Wazo zuri. Afcon imeibua wachezaji wengi wazuri sana mfano nchi kama Cape verde na Mauritania kuna watu wanaotufaa huko. Tatizo ni umasikini wa club zetu, upigaji na kuingiza siasa kwenye mpira. Tunashindwaje kuwa na mchezaji kiungo kama Mokoena au beki namba mbili Mudau!Simba tumtoe pale Atalanta huyu Lookman aje na pia yule Gilberto apewe mkataba.
Hivyo tutabeba Caf CL mwakani.
Anaitwa Ademola Lookman Olajade Alade Aylola LookmanSimba tumtoe pale Atalanta huyu Lookman aje na pia yule Gilberto apewe mkataba.
Hivyo tutabeba Caf CL mwakani.
Kama una mtoto mwulize kwanza kabla ya kupost,atakujibu baba we ni mjinga sanaSimba tumtoe pale Atalanta huyu Lookman aje na pia yule Gilberto apewe mkataba.
Hivyo tutabeba Caf CL mwakani.
Mdogo mdogo tutafika, yule muuza duka nae si alikujaWatanzania wengi ni wajinga
Umtoe mtu aliyezaliwa uingereza aje acheze ligi za africa tena Tanzania walau ungekuwa ligi ya south africa ndio kidogo inahadhi ya kimataifa pmj na Egypt
Huyo kaanza kucheza mpira kitambo kibongo bongo ni bilionea kabisa
Mshahara wake kwa wiki ni zaidi ya milion 150 kwa wiki
Viwanja pia ni ishu. Hii nchi tunapaswa kuboresha hata viwanja. Viwanja vizuri ni vichache. Club kubwa hazina viwanja.Ishu ni hela tu
Yanga nao papatu papatu. Professional player yupi anataka kuja kucheza nchi haina viwanja vya maana. Utlist hata uwanja uwe poa hata kama hamna majukwaa.Simba ipi ndugu unazungumzia?Kama ni hii inayookoteza wachezaji kila diirisha la usajili basi sahau kusajili wachezaji wenye viwango vya kimataifa.