chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,955
- 20,526
Pamoja na kwamba tayari mkakati umeshaanza kufanya kazi, nashauri uimarishwe. Lengo kuu iwe kuaminisha umma kwamba shughuli ya siasa si nzuri, ni ya kupoteza muda tu na inaweza kumuharibia mtu maisha.
Lengo kuu ni kuondoa kundi kubwa la watu, hasa watumishi wa umma na wafanyabiashara na wasomi kuingilia nafasi zetu za kisiasa.
Tulizoea kula kwa amani lakini kuna makundi yanaibuka kutaka kuvamia meza ambayo kila kiti kina mtu.
Unapendekeza mkakati gani utumike? Naona huu wa kuwashitaki unazoeleka,japokuwa una nguvu, vijana wanaojifanya kukosoa mitandaoni sasa wanahenya, hata wanaocheka picha zetu,
Nimefuatilia mtandaoni, wananchi waliopigia kura waliounga mkono juhudi wamejiapiza kutopanga foleni ya kupiga kura, hii ni njia nzuri inaonyesha wapinzani ni watu wa hovyo tu wasiostahili kupoteza muda kuwapigia kura. Hii ni faida kwetu kwa kuwa either watatupigia kura sisi, au wataacha kupiga kura halafu wanachama wetu watapiga,tutashinda
Pendekeza mkakati mwingine
Lengo kuu ni kuondoa kundi kubwa la watu, hasa watumishi wa umma na wafanyabiashara na wasomi kuingilia nafasi zetu za kisiasa.
Tulizoea kula kwa amani lakini kuna makundi yanaibuka kutaka kuvamia meza ambayo kila kiti kina mtu.
Unapendekeza mkakati gani utumike? Naona huu wa kuwashitaki unazoeleka,japokuwa una nguvu, vijana wanaojifanya kukosoa mitandaoni sasa wanahenya, hata wanaocheka picha zetu,
Nimefuatilia mtandaoni, wananchi waliopigia kura waliounga mkono juhudi wamejiapiza kutopanga foleni ya kupiga kura, hii ni njia nzuri inaonyesha wapinzani ni watu wa hovyo tu wasiostahili kupoteza muda kuwapigia kura. Hii ni faida kwetu kwa kuwa either watatupigia kura sisi, au wataacha kupiga kura halafu wanachama wetu watapiga,tutashinda
Pendekeza mkakati mwingine