David Silinde: Nilivutiwa sana na aina ya siasa za Dkt. Slaa na Zitto Kabwe ndipo nikajiunga CHADEMA

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,754
139,559
Mbunge wa Momba mh David Silinde yuko mubashara Star tv katika kipindi cha medani za siasa akizungumzia sintofahamu ya uanachama wake ndani ya Chadema.

Up dates;

Silinde amesema yeye siyo mwanaharakati hata Mbowe analijua hilo na kwamba yeye na Zitto ni marafiki lakini baadhi ya viongozi hawalipendi hili.

Silinde anahoji Halima Mdee amekuwa na urafiki na Ester Bulaya tangu mwaka 2010 wakati huo Bulaya akiwa CCM na wamekuwa wakiishi nyumba moja wakati wote huo wawapo bungeni lakini hakuna aliyehoji. Kwahiyo Silinde anasema mambo ya kuchaguliana marafiki yamepitwa na wakati na kwamba yeye ana marafiki wengi CCM kama ambavyo wabunge wengi tu wa Chadema wana marafiki wengi.

Silinde anasema kwa sasa yeye ni mtu huru na wiki mbili zijazo atatoa msimamo wake kwamba anakwenda wapi.
Anasisitiza kuwa Mbowe ni kama mfalme pale Chadema na hataki kupingwa kwa lolote na ukijaribu kumpinga utaitwa ni msaliti.

Silinde anasema wabunge wa kuchaguliwa wanakatwa 10% ya mshahara wao kuchangia ujenzi wa chama na wabunge wa viti maalumu wanachangia 30% ya mishahara yao.

Silinde anasisitiza kuwa atagombea tena ubunge mwezi October kupitia chama atakachohamia!

Silinde amemalizia kwa kuishauri Chadema ijitahidi kuiheshimu katiba yake maana Mbowe anakanyaga katiba ya chama sasa kwa tabia hii wakiingia Ikulu Mbowe na genge lake wataisigina katiba kabisa. Fikiria alivyolazimisha wabunge kwenda karantini wakati hawajacontact na mgonjwa yoyote wa Corona sasa huu kama siyo udikteta ni nini?

Maendeleo hayana vyama!
 
Mbunge wa Momba mh David Silinde yuko mubashara Star tv katika kipindi cha medani za siasa akizungumzia sintofahamu ya uanachama wake ndani ya Chadema.

Up dates;

Silinde amesema yeye siyo mwanaharakati hata Mbowe analijua hilo na kwamba yeye na Zitto ni marafiki lakini baadhi ya viongozi hawalipendi hili.

Silinde anahoji Halima Mdee amekuwa na urafiki na Ester Bulaya tangu mwaka 2010 wakati huo Bulaya akiwa CCM na wamekuwa wakiishi nyumba moja wakati wote huo wawapo bungeni lakini hakuna aliyehoji. Kwahiyo Silinde anasema mambo ya kuchaguliana marafiki yamepitwa na wakati na kwamba yeye ana marafiki wengi CCM kama ambavyo wabunge wengi tu wa Chadema wana marafiki wengi.
Silinde mbunge wangu njaa inakutesa
 
Haka kajamaa bhana...
Angetulia kwanza afanye siasa zenye ushawishi. .. hamuoni Zitto nguvu aliyokuja tumia kushawishi umma wamuamini tena... huyo ni Zitto mwenye impaCT na mambo ya kitaifa.... hawa jamaa sijui wanaelekea wapi....
Hamuoni Mtatiro na wenzake .... udic ndio imekuwa chimbo lao
 
Silinde hajui karantini ilikuwa ni kwa ajili ya kucheki afya zao?

Hajui karantini ni ushauri unaotolewa na wataalamu wa afya?

Wamekaririshwa kumshambulia Mbowe wote wanaimbishwa wimbo wa dikteta kama kasuku, nao wanaitikia tu, sijui hata kama wanajua maana ya dikteta.

Analalamika kukatwa mshahara kuchangia chama, leo ndio amejua hilo ni tatizo? siku zote alikuwa wapi kulisemea hilo? au sababu alikuwa bado hajatongozwa na CCM/NCCR!

Anazungumzia kuchaguliwa marafiki, hii sababu ya kitoto sijui kaitoa wapi, yaani hajui mpaka leo kilichomfanya akaondolewa CDM? au anataka kuwadanganya wajinga!.

Kama hawezi kukubaliana na mawazo ya wenzake anaamua kupita njia zake bora akatafute panapomfaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge wa Momba mh David Silinde yuko mubashara Star tv katika kipindi cha medani za siasa akizungumzia sintofahamu ya uanachama wake ndani ya Chadema.

Up dates;

Silinde amesema yeye siyo mwanaharakati hata Mbowe analijua hilo na kwamba yeye na Zitto ni marafiki lakini baadhi ya viongozi hawalipendi hili.

Silinde anahoji Halima Mdee amekuwa na urafiki na Ester Bulaya tangu mwaka 2010 wakati huo Bulaya akiwa CCM na wamekuwa wakiishi nyumba moja wakati wote huo wawapo bungeni lakini hakuna aliyehoji. Kwahiyo Silinde anasema mambo ya kuchaguliana marafiki yamepitwa na wakati na kwamba yeye ana marafiki wengi CCM kama ambavyo wabunge wengi tu wa Chadema wana marafiki wengi.

Silinde anasema kwa sasa yeye ni mtu huru na wiki mbili zijazo atatoa msimamo wake kwamba anakwenda wapi.
Anasisitiza kuwa Mbowe ni kama mfalme pale Chadema na hataki kupingwa kwa lolote na ukijaribu kumpinga utaitwa ni msaliti.

Silinde anasema wabunge wa kuchaguliwa wanakatwa 10% ya mshahara wao kuchangia ujenzi wa chama na wabunge wa viti maalumu wanachangia 30% ya mishahara yao.

Silinde anasisitiza kuwa atagombea tena ubunge mwezi October kupitia chama atakachohamia!

Silinde amemalizia kwa kuishauri Chadema ijitahidi kuiheshimu katiba yake maana Mbowe anakanyaga katiba ya chama sasa kwa tabia hii wakiingia Ikulu Mbowe na genge lake wataisigina katiba kabisa. Fikiria alivyolazimisha wabunge kwenda karantini wakati hawajacontact na mgonjwa yoyote wa Corona sasa huu kama siyo udikteta ni nini?

Maendeleo hayana vyama!
Wanasiasa sio watu wa kuwaamini mkiwa mle chadema mnakuwa ni kasuku ndani ya tundu nyote mnaimba nyimbo moja mkitoka ndio akili inawakaa sawa na kutafuta huruma!
 
Mbunge wa Momba mh David Silinde yuko mubashara Star tv katika kipindi cha medani za siasa akizungumzia sintofahamu ya uanachama wake ndani ya Chadema.

Up dates;

Silinde amesema yeye siyo mwanaharakati hata Mbowe analijua hilo na kwamba yeye na Zitto ni marafiki lakini baadhi ya viongozi hawalipendi hili.

Silinde anahoji Halima Mdee amekuwa na urafiki na Ester Bulaya tangu mwaka 2010 wakati huo Bulaya akiwa CCM na wamekuwa wakiishi nyumba moja wakati wote huo wawapo bungeni lakini hakuna aliyehoji. Kwahiyo Silinde anasema mambo ya kuchaguliana marafiki yamepitwa na wakati na kwamba yeye ana marafiki wengi CCM kama ambavyo wabunge wengi tu wa Chadema wana marafiki wengi.

Silinde anasema kwa sasa yeye ni mtu huru na wiki mbili zijazo atatoa msimamo wake kwamba anakwenda wapi.
Anasisitiza kuwa Mbowe ni kama mfalme pale Chadema na hataki kupingwa kwa lolote na ukijaribu kumpinga utaitwa ni msaliti.

Silinde anasema wabunge wa kuchaguliwa wanakatwa 10% ya mshahara wao kuchangia ujenzi wa chama na wabunge wa viti maalumu wanachangia 30% ya mishahara yao.

Silinde anasisitiza kuwa atagombea tena ubunge mwezi October kupitia chama atakachohamia!

Silinde amemalizia kwa kuishauri Chadema ijitahidi kuiheshimu katiba yake maana Mbowe anakanyaga katiba ya chama sasa kwa tabia hii wakiingia Ikulu Mbowe na genge lake wataisigina katiba kabisa. Fikiria alivyolazimisha wabunge kwenda karantini wakati hawajacontact na mgonjwa yoyote wa Corona sasa huu kama siyo udikteta ni nini?

Maendeleo hayana vyama!
huyu hopeless kabisa, kwa hiyo hata kujenga chama yeye hataki? anafikiri chama kinajengwa na mawe nini
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom