siasa

Siasa
Siasa za Tanzania hufanyika katika mfumo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Muungano, ambapo Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu na mkuu wa Serikali katika mfumo wa vyama vingi.

Tembelea Jukwaa la Siasa
  1. J

    JamiiForums Tanzania Siasa kwenye Corona ni matokeo ya zuio la mikutano ya vyama vya siasa, wanasiasa wana " kiu" ya kuongea chochote wajulikane uwepo wao!

    Kuna baadhi ya vyama vya siasa vinatumia janga hili la Corona kutukumbusha kuwa na wao wapo baada ya kuwa wamesahaulika kwa miaka 5. Kwa sasa Corona inazungumzwa zaidi na wanasiasa kuliko wataalamu hali inayofanya hata mapokeo yake kwa baadhi ya watu kuwa na mrengo wa kisiasa. Hii haina afya...
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Je, ni Siasa za sasa za Tanzania ndizo zinawakwaza IMF na WB hadi hawatujali tena Watanzania au kuna 'Kirusi' Kimewakwaza sana?

    Mpaka leo najiuliza hili Swali ni kwanini Taasisi Kubwa na Muhimu kabisa za Masuala ya Fedha Duniani (Ulimwenguni) za WB (Benki ya Dunia) na IMF (Shirika la Fedha Duniani) kwa Siku za karibuni na niweke tu wazi tokea 2016 hadi huu wa 2020 wamekuwa ' Wazito ' mno Kuisaidia Tanzania kwa Pesa...
  3. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wabobezi wa Siasa nisaidieni Kujibu hili Swali Muhimu ili nisije Kupata ' Sapu ' katika Mtihani wangu wa Jumanne ijayo

    Swali.... Kwanini unadhani Wanasayansi wengi duniani huwa wakijitosa katika Medani za Siasa au hata wakija kuwa Viongozi ( Marais ) huwa hawawi Viongozi wazuri, Makini, huharibu mambo mengi na huchukiwa na Wananchi tofauti ila Wachumi, Wafanyabiashara na Wana Historia ( Sanaa ) wakiwa Marais (...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Siasa safi imekosekana Jimbo langu la Iramba!

    Mwaka huu ni wa Uchaguzi Mkuu ambao kwa jimbo letu la Iramba tunategemea kumpata Mbunge na Madiwani ambao wataifanya Iramba yetu ijipambanue na kuanza kurudi katika enzi za kuwa Wilaya bora Mkoa wa Singida. Kwa sasa Iramba sio bora tena. Inazidiwa na watani zetu na inavyoelekea hata Manyoni...
  5. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Kwa namna hii upinzani Tanzania bado sana. Wanatakiwa wajifunze siasa sio propaganda uchwara. Siasa ni sayansi

    Natoa hii hoja sababu inasikitisha sana kuwa Chama cha siasa ambacho kina umri zaidi ya miaka 15 au zaidi lakini bado hakijitambui na wala hakitambui kufanya mikakati ya siasa. Na hapa nalenga hichi chama cha Chadema ambacho sasa ni chama kikuu cha upinzani. Inaonyesha dhahiri kuwa wao mikakati...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Msajili abaini usiri fedha vyama vya siasa

    OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa imemaliza kuhakiki vyama 19 vya siasa vyenye usajili wa kudumu na kubaini 18 havina uwazi katika masuala ya fedha kutokana na kutokuwa na mifumo sahihi ya kuweka fedha na kumbukumbu ya mapato na matumizi. Aidha, tathimini ya uhakiki huo uliofanywa na ofisi...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Bunge siyo mali ya Spika au chama cha siasa bali ni mali ya Wananchi, lisifanywe kama Huduma ya " Kilokole"

    Bunge la sasa ndio linamaliza muda wake na linategemewa kuvunjwa rasmi mwezi June panapo majaliwa. Tumeshuhudia bunge hili likipoteza wabunge wengi kwa kufukuzwa na huenda likawa limeweka historia ya nahodha kuwatosa mabaharia baharini. Yote kwa yote maisha bado yanaendelea baada ya siasa...
  8. Empty containers Tanzania

    JamiiForums Tanzania Sasa ni zamu ya Vijana kushika nafasi za kisiasa

    Kwenye mada yangu Baada yakufanya tathmini nimegundua, safari hii wabunge na madiwani watakuwa ni vijana kwa 90%. Hii imetokana na ukweli kwamba Tanzania watu wamezichoka siasa za kibaguzi.... zakulishana sumu. Nipende kuwaambia wazee wote, kuwa watuache sasa hivi ni wakati wa vijana . Hii...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Demokrasia: Maana, misingi yake na faida kwa jamii

    Hivi Tanzania tuna misingi ya demokrasia? Tangu kuingia mfumo wa vyama vingi Tanzania hadi sasa kumekuweko kweli na mazingira huru ya harakati za vyama vya kisiasa? kama kama kweli kwa nini upinzani umeshindwa kuitoa CCM? ======== Demokrasia (kutoka neno la Kigiriki δημοκρατία, dēmokratía...
  10. Nzelu za bwino

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo kazi za vyama vya siasa

    Salaam wanajamvi, Tukiwa tunaendelea kupambana vita dhidi ya kirusi Covid 19 au Corona, nimeona tukumbushane kidogo baadhi ya kazi za vyama vya siasa pamoja na asasi zisizo za kiserikali. Pamoja na mambo mengine kazi za vyama vya siasa ni pamoja na kuelimisha wananchi juu ya haki za binadamu...
  11. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Safari ya Mwisho ya Mwanahabari Nguli wa Siasa, Marin Hassan Marine, Alianzisha Jambo TZ na Ameacha Alama ya TBC Aridhio

    Wanabodi, Wale wenye nafasi, unganeni nami kupitia TBC Live kuangazia Safari ya Mwisho ya Mwanahabari Nguli wa Siasa nchini Tanzania, Mtangazaji wa TBC, Marin Hassan Marine, aliyefariki jana asubuhi kwenye hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam. Marin Hassan Marine ndiye aliyeanzisha...
  12. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kustaafu rasmi JF, Utangazaji na Uandishi wa Habari baada ya kuhudumu miaka 30. Niko free kujiunga Siasa, nimejiunga CCM na nitagombea Ubunge

    Wanabodi, Mimi mwanabody mwenzenu, nilianza kazi ya media tarehe kama ya leo, miaka 30 iliyopita, hivyo ilipofika tarehe hii siku ya leo, ndio siku yangu rasmi ya kustaafu kazi hii ya media, hivyo sasa nikiisha jiunga rasmi CCM, automatically nitakuwa nimestaafu rasmi uandishi wa habari...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Si tatizo kwa Makonda kumwita Mbowe mwanasiasa uchwara na Zitto mshirikina ikiwa Chadema na Act wanaweza pia kumwita Magufuli hivyohivyo, ndio siasa

    Inaonekana wengi wamekasirishwa au kufedheheshwa sana na kitendo cha Makonda kuwaita Mbowe mwanasiasa uchwara na Zitto mshirikina. Sioni kama hili ni tatizo. Alichofanya Makonda ni kuweka utangulizi au precedent ya aina ya mipasho ya kisiasa unayoweza kufanya kwa kiongozi wa chama cha siasa...
  14. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Corona inatufundisha Tanzania tuna tatizo kuchanganya siasa na professionalism. Hongera Prof. Janabi kwa elimu uliyotoa, so far you are the best!

    Wanabodi, Tangu kuibuka kwa Mlipuko wa Corona, umetufundisha mengi, moja wapo ni jinsi wanasiasa wetu, mawaziri wetu, madaktari wetu, na wataalamu wetu kuchanganya siasa na professionalism katika kukabibiliana na tatizo kubwa kama hili ukiwemo uwezo duni wa kutoa elimu ya kueleweka kuhusu...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Je, Corona itabadilisha Siasa za Tanzania maana imepiga kuanzia Vatican, UK, USA, Uchina hadi Ujerumani?

    Najiuliza tu kwa kuwa hayo mataifa niliyoyataja ndio wafadhili wakuu wa vyama vya siasa nchini kuanzia CCM, Chadema hadi ACT wazalendo. Baadhi ya vyama siyo rahisi kusimama vyenyewe bila ufadhili na hasa ukizingatia ruzuku itakata rasmi mwezi June. Natafakari tu wakuu. Maendeleo hayana vyama!
  16. Maboso

    JamiiForums Tanzania Isabella Mwampamba, mgonjwa wa kwanza kugundulika Corona Tanzania aomba msamaha kwa Watanzania

    Isabella Mwampamba, Mtanzania wa kwanza kugundulika kuwa na Virusi vya Corona hapa nchini, leo amezungumza na Watanzania kwa njia ya simu kupitia Mkutano wa Waandishi wa habari, na kuwaomba radhi Watanzania kwa kuwa Mtu wa kwanza kuingia na Virusi hivyo hapa nchini.
  17. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Mtazamo wangu kuhusu siasa za Tanzania na Rais Magufuli

    Mimi binafsi sina chama, si kwa sababu nataka iwe ivyo, ni kwa sababu sijaona chama Tanzania chenye misimamo nayotaka mimi. Rais Magufuli na Bunge: Kwa mtazamo wangu nadhani si kwamba raisi Magufuli anapinga mhimili wa bunge, hili limedhihirishwa na mkataba alioingia Muheshimiwa Kangi Lugola...
  18. J

    JamiiForums Tanzania Siasa zinazofanywa na CHADEMA zilifanywa na Prof. Lipumba na CUF wakati wa IGP Mahita zikafeli. Je, mwamba Mbowe atafaulu?

    Hizi siasa zinazofanywa na Chadema leo wakiongozwa na Mbowe zilishafanywa na CUF ya Lipumba na Maalim Seif enzi za IGP Omar Mahita lakini zilifeli. Wakati ule CUF walijiita Ngangari na Mahita akawabatiza vijana wake jina la "Ngunguri" na kilichofuatia tunakijua CUF walihamia uhamishoni Mombasa...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Azam TV na "Hekaya za Abunuasi" wapoteza mvuto kwa watazamaji kwa kwa kujiingiza katika "siasa"

    Nilikuwa natazama taarifa ya habari ya Azam saa mbili za usiku huu na katika habari za leo kuna habari mbili zilizopelekea mimi kuandika makala hii fupi ambayo ntaawachieni nyie kama wasomaji mfanye tathimini yenu. Habari ya kwanza (a) kampuni ya Azam kupitia Mkurugenzi wake (mmiliki) ametoa...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Tanzania tumeanza siasa za misimamo mikali?

    Kuna movement kubwa ya chinichini naiona Tanzania. Tofauti na mwaka 2016 kuna mabadiliko makubwa matatu 1. Wananchi hawaogopi tena vyombo vya usalama kama zamani wala kesi za kubambikizwa. Na badala yake Mahakama, polisi na hata Jeshi haviheshimiki kama zamani kwasababu ya kuingizwa kwenye...
Back
Top Bottom