. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akionyesha kuwa Yanga SC ipo zaidi Kivita ( Kiuadui ) na Kukomoana na Simba SC lakini siyo kwa ile dhana ya FIFA ya FAIR PLAY hivyo aliidharau Simba SC

Wapumbavu hawa walianza hii Michezo yao ya ' Kipuuzi ' kwa Kelvin Yondan, Mbuyi Twite na sasa walitaka Kuurudia kwa Clatous Chota Chama wakidhani kuwa Serikali ya sasa hivi na Uongozi wa sasa wa TFF ni ule ule waliouzoea wa Mshabiki Wao Mkuu Rais Mstaafu Kikwete na aliyekuwa Rais wa TFF Malinzi wakasahau kuwa Tanzania ya sasa ipo chini ya Jemedari Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Nawaomba Simba SC kupitia Viongozi hao niliowataja hapo juu bila Kumsahau CEO Wetu ' makini ' Senzo Mazingisa wamchukulie hatua Kali kabisa Makamu Mwenyekiti huyu ' Mpuuzi ' wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela kwa Kumshtaki TFF kisha CAF na hatimaye FIFA pamoja na Klabu yake ya Yanga SC ili iwe Fundisho na tuweze Kuheshimiana.

Simba SC tunapenda mno Utani lakini siyo Utani huu wa Kipumbavu ambao kama ukiendelea kuachwa au kuchekewa kwa Asili na Uhalisia wa Mashabiki wake kuna Siku ' Dhahama ' kubwa itakuja kutokea nchini Tanzania. Na leo nimeamini rasmi ni kwanini hata CCM hawakumkubali Mwakalebela huko Iringa lakini pia hata wana Yanga SC wengi wenye Akili nao hawajawahi Kumkubali.

Simba Sports Club hii ya CEO Mweledi kabisa na Mwekezaji Mohammed Dewji siyo ya Kuchezewa chezewa hivi. Kudadadeki!
Naunga mkono hoja Lazima tuweke precedence ya kueleweka katika mambo ya hovyo kama haya yanga ichukuliwe hatua Kali sana ili iwe fundisho...Hakukuwa na utani katika maneno yake hata kidogo sbb hata chama mwenyewe juzi wakati yuko insta live nilimsikia na kuona body language yake wakati akijibu swali la mmoja wa mashabiki wa simba ambae alifanya nae video call kuwa kama ana mpango wa kwenda yanga na yy akajibu kuwa Hawezi kukataa ama kukubali japo Baadae akasema mm nipo simba Lkn kwa mtu makini ukimsikiliza na kumuangalia uta note something going on...so plz simba hili halitakiwi lipite hivihivi
 
Mbona hata yule dogo Kabwili aliwahi kuwakosea adabu viongozi wa Simba na akasamehewa?. Kwa kuwa Chama ameshathibitisha kuwa hakufanya mazungumzo na hao Yanga, pia Mwakalebela amejivua nguo mwenyewe kwa kupiga magoti na kuomba msamaha. Simba ni watu wakomavu na waungwana sana msameheni na Mungu ataibariki Simba. Tutaanza kujionea baraka zikimiminika, mara paaap Simba anapewa ubingwa bila ligi kumalizika, mara paaap Simba inatwaa Club bingwa Africa hapo mwakani.
 
Mwakalebelela kupitia sauti yake anasema ameongea na chama ambalo ni kosa kama ni kweli itathibitika aliongea naye. Chama anasema kupitia sauti hajaongea na Mwakalebela kuhusu usajili.
Mbumbumbu FC wanasema Kanuni imevunvunjwa Mwakalebela ahukumiwe kulingana na kanuni, Mwakalebelela anasema hakua na kusudi lolote la kumsajili chama ila ulikua Utani.
Kitakacho tokea inatakiwa mtoa hukukumu ajiridhishe kulingana na kauli za Mwakalebela kusema anaongea na Chama je ni kweli alifanya ilo tendo, je!ni kweli ulikua ni utani? Je! Kupitia kauli hizo hizo je Chama anasemaje, ni kweli aliongea na Mwakalebela?
Mwishoe kama kauli zilizo rekodiwa za Chama na Mwakalebela zitatumika kufanya maamuzi basi Mbumbumbu fc wanakwenda kuangukia pua.
Kulingana na kauli za Mwakalebela na Chama Hakuna ushahidi wenye mantiki/kusudio la Mwakalebela kutenda kosa la kuongea na Chama zaidi ya kauli za Utani wa jadi ambazo zipo miaka yote.
Mbumbumbu fc hivi hamna ata washauri wa kuwasaidia katika mambo madogomadogo au wote mna akiri za Haji manara.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo mnaenda FIFA kumshtaki mwakalebela kwa kuvunja kifungu kipi cha Sheria ya FIFA?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi naona kama mwakalebela kaogopa naye kwakutojua sheria.Maana sheria ina sema hailuhusu kuongea na mchezaji akiwa kwenye mkataba mpaka upate ruhusa ya timu.yeye mwakalebela hajaongea na mchezaji wala wakala.yeye kaamua kuleta uzushi tu au tetesi ambazo hazina uwakika.maana hata wakienda fifa sijui watatumia sheria gani au kanuni ipi..au kuna kanuni au sheria inayokataza uzushi kutoka club nyengine.
 
SAKATA LA CHAMA: MWAKALEBELA AWAOMBA RADHI SIMBA

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela ameomba radhi kufuatia kauli yake kuwa ameshaanza mazungumzo na kiungo wa Simba, Clatous Chama.

Mwakalebela amesema alitoa kauli hiyo kama sehemu ya utani wa jadi dhidi ya Simba baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa watani zao hao wanamuwinda kiungo wao, Papy Tshishimbi.

Katibu Mkuu huyo wa zamani wa TFF, amesema hajazungumza chochote na mchezaji huyo kuhusu usajili, na kama angekuwa na nia hiyo angefuata utaratibu, kwa kuwa yeye kiongozi wa juu mwenye weledi katika soka.

“Kiukweli na uhalisia mchezaji huyo sijazungumza naye… Kwa kuwa hapa katikati tumekuwa na mazungumzo ya utani kati yetu na wenzetu wa Simba… walikuwa wakieleza kuwachukua wachezaji wetu kama Tshishimbi basi na mimi nikaona niseme jambo”

“Inaonekana jambo hili nimelizungumza limevuka mipaka basi natumia fursa hii kuiomba msamaha Simba, TFF na wenzangu wa Yanga. Labda nilizidisha utani naamini kabisa jambo kama hili halitaweza kutokea tena kwangu”, amesema Mwakalebela.

Mapema leo kupitia #WasafiFM Msemaji wa Simba, Haji Manara alisema wataishtaki Yanga TFF kwa kuvunja utaratibu wa kuzungumza na mchezaji wao ambaye bado ana mkataba nao hadi Julai 2021.

GENTAMYCINE nawaonya na nawaambia Simba Sports Club yangu mapema kabisa hapa hapa JamiiForums na naomba aliye na ' access ' na Msemaji wa Simba SC au Mwekezaji wetu Mohammed Dewji au Mwenyekiti wetu wa Wanachama Mwina Seif Kaduguda ' awafowadie ' hili bandiko langu haraka sana.

Nina sababu zangu Kuu kadhaa za kutotaka huyu ' Mpuuzi ' Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela asisamehewe kabisa kama zifuatazo:

1. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akizungumza kwa Kuidharau mno Simba SC
2. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana hata ' Body Language ' yake ilijaa Kudhamiria jambo fulani na hakuwa akitania hata kidogo
3. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akimaanisha kuwa Yanga SC wanajua Sheria na Utaratibu wa Kimpira duniani kuliko Simba SC, TFF, CAF na FIFA
4. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akitaka Kuonyesha Jeuri na Ubabe wa Yanga SC yake ndani ya Soka la Tanzania
5. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akionyesha kuwa Yanga SC yake kwa Makusudi kabisa ndiyo ilimtuma kufanya Upumbavu ( Upopoma ) ule
6. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akitaka Kuuaminisha Umma kuwa Yanga SC ni Timu isiyogusika na isiyotishika na yoyote yule na kwa lolote lile
7. Alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari jana alikuwa akionyesha kuwa Yanga SC ipo zaidi Kivita ( Kiuadui ) na Kukomoana na Simba SC lakini siyo kwa ile dhana ya FIFA ya FAIR PLAY hivyo aliidharau Simba SC

Wapumbavu hawa walianza hii Michezo yao ya ' Kipuuzi ' kwa Kelvin Yondan, Mbuyi Twite na sasa walitaka Kuurudia kwa Clatous Chota Chama wakidhani kuwa Serikali ya sasa hivi na Uongozi wa sasa wa TFF ni ule ule waliouzoea wa Mshabiki Wao Mkuu Rais Mstaafu Kikwete na aliyekuwa Rais wa TFF Malinzi wakasahau kuwa Tanzania ya sasa ipo chini ya Jemedari Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Nawaomba Simba SC kupitia Viongozi hao niliowataja hapo juu bila Kumsahau CEO Wetu ' makini ' Senzo Mazingisa wamchukulie hatua Kali kabisa Makamu Mwenyekiti huyu ' Mpuuzi ' wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela kwa Kumshtaki TFF kisha CAF na hatimaye FIFA pamoja na Klabu yake ya Yanga SC ili iwe Fundisho na tuweze Kuheshimiana.

Simba SC tunapenda mno Utani lakini siyo Utani huu wa Kipumbavu ambao kama ukiendelea kuachwa au kuchekewa kwa Asili na Uhalisia wa Mashabiki wake kuna Siku ' Dhahama ' kubwa itakuja kutokea nchini Tanzania. Na leo nimeamini rasmi ni kwanini hata CCM hawakumkubali Mwakalebela huko Iringa lakini pia hata wana Yanga SC wengi wenye Akili nao hawajawahi Kumkubali.

Simba Sports Club hii ya CEO Mweledi kabisa na Mwekezaji Mohammed Dewji siyo ya Kuchezewa chezewa hivi. Kudadadeki!
ndiyo maana hizi timu zenu mbili zimepewa majina ya hovyo kabisa - Mbumbumbu fc vs Vyura fc.

nimemsikia redioni huyo anayeitwa Mwakalebela akikiri kosa kwa uwazi na kuomba msamaha wa dhati kabisa kwa aliowakosea. simjui huyu jamaa lakini I think he's one of those very few perfect gentlemen remaining in the modern TZ football fraternity.

haya, jamaa kaomba msamaha kiuungwana kabisa bado watu huku JF mnataka kuendeleza bifu za kipuuzi - hii ni akili au tope kichwani? maana ya mtu kuomba msamaha ni nini sasa? huku ni kulishushia hadhi jukwaa letu tukufu JF na ningewaomba Moderator wapige mtu ban fasta and now!

kiukweli mbumbumbu fc fans mkimuunga mkono huyu mtu wenu mtakuwa mnaboa na kujishushia hadhi kabisa!
 
ndiyo maana hizi timu zenu mbili zimepewa majina ya hovyo kabisa - Mbumbumbu fc vs Vyura fc.

nimemsikia redioni huyo anayeitwa Mwakalebela akikiri kosa kwa uwazi na kuomba msamaha wa dhati kabisa kwa aliowakosea. simjui huyu jamaa lakini I think he's one of those very few perfect gentlemen remaining in the modern TZ football fraternity.

haya, jamaa kaomba msamaha kiuungwana kabisa bado watu huku JF mnataka kuendeleza bifu za kipuuzi - hii ni akili au tope kichwani? maana ya mtu kuomba msamaha ni nini sasa? huku ni kulishushia hadhi jukwaa letu tukufu JF na ningewaomba Moderator wapige mtu ban fasta and now!

kiukweli mbumbumbu fc fans mkimuunga mkono huyu mtu wenu mtakuwa mnaboa na kujishushia hadhi kabisa!
Kwani msamaha ni lazima ukubaliwe hio ni juu ya Yule unayemuomba akikataa sawa akikubali sawa...sasa yanga mnataka kulazimisha kwamba lazima kusamehe lazima hatua zichukuliwe otherwise hakuna haja ya kuwa na sheria na kanuni za kazi gani kama hazitumiki badala yake maoni ya watu ndio huzingatiwa
 
Kwani msamaha ni lazima ukubaliwe hio ni juu ya Yule unayemuomba akikataa sawa akikubali sawa...sasa yanga mnataka kulazimisha kwamba lazima kusamehe lazima hatua zichukuliwe otherwise hakuna haja ya kuwa na sheria na kanuni za kazi gani kama hazitumiki badala yake maoni ya watu ndio huzingatiwa
Mbumbumbu fc
 
Mwakalebelela kupitia sauti yake anasema ameongea na chama ambalo ni kosa kama ni kweli itathibitika aliongea naye. Chama anasema kupitia sauti hajaongea na Mwakalebela kuhusu usajili.
Mbumbumbu FC wanasema Kanuni imevunvunjwa Mwakalebela ahukumiwe kulingana na kanuni, Mwakalebelela anasema hakua na kusudi lolote la kumsajili chama ila ulikua Utani.
Kitakacho tokea inatakiwa mtoa hukukumu ajiridhishe kulingana na kauli za Mwakalebela kusema anaongea na Chama je ni kweli alifanya ilo tendo, je!ni kweli ulikua ni utani? Je! Kupitia kauli hizo hizo je Chama anasemaje, ni kweli aliongea na Mwakalebela?
Mwishoe kama kauli zilizo rekodiwa za Chama na Mwakalebela zitatumika kufanya maamuzi basi Mbumbumbu fc wanakwenda kuangukia pua.
Kulingana na kauli za Mwakalebela na Chama Hakuna ushahidi wenye mantiki/kusudio la Mwakalebela kutenda kosa la kuongea na Chama zaidi ya kauli za Utani wa jadi ambazo zipo miaka yote.
Mbumbumbu fc hivi hamna ata washauri wa kuwasaidia katika mambo madogomadogo au wote mna akiri za Haji manara.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ktk watu wapumbavu wewe ni jemedari wao hivi kuna ushahidi mkubwa kuliko wa mkosaji mwenyewe anapokiri kosa.sasa kama hakufanya kosa kwa nini aliomba radhi,na mwanasheria wake ulikuwa wapi kumshauri asifanye hivyo kwa kuwa hakuna ushahidi!!!
Kwa vile utopolo fc si mara yenu ya kwanza kukiuka taratibu za usajili mlishafanya hivyo mara nyingi wakati wa malinzi na siku zote mazoea hujenga tabia naunga mkono hoja lazima hatua kali zichukuliwe dhidi yenu ili iwe mfano kwa viongozi wenu siku zijazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Minyero fc hakuna kesi hapo na Mwakalebela ni kada wa CCM...Yanga ni serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania(Nyerere na Karume)
 
Back
Top Bottom