Faraja Masinde, Dar es salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeujibu Ubalozi wa Marekani nchini kuhusu kuanzishwa kwa tume huru, ikisema ushauri uliotoa ni mawazo yao na kwamba tume iliyopo ni huru kwa mujibu wa sheria.
Januari 31 mwaka huu, Ubalozi wa Marekani nchini ulimpongeza Rais Dk...