siasa

Siasa
Siasa za Tanzania hufanyika katika mfumo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Muungano, ambapo Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu na mkuu wa Serikali katika mfumo wa vyama vingi.

Tembelea Jukwaa la Siasa
  1. Mwanahabari Huru

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe: Mapendekezo ya marekebisho muhimu ya Katiba na Sheria ili kuwezesha Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2020 kuwa huru, wa haki na halali

    Tutawaletea Moja kwa Moja Mkutano wa Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na Wandishi wa Habari wa Tanzania na wakimataifa Kuhusu Mambo mbalimbali ya Nchi Updates ------------ Mbowe atahadharisha hali ya hatari uchaguzi mkuu, Amlima Barua Rais ------------- Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe...
  2. bahati93

    JamiiForums Tanzania Je, mabinti wa shule walaumiwe kwa kushika mimba?

    Habare comrades Nimepanga kujibu swali nililouliza kwenye kichwa cha habari mwisho wa maandishi yangu kwenye huu uzi. Kwanza niweke bayana mabinti ntakaowazungumzia ni wale walio balehe wakiwa shule msingi au secondary. Kutokana na habari nyingi zilizopo juu ya umuhimu wa elimu na hasara kubwa...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Tumelewa tila lila na siasa pindu pindu, tunasahaulishwa ya msingi Idukilo tunazidi kuumia -

    Nimeshangaa sana hoja zinazoendelea, mara Zito mara Kangi. Kangi alichofanya ni kukengeuka kwake tu. Alifikiri kukata mauno kuliko Mond basi Mkulu atamlegezea tu na kupiga dili la kisawasawa. Ona Zitto naye - barua yake dhahabu lkn wanataka kumchonganisha na wana wa nchi. Serikali...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Dr. Magufuli ndiye Mwenyekiti bora kabisa wa chama cha siasa barani Afrika. Bila juhudi zake CCM ingekuwa kama KANU

    Mtafiti wa masuala ya siasa za Afrika nchini Kenya ndugu Jonathan Otieno amesema Rais Magufuli ndiye mwenyekiti bora na aliyeleta mabadiliko makubwa kwenye chama chake ukilinganisha na wenyeviti wengine barani Afrika. Otieno amesema ni juhudi binafsi za Dr Magufuli zilizorudisha uhai kwenye...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Kama Nape, Mwigulu, January na sasa Kigwangalla wameathiriwa na siasa chafu basi "huyo" aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu haswa!

    Ukiangalia kwa jicho la tatu kuna uwezekano mkubwa hao niliowataja hapo juu wasirudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu ujao kutokana na majeraha makubwa ya kisiasa waliyonayo. Wote kwa nyakati tofauti wamedai madhila yaliyowakuta yametokana na siasa chafu wanazotendewa ndani ya CCM. Ndio...
  6. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mitandao ya kijamii ilivyoshika uhai wa vyama vya siasa

    Ni dhahiri siasa za majukwaani kwa miaka minne iliyopita zilikuwa na changamoto kubwa lakini mitandao ya kijamii imeonekana msaada mkubwa katika kukuza uhai wa vyama vya siasa au mwanasiasa mmojammoja. Zimekuwapo juhudi za kuwashawishi watumiaji wa mitandao ili kupata wafuasi miongoni mwao, na...
  7. Syston

    JamiiForums Tanzania Uhamiaji acheni siasa, mnafeli wapi?

    Wadau, nimelileta hili maana limenivuruga akili haswa. Ipo hivi: Niliingia tovuti ya Uhamiaji kwa ajili ya maombi ya passport ila mambo niliyokutana nayo huko yameniacha hoi na kunifanya niamini siasa siyo mchezo mzuri. Kero nilizoziona ni kama ifuatavyo: 1. Katika kujaza form kuna kipengele...
  8. Dam55

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ni Dikteta anayetoa Ruzuku kwa vyama vya siasa!

    Tanaambiwa Tanzania tuna Rais Dikteta, mnyanyasaji, anae ua upinzani, katili n.k Sasa tujiulize kitu hivi Kama kweli hayo yasemwayo je inawezekana vipi Dikteta akawa anatoa Ruzuku kwa vyama vingine vya siasa jambo ambalo ni haramu katika utawala wowote ule wa Kidikteta duniani. Vyama vya...
  9. Kididimo

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano 2020 tukapata viongozi wabovu sana!

    Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopita umetoa funzo. Kuna viongozi wamepita bila kupingwa ila baadae kidogo wananchi wamewakataa na wengine wamejiuzulu kwa kukosa support ya wananchi. Dosari za uchaguzi huo, zilibainishwa na Mh. Jafo ambaye ni Waziri wa TAMISEMI na mwenye dhamana. Aidha...
  10. beth

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Kenyatta afanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

    Rais Uhuru Kenyatta amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Katika hotuba yake ya kwanza katika mwaka wa 2020 aliyoitoa kwenye Ikulu ya Rais Mombasa amemteua Monica Juma kama Waziri wa Ulinzi huku Raychelle Omamo akiwa Waziri wa Mambo ya Nje. Ukur Yatani ameteuliwa kama Waziri wa Fedha...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Vyama vya siasa vya upinzani ni kama vikosi vya Tarabushi vimejaa hofu na haviwezi kuhoji lolote kwa Wenyeviti wao

    Jana kupitia gwaride la kikosi cha Tarabushi kwenye sherehe za Mapinduzi Zanzibar tulijifunza mambo muhimu sana. Mojawapo ni jinsi viongozi wanavyoweza kuwajaza hofu walio chini yao na kisha kuwaburuza. Ndipo nikawakumbuka viongozi wa Chadema na CUF yaani Prof Lipumba na Mbowe jinsi...
  12. Viol

    JamiiForums Tanzania Trump: Hakuna Mwanajeshi wetu yeyote aliyekufa au kujeruhiwa katika shambulio la Iran. Iran inaonekana kusitisha kulipa kisasi

    Ambao mpo kwenye mitandao ya kijamii,youtube au sky news Rais wa marekani yupo live kuzungumzia mgogoro wa Marekani na Iran. Pia kama una tv unaweza kuangalia CNN,Aljezira . Tupeane updates ***** UPDATE Baada ya Iran kushambulia Kambi mbili za Jeshi za Marekani huko Iraq, Rais Trump...
  13. maganjwa

    JamiiForums Tanzania Siasa ndo inaendesha maisha. Kubali ukatae huu ndio ukweli

    Wanajamvi habari za muda huu? Naamini mko salama. Leo nimeona nije na mada hii kwamba siasa ndo inarun maisha kwa kuwa kila tunapobadilisha viongozi wa kisiasa kila kitu kinabadilika. kwa hiyo kwa uelewa wangu siasa ndo kila kitu. Kwanza ukiangalia mifumo ya maisha wanasiasa ndio wanaobuni...
  14. ibesa mau

    JamiiForums Tanzania Wakati zoezi la uandikishaji wa daftari la wapiga kura,Sioni vyama vya siasa na vya wafanyakazi Vikihamaisha watu wao

    Huu ni mwaka wa uchaguzi lakini pia tume ya taifa ya uchaguzi ipo katika zoezi la uboreshaji wa daftari la Wapiga kura .Wakati zoezi hilo likiendelea vyama vya siasa vipo kimya na vyama vya wafanyakazi navyo vipo kimya. Vyama vya wafanyakazi vinawajibu wa kuhamasisha wanachama wao...
  15. Chereko tena

    JamiiForums Tanzania Uchumi Bila siasa ya vyama vingi

    Hakuna haja yeyote ya kuwa na vyama vingi nxhini huku tukipoteza bilions of money katika shughuli za kampeni badala ya kuziwekeza katika kukuza uchumi na Pato la taifa, itungwe katiba yenye kuonesha dira ya taifa na Kila kiongozi aifuate na aiheshimu vinginevo awajibishwe tuachane na mfumo wa...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Msanii tajiri jiingize kwenye siasa pale uwezo wako unaposhuka kama ambavyo wanasoka maarufu huhamia ligi za Uarabuni au Asia kumalizia soka lao

    Wewe kama ni msanii mwenye mafanikio makubwa na uliepata utajiri au fedha nyingi kupitia fani yako, kamwe usijingize kwenye siasa wakati bado uko kwenye chati, bali fanya hivyo pale amapo umri unapokutupa mkono kutumikia fani yako, au pale kiwango chako kinapoanza kuporomoko kwa maana ya uwezo...
  17. technically

    JamiiForums Tanzania Tuache siasa, tuwekeze kwenye kilimo then viwanda then ndege

    Naomba nitoe ushuhuda kidogo. Mimi ni moja ya watu ambao najaribu kuwekeza kwenye kilimo ila naleta ushuhuda ili liwe somo kwa serikali na wananchi kwa ujumla. Maka jana nililima ekari 20 za mahindi mkoa wa Rukwa na nilipovuna mwezi wa 7 mwaka jana nilipata gunia 350 nikaweka store maana...
  18. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania Dr. Bashiru Ally: CCM ni chama kinachoongoza kufanya siasa safi za kiungwana na kiustaarabu kitashinda kwa kishindo uchaguzi mkuu

    CCM YAAHIDI KUENDELEA KUHESHIMU MAAMUZI YA UMMA 02 Januari, 2020 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally amesema kuwa, CCM mwaka 2020 itaongoza siasa safi za uchaguzi, ni mwaka wa kudhihirisha CCM inaongoza siasa safi na kuheshimu maamuzi ya Umma kama ilivyofanya mwaka 2019...
  19. funaku

    JamiiForums Tanzania Nawatikia heri ya mwaka mpya 2020

    Najua mmenimiss kiasi kwa kuwa sijapost sana hasa hasa miezi ya mwisho wa mwaka 2019. Napenda kuwaambia nawapenda sana wanajukwaa wenzangu. Bado nipo Gado sana representing Team Magufuli kisayansi ...naamini mnanielewa sana moyoni ila huwa mnanipinga hadharani. Bado nitaendelea kuwaletea...
  20. Semeni People

    JamiiForums Tanzania Siasa za Nyimbo: Maisha ya kuboresha ndani ya uoga asilimia 100

    Huwa wanaimba nyimbo za wanawake lakini ndiyo mfumo wa maisha ya Mtanzania kuwa ni kisiwa cha amani. Ikifika kwenye kuboresha vitu kama majengo, kilimo, uvuvi, mifugo n.k utakutana na ubaguzi mkubwa sana hapo ndipo episode za movie huishia tukutane kwenye movie nyingine. Hongera Kayumba huu...
Back
Top Bottom