Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,837
Huko kwa wanawake tumewaachia mtawaleWatakuja wa upande wa pili waseme wamebebwa..kama kubebwa rahisi mjibebe na nyie...
Someni sheria..m
Ndugu mbumbumbu viwanja vinakaguliwa na Tff (bodi ya Ligi)kabla ya Ligi kuanza na kama hakifai wenye uwanja Wana taarifiwa mapema kwanini kiwanja hakifai, wataelekezwa Cha kurekebisha na wakifanya marekebisho kamati inakuja kukagua na kuwapa jibu, mwenyeji atawaeleza Tff atatumia uwanja Gani baada ya uo kufungiwa.Kweli Usimba na Uyanga una leta upofu.
Kwamba Utopolo hawaoni makosa ya JKT Queens. wao walikuwa na taarifa za kuwa uwanja wao haufai. na kumbuka ni mechi ya Simba tu ndio waliyo gomea
mwenyeji wa mechi j.k.t na ajateua azam kuwa uwanja wake wa nyumbani wala ajaomba mechi ichezwe hapo nani aliipeleka hapo muheshimu diwaniKweli Usimba na Uyanga una leta upofu.
Kwamba Utopolo hawaoni makosa ya JKT Queens. wao walikuwa na taarifa za kuwa uwanja wao haufai. na kumbuka ni mechi ya Simba tu ndio waliyo gomea
sasa mbona mechi zingine zote baada ya hiyo na mechi moja kabla ya hiyo ya simba walikubali kuto tumia uwanja huo .mwenyeji wa mechi j.k.t na ajateua azam kuwa uwanja wake wa nyumbani wala ajaomba mechi ichezwe hapo nani aliipeleka hapo muheshimu diwani
Hayo ni maelezo yako ndugu Utopolo (Manara alisha sema wa upande huo wapo wangapi wenye akili)Ndugu mbumbumbu viwanja vinakaguliwa na Tff (bodi ya Ligi)kabla ya Ligi kuanza na kama hakifai wenye uwanja Wana taarifiwa mapema kwanini kiwanja hakifai, wataelekezwa Cha kurekebisha na wakifanya marekebisho kamati inakuja kukagua na kuwapa jibu, mwenyeji atawaeleza Tff atatumia uwanja Gani baada ya uo kufungiwa.
Huwezi kuhamisha mechi kienyeji kama mtu anaye kimbiza kuku wake amfanye kitoweo.
Walicho Fanya Tff hakina faida kwa Simba queen Wala Tff kwa manufaa ya soka la Wana wake sanasana kujivunji heshima na kuwafurahisha watu wachache.
labda pre match walilazimishwa tu wakaona liwalo na liwesasa mbona mechi zingine zote baada ya hiyo na mechi moja kabla ya hiyo ya simba walikubali kuto tumia uwanja huo .
kwa nini siku ya mechi ya simba waligoma.
kikao cha pre match walikuwepo na walikubali kuutumia uwanja wa Azam
Acha kujifanya unajua kila kitu babu..hakuna watu watakubali wapokwe alama kama hawana kosa..Ndugu mbumbumbu viwanja vinakaguliwa na Tff (bodi ya Ligi)kabla ya Ligi kuanza na kama hakifai wenye uwanja Wana taarifiwa mapema kwanini kiwanja hakifai, wataelekezwa Cha kurekebisha na wakifanya marekebisho kamati inakuja kukagua na kuwapa jibu, mwenyeji atawaeleza Tff atatumia uwanja Gani baada ya uo kufungiwa.
Huwezi kuhamisha mechi kienyeji kama mtu anaye kimbiza kuku wake amfanye kitoweo.
Walicho Fanya Tff hakina faida kwa Simba queen Wala Tff kwa manufaa ya soka la Wana wake sanasana kujivunji heshima na kuwafurahisha watu wachache.
Kila kona ni mbereko kwa kwenda mbele
Mwaka jana tu Juventus walipokwa point 10 kwa udanganyifu wa usajili, sasa sijui unazungumzia FIFA ganiAyo mambo ya point za mezani FIFA ilisha yakataa si mambo ya kujivunia ni mambo ya aibu katika mpira wa miguu.
Kwa miaka mingi Sasa duniani kesi za timu kupewa point za Bure katika soka zimetoweka, Chakushangaza uku kwetu Kuna mambo yanafanyika ata wenzetu wanatushangaa!!
Soka letu Lina Double standard ya kiwango Cha ajabu Sana.
Juzi kati Kuna timu ili jaribu kuomba mechi zake zichezwe nje ya eneo husika la kimashindano na nje ya kanuni na Bado FA Ika Kaa kikao kujadili upuuzi uo.
Nijambo ambalo halikustahili ata kukaa na kujadili kwakua kanuni ziko wazi kabisa