GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,135
Tokea juzi kataarifiwa arejee Kambini kuungana na Wenzake Yeye kwa dharau hadi muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi hajaenda na yuko Kisiwani Zanzibar amekula tu Bata (Starehe) na Mademu wa Kitalii ambao huwa anawapenda hakuna mfano.
Chama tumekuvumilia vya kutosha tafadhali achana na Simba SC na nenda huko Yanga SC wanakokupa hiki Kiburi chote sawa?
Chama tumekuvumilia vya kutosha tafadhali achana na Simba SC na nenda huko Yanga SC wanakokupa hiki Kiburi chote sawa?