siasa

Siasa
Siasa za Tanzania hufanyika katika mfumo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Muungano, ambapo Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu na mkuu wa Serikali katika mfumo wa vyama vingi.

Tembelea Jukwaa la Siasa
  1. S

    Siasa za majaribio: IPO siku tutaelewa Siasa za Kwa nini Mhe. Magufuli aliwapa Hati Mabalozi wajenge wenyewe

    Tanzania inaongozwa Kwa story chafu ambazo wataalamu wa mambo wanaojua KUPLAN huzitumia kuharibu KAZI za nchi nyingine au kichwa cha MTU.. Tumekuwa tunashuhudia RAIS akijifanyia maamuzi yasiyo na makosa Kwa JAMII Kwa sababu tumempa thamana aongoze Nchi yetu.. Ni muda SASA alitoa Hati miliki Kwa...
  2. G Sam

    Prof. Kabudi nachelea kukuamini kama kweli mlishinda kesi Afrika ya Kusini, tusipende kuona uongo kuwa sehemu kubwa ya siasa za Tanzania

    Kwanza naomba niombe radhi kwa balozi wa Canada nchini Tanzania kama kweli ulimuita na kumzungumzia yale uliyozungumza leo. Pili siamini kama hujui kuwa kuna tofauti kubwa kati ya Marekani na Canada kwani Canada yupo jumuiya ya madola wakati Marekani haipo. Sasa basi, tuje kwenye hoja ya...
  3. R

    Mahakama yaamuru Lissu afike Mahakamani Desemba 19

    Mh Hakimu anasema hataki siasa: "Hatutaki mambo ya siasa hapa namtaka Lissu aje hapa mahakamani kesi yake iendelee". Ndugai: Sijui Lissu alipo, namvua ubunge Rais: Ametelekeza jimbo Hakimu: Sitaki siasa, aje kesi iendelee ==== Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imemwagiza...
  4. Greatest Of All Time

    Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

    Roma Mkatoliki amerudi upya jamani. Ametoa wimbo mpya unaitwa "Anaitwa Roma". Ni Roma yule tuliyemzoea enzi za Mrisho akitamba na vibao vyake matata. Je Basata watauacha huu wimbo? Utafute mapema kabla hawajauchukulia hatua. Katika wimbo huo mimi nimependa mstari fulani hivi unasema; "Kwetu...
  5. bahati93

    Jaribio la kugawanya vyama vya siasa Tanzania kutokana na misimamo ya siasa

    Mwanadamu kama mwanadamu waweza mtafsiri kama mnyama anayefanya siasa. Binadamu na maisha yake hapa duniani lazima afanye siasa, kwasababu siasa haikwepeki. Hii siasa yatokana na asili ya mwanadamu kushirikiana katika mambo tofauti. Hivyo, ili mwanadamu kuepusha kuishi kama wanyama pori...
  6. S

    Siasa za Uchumi wa wananchi katika nyimbo za Nigeria na falsafa ya "Nchi iliyopata MAENDELEO fedha haina samani"

    Afrika ni nchi kubwa ambayo kwa uhalisia wake inawatu wanaotumiana sana kwa sababu ya housing "Afrika" lakini ni wagumu kuingiza siasa ya kuboresha maisha kwa sababu ya AIBU (hapa ndipo Pana Go and return ticket" Hebu check wimbo huu unaweza sema alikuwa namwimbia mwanamke lakini kiuhalisia...
  7. S

    Siasa ya kujitoa: Hata CCM ilitakiwa kujitangaza kuwa imejitoa kwenye uchaguzi

    Jamii yoyote huongoza Kwa misingi ya Sheria na Sheria ya uchaguzi inasema Chama KAZI yake ni kuteuwa wagombea pekeyake . Vyama vyote vimefanya hivyo ni muda wa CCM kutangaza kujitoa ili WAIACHIE mifumo ifanye KAZI yake... KAZI kwako Polepole
  8. S

    Siasa za nyimbo tuwapongeze wasanii hawa kupelekea utamu wa siasa 2020

    Uteuzi wa wanasiasa katika nafasi ya Ukurungezi wa Halmashauri, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Katibu Tawala, Viti Maalumu, WABUNGE, Ubalozi wa nchi mbalimbali utasaidia kukutana na wanasiasa wenye jeuri ya FEDHA na Dharau ya maamuzi... Utamu WA Siasa upo hapa mwenye maoni atume Kwa makamu wa...
  9. CalvinKimaro

    Nchi ya wanasiasa na siasa toka juu Taifa hadi Kijijini: CCM mna dhamana

    NCHI YA WANASIASA NA SIASA TOKA JUU TAIFA HADI KIJIJINI: CCM MNA DHAMANA Tanzania imegeuka Taifa la ajabu sana. Ni Taifa pekee siasa inafanywa na kila mtu, kila mahali na kila muda. Hakuna Taifa jingine duniani ambalo karibu kila mtu, kila kitu na kila sehemu kinachofanyika ni siasa. Na hali...
  10. Midimay

    Tumefanya kosa kubwa kupeleka siasa mashinani, Wahusika zimeni huu upepo

    Mojawapo ya sababu vya nchi hii kuwa na utulivu kwa upande wa Tanganyika, ni kwa sababu ya mkakati wa viongozi wa mwanzo kuepuka kupeleka siasa kali mashinani kuanzia enzi ya TANU, UTP ya Zuberi Mtemvu, ASP,ZNP hadi enzi za TADEA na CHAUMMA. Siasa kali mashinani siyo. Kulitakiwa kufanyike...
  11. Erythrocyte

    Hai: Polisi watumika kukomoa raia, siasa zatajwa kuhusika

    Huyu mama ni miongoni mwa waathirika
  12. F

    GE2020 Vyama vya Upinzani Tanzania ni dhaifu sana! Havina mikakati na watu makini wanaojua siasa!

    Vyama vya upinzani karibia vyote na hasa CHADEMA havina mikakati na watu makini wanaoweza kuendesha siasa ya kuing'oa CCM madarakani. Ni vyama ambavyo vimejaa mamluki na wachumia tumbo wanaotafuta umaarufu na kuendesha siasa za mihemuko. Vyama havina organization na vinaendeshwa siyo kitaasisi...
  13. Analogia Malenga

    Mawazo ya Prof. E Kezilahabi kuhusu siasa za Ujamaa

    Kezilahabi amekuwa ni msomi wa zile enzi za Vita baridi (Cold war) wakati ambao wasomi wengi wa afrika walikuwa upande wa UJAMAA, japo baadhi waliamini hawafungamani na upande wowote. Kutokana na vita ile vijana wengi wa Tanzania na wanaharakati wa enzi hizo walijivika ujamaa kiitikani kuanzia...
  14. S

    Hivi bado Watanzania tunajidanganya mfumo wa siasa uliopo utadumisha amani na umoja wa kitaifa?

    Amani na umoja wa Watanzania, ni sifa ambayo ilijulikana juu ya Watanzania duniani kote. Kwa miaka mingi sana Tanzania ilikuwa haitajwi na vyombo vya habari kama BBC na CNN kwa kuwa hatukuwa na habarai mbaya ambazo vyombo vya magharibi hupenda kuzitangaza juu ya nchi zinazoendelea na masikini...
  15. Return Of Undertaker

    CHADEMA yadai uchaguzi ufutwe, kuwe na tume huru na marufuku kutumia nembo ya CHADEMA. Kwa tume iliyopo hakuna jipya imejaa magigisi

    Waziri wa Tamisemi, Seleman Jafo amesema hakuna atakayejitoa uchaguzi wa Serikali za Mitaa na wote waliochukua fomu na kurejesha watashiriki uchaguzi huo kasoro wenye makosa ya uraia, kutojiandikisha katika mtaa husika, kujiandikisha mara mbili, kutodhaminiwa na chama chake #MwananchiUpdates...
  16. PureView zeiss

    Tetesi: Serikali kupeleka bungeni muswada wa Sheria juu ya chama cha siasa kujitoa kwenye uchaguzi

    Hizi tetesi juu ya vyama/chama cha siasa kitakachojiondoa Kwenye uchaguzi automatically kitakuwa kimejifuta moja Kwa moja kuwa chama halali cha siasa. Baadhi ya wapambe ambao wanajifanya wanaijuwa Sana Sheria wamepekeka proposal Kwa jiwe huku wakimpa na vifungu vya kuongezea(Sheria ya...
  17. Roving Journalist

    CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

    Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza chama chake kutoshiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 kwa madai wakishiriki wanahalalisha ubatili Maamuzi hayo yanakuja ikiwa ni baada ya Wabunge wa CHADEMA kukutana leo alasiri Novemba 7, 2019 katika Kikao cha...
  18. T

    Katiba: CAG haruhusiwi kujihusisha na siasa baada ya utumishi wake

    Katiba yetu ipo very clear CAG haruhusiwi kuingia katika siasa baada ya muda wa utumishi wake. Hii inamaana kuwa wale tunafikiri kesho CAG ataingia katika siasa tunapoteza muda na huwenda ndio maana katiba inamlinda sana ili asije nyanyaswa na watawala.
  19. B

    Siasa za kimataifa: Vipaumbele vya kujenga reli na fursa za kibiashara

    Moja ya miradi mikubwa ambayo serikali ya awamu ya TANO unatakiwa kupongezwa ni connection ya mradi wa Reli ya mwendokasi na mradi wa kufua umeme wa Nyerere hakika ni perfect kwa sababu ya value for money ya miradi yote miwili! 1. Umeme itumike wapi!? 2. Kutumia nguzo gani ili kupunguza fidia...
  20. B

    Siasa za kujua Generation ya Chini yako unafanya nini kushepu JAMII

    Moja ya Michezo ambayo waTanzania hatukuamua kuinvest Kwa sababu hatuna miundombinu ya viwanja ni Mieleka Kwa waduvi wa mambo ilitakiwa kuwa makini kuhakikisha watu hawatujudge kuwa Tuko tayari kubadilika wakati bado tunataka kulalamika vitu ambavyo ni Ovious Saikolojia hii ya hawa makamanda ni...
Back
Top Bottom