"Ukifanya fujo, umeambiwa usifanye hiki ukaamua wewe kukaidi utapigwa tu maana hakuna namna nyingine wote lazima tukubaliane nchi hii tunaiendesha kwa misingi ya sheria sasa kama wewe unakaidi, hutaki unaona kwamba ni imara zaidi, wewe ndie jeuri zaidi watakupiga tu na mimi nasema muwapige tu, kwasababu hakuna namna nyingine"
CHADEMA walipiga sana wakapiga kelele sana sasa walichokifanya wao kwa wabunge wao kuwatimua kina tofauti gani na kauli hii!!! Ndo maana huwa naipenda sana.
Mmeambiwa acheni kutupa pleasure na taarifa za uongo za corona tulieni na fuata maelekezo bado mnakaidi...
CHADEMA walipiga sana wakapiga kelele sana sasa walichokifanya wao kwa wabunge wao kuwatimua kina tofauti gani na kauli hii!!! Ndo maana huwa naipenda sana.
Mmeambiwa acheni kutupa pleasure na taarifa za uongo za corona tulieni na fuata maelekezo bado mnakaidi...