GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,037
"Kwa sasa Simba SC tutautumia Uwanja wa Azam Complex kwa Mchezo wetu dhidi ya Tembo katika Mechi ya ASFC Keshokutwa na Taarifa ya Simba SC itatumia Uwanja upi kwa Mechi zake za Ligi Kuu ya NBC na CAFCL itatolewa baadae" amesema Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally alipokuwa akiongea na Mtangazaji wa E-Sport ya EFM Radio aitwaye Said Kilumanga usiku huu wa leo.
Na wenye Akili tunajua kuwa Kauli hii ya Ahmed Ally (Msemaji wa Simba SC) imetolewa leo kwakuwa wameona itakuwa ni Usumbufu kuihamisha Mechi yao hiyo ya Keshokutwa (Jumatano) ikachezwe ama Amani Complex au CCM Mkwakwani (Tanga) au Sheikh Amri Abedi Kaluta (Arusha) wakati tayari Wapinzani wao hao Timu ya Tembo wako Jijini / Mjini Dar es Salaam na kwamba Kuwahamishia Kwingineko itakuwa ni Kuwatesa na hasa hasa Kuharibu Bajeti yao ukizingatia kuwa bado ni Timu changa na ina Ukata/ Umasikini mwingi.
Baada ya Mechi yao hiyo ya Keshokutwa (Jumatano) Uongozi wa Simba SC utafanya Kikao chake cha Utendaji ili kuamua ni Uwanja upi utumike kwa Ligi Kuu, FA (ASFC) na Mechi za CAFCL
Na kama Simba SC wataamua rasmi kubakia Azam Complex kubanana na Yanga SC basi jueni kuwa tayari Mtaalam ameshaletwa Kutegua yale Mabomu yote ya Kiushirikina/ Ndumba yaliyowekwa hapo Uwanjani na Kunuwiwa kupata Mafanikio kwa Timu zote zitakazocheza nayo hapo.
Na ikitokea Simba SC wakaamua kwenda kucheza nje ya Mkoa wa Dar es Salaam basi wataenda katika moja ya Mikoa ifuatavyo......
CCM Mkwakwani (Tanga)
Sheikh Amri Abedi Kaluta (Arusha)
New Amani Complex (Zanzibar) hasa hasa kwa Mechi zake za Kimataifa za CAFCL.
Na wenye Akili tunajua kuwa Kauli hii ya Ahmed Ally (Msemaji wa Simba SC) imetolewa leo kwakuwa wameona itakuwa ni Usumbufu kuihamisha Mechi yao hiyo ya Keshokutwa (Jumatano) ikachezwe ama Amani Complex au CCM Mkwakwani (Tanga) au Sheikh Amri Abedi Kaluta (Arusha) wakati tayari Wapinzani wao hao Timu ya Tembo wako Jijini / Mjini Dar es Salaam na kwamba Kuwahamishia Kwingineko itakuwa ni Kuwatesa na hasa hasa Kuharibu Bajeti yao ukizingatia kuwa bado ni Timu changa na ina Ukata/ Umasikini mwingi.
Baada ya Mechi yao hiyo ya Keshokutwa (Jumatano) Uongozi wa Simba SC utafanya Kikao chake cha Utendaji ili kuamua ni Uwanja upi utumike kwa Ligi Kuu, FA (ASFC) na Mechi za CAFCL
Na kama Simba SC wataamua rasmi kubakia Azam Complex kubanana na Yanga SC basi jueni kuwa tayari Mtaalam ameshaletwa Kutegua yale Mabomu yote ya Kiushirikina/ Ndumba yaliyowekwa hapo Uwanjani na Kunuwiwa kupata Mafanikio kwa Timu zote zitakazocheza nayo hapo.
Na ikitokea Simba SC wakaamua kwenda kucheza nje ya Mkoa wa Dar es Salaam basi wataenda katika moja ya Mikoa ifuatavyo......
CCM Mkwakwani (Tanga)
Sheikh Amri Abedi Kaluta (Arusha)
New Amani Complex (Zanzibar) hasa hasa kwa Mechi zake za Kimataifa za CAFCL.