FT: Tabora United 0-4 Simba SC | NBC Premier League | A.H.Mwinyi Stadium | 06.02.2024

uran

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
7,578
10,809
20240206_135539.jpg
Match Day.

Leo Simba anatupa karata yake kwenye mchezo wa 12 wakiwa na Points 26. Nafasi ya 3. Anayeongoza Ligi ana points 34.
Mpaka sasa Simba amepoteza Mchezo 1 Draw 2 na Ameshinda 8.

Wapinzani Wao Tabora wako nafasi ya 12 kwenye msimamo wakiwa na points 15.

Mchezo utafanyika Saa 10jioni.
Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.

Tukutane hapa kwa updates...
Uran!!

KIKOSI CHA TABORA UNITED KINACHOANZA.
20240206_152443.jpg

KIKOSI CHA SIMBA KINACHOANZA
20240206_151307.jpg
All the Best Mnyama.
#nguvumoja#...

=====

Mchezo umeanza
5' Kasi ya mchezo bado sio kubwa
9' Mchezo unachezwa katikati kwa muda mwingi
14' Simba wanafanya shambulizi kali, shuti la Saido linagonga nguzo na kutoka nje.
19' GOOOOOOOOOOOOOOOOO
Mshambuliaji Pa Omary Job anaipatia Simba goli kwa njia ya kichwa
30' Simba wanamiliki mchezo muda mwingi
GOOOOOOOOO
Sadio Kanoute anaipatia Simba goli la pili kwa kichwa akimalizia krosi ya Shomari Kapombe.
45' Zinaongezwa dakika 2 za nyongeza

MAPUMZIKO

GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
60' Beki wa kati Che Fondoh Malone anaipatia Simba goli la tatu baada ya kutokea piga nikupige.
86' Fredy Michael anafunga goli la nne kwa Simba
 

Attachments

  • 20240206_151307.jpg
    20240206_151307.jpg
    693.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom