simba

  1. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Simba Sc kutangaza usajili muda wowote, Babacar Sarr atajwa

  2. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenedy, Kazi, Abel na Mwenda wana kitu; waaminiwe Simba Sc

    Nimeangalia mechi zote za Mapinduzi Cup alizocheza Simba Sc. Kuna kitu nimekiona miguuni kwa baadhi ya wanandinga wa Simba Sc. Nimemuona Kazi akipiga kazi nzuri akiimarisha ulinzi eneo hatari la Simba. Jana dogo sambamba na Kenedy Juma wamepiga soka zuri kwa kujiamini. Kuhusu Israel Mwenda...
  3. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania PAMOJA NA DRW SIMBA WAMEJITAHIDI SANAA NAWAPA. ....MAUA YAO

    Alisikia chizi mmoja wa mda mrefu pale new amani stadium ukitaka kichekesho kingjne kama hiki andika neno "baleke" kwenda no 15577
  4. Allen Kilewella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usibeti Simba inafungwa, utaichukia bure...

    Huu ni ushauri wa bure...
  5. uran

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Simba SC 0 - 0 APR SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | 05.01.2024

    Match Day. Simba Vs APR Msimamo wa Kundi B Ulivyo. Hii nimetengeneza mwenyewe, hivyo kama kuna error tujuzane. Hapa Simba tunahitaji tu Draw yoyote ili tuweze kuingia robo fainali. APR anahitaji kutufunga Goli 4 - 0 ili aweze kuingia robo. Kitu ambacho hakiwezekani. Akipata huo ushindi...
  6. Allen Kilewella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ilikuawaje Yanga wakaweka bango la kuonesha kwamba wameifunga Simba 5 -???

    Kwa zaidi ya mwezi sasa nafanya utafiti kuona kama kuna timu nyingine duniani zaidi ya Yanga, iliwahi kubandika bango barabarani kuonesha kwamba wameifunga timu nyingine, mpaka sasa bado sijapata!! Kiliwatokea nini wana Yanga kuja na wazo kama lile!!
  7. Allen Kilewella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wachezaji wa Simba ndiyo wanaoongoza kwa kuchezewa rafu Tanzania

    Sielewi chanzo chake lakini kwenye kila mechi wanayocheza Simba hapa Tanzania wachezaji wa Simba huchezewa Rafu sana wakati mwingine unaweza kuhisi kwamba labda kuna mkakati maalum wa kuhakikisha wachezaji wa Simba wanaumizwa!!
  8. uran

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Simba SC 2 - 0 Singida Fountain Gate | Mapinduzi Cup| Aman Complex | 03.01.2024

    Match Day Simba Vs Singida FT FC. Time: 20:15. All the Best Mnyama #nguvumoja# Hii Match ni muhimu kwa Simba ila haina Pressure kabisa. Simba wanahitaji point 3 ili kuingia robo fainali. Nimejaribu kutengeneza Standing Table ya Kundi B. Singida FG yeye ameshaingia Robo fainali, anakuja...
  9. OMOYOGWANE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT | Mapinduzi Cup 2023/24: Simba SC 3-1 JKU : January 1, 2024

    Mechi inachezwa saa 2 na robo usiku, je tutegemee kumuona saido, Boco na Bareke? au wataweka kikosi B? Teh ntawaletea updates zote.
  10. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba SC nawashauri muanzishe vyombo vyenu vya habari

    Hapo vipi? Naomba nichukue fursa hii kuishauri Simba SC iazishe vyombo vyake vya habari kama television na redio... Sababu 1. Kwanza Simba SC ni timu kubwa namba 1 na bora Tanzania, Afrika Mashariki na kati. 2. Siasa imeingia kwenye mpira hivyo kuna baadhi ya waandishi wa habari makanjanja...
  11. Allen Kilewella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaosema kuwa Mo hajaweka bilioni 20 Simba, hizo Bilioni 20 za kitu Gani?

    Kuna mashabiki wa timu moja ambayo timu nzima ina mashabiki wawili tu wenye akili, kila siku Wanahoji/ kuuliza swali lisilo na mantiki. Kila siku wanauliza kama Rais wa Heshima Simba Mohamed Dewji tayari keshaweka kwenye akaunti ya Simba shilingi bilioni 20 alizoahidi kuwekeza Simba. Kwani...
  12. Its Pancho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba tunarudia makosa tena yale yale. Tatizo liko hapa

    Wazee Wanasimba wenzangu mimi nikiwa mwanachama halali wa simba naumia sana .. Misimu mitatu au minne nyuma tumekuwa tukileta wachezaji wa hovyo sana. Kisha tukiwatena kwa kuwasingizia kesi mbalimbali. Angalau basi hata hao wachezaji wawe wamoto sana ila ndiyo vile ndugu mangungu amekuwa ni...
  13. Gordian Anduru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bwana Ahmed Ally Sisi tuliofeli Form Four Tuhame Simba?

    Kwa masikitiko makubwa nawasilisha malalamiko yangu dhidi ya msemaji wa Simba. Amekuwa akitukandia sana Form Four Failure Kwenye spichi sake. Sasa Sisi mashabiki wa kolowizard tuliofeli Form Four Tuhamie Yanga?
  14. S

    JamiiForums Tanzania Simba dirisha dogo limegoma kufunguka. Viongozi walisajili kwa mihemko.

    Naomba nitoe angalizo mapema" mimi siyo mtu wa mpira" hili ninaloandika nimepewa taarifa na chanzo changu cha taarifa. Kwa mujibu wa chanzo changu cha taarifa ni kwamba ukimya wa Simba ktk dirisha hili dogo siyo kwamba kuna cha maana wanachofanya. Hakuna. Kanuni za usajili zinasema ktk dirisha...
  15. William Mshumbusi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Okra Magic ameondoka Simba akiwa wa Moto mno. Sema alipigwa Zengwe la Ulevi

    Ndio hivyo. Safari ya Okra ni sawa na ya Peter Banda na Sasa Chama na Phiri. Wakiwa katika ubora wa juu kabisa wananyimwa namba kwa fitna. Okra kaenda Ghana katupia goli tisa Tayari. Kwanini Yanga wasimchukue. Okra akiwa Simba Aliifunga yanga. Akafunga de Agost magoli muhimu kabisa. Kafunga...
  16. Malaika wa Misukosuko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mchezaji kutokea Colombia anayetarajiwa kusajiliwa na Simba ni Galasa wa kutupa

    Habari Wakuu, nimeona nisiwe mnafiki kuwahabarisha mapema juu ya ujio wa huyu Miquissone mwingne aliyechangamka asije mkasema ohhh wana JF nyie ni watafiti mmeshindwa kufatilia Data za huyu mtu mkatuambia mapema tusiweke tumaini hewa juu ya huyu mtu. Hii "Colombia invasion" itakuja kumuingiza...
  17. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga ikiingia robo fainali inaweza kuipaisha Simba katika rank za CAF na FIFA

    Huu unaweza kuwa uzi wangu wa mwisho kwa mwaka 2023 na nataka nimalize mwaka kwa ujumbe chanya. Wenye akili zao watausoma na yale watakayoona ni mazuri wataenda kuyafanyia kazi. Yanga na Simba bado wako kwenye mbio za kufuzu kwenda katika robo fainali ya klabu bingwa ya Afrika. Yanga hajacheza...
  18. Superbug

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ahmed Ally semaji la Simba linavutia sana linavyoongea na zile mbwembwe

    Kusema ukweli uongeaji wa semaji unavutia sana hasa anavyokazia maneno na ile tone yake pamoja na maneno na vikorombwezo kibao anavyomix wakati wa uongeaji. Na kinachochekesha zaidi na kufurahisha ni ule u seriousness wake wakati anaongea. Hakika semaji tunakukubali.
  19. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii ni ishara ya kwamba Simba SC ni timu teule Afrika kutoka kwa Mungu

    Hili tukio la mtoto mdogo kuchagua Simba sc baada ya kuwekewa nembo ya Simba na yanga, kisha akachagua Simba sc ni ishara yakwamba Simba sc ndio timu teule kutoka kwa Mungu kuiwakilisha Tanzania, Afrika mashariki na kati,na Afrika kwa ujumla Duniani kote kama Timu bora ya nyakati zote. Pia...
  20. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba la Masimba Dangote ndani ya Unguja

    Simba la Masimba Dangote anakiwasha Unguja Leo. Dunia yote inasubiria tukio Kuu uwanjani. NB: karibuni sana Unguja.
Back
Top Bottom