Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,756
Kwa kweli siridhiki kuona kiwanja changu kimekaa kama sambusa.. Natamani kiwe square kama kiwanja cha mpira.
Sasa ili 'kuboresha mipango miji' ninapanga kumega kama mita moja kutoka kwa jirani ili kikae sawa.
Hapa ninakusanya nguvu ya tofali elfu mbili.. Nikija kuibuka naibuka na ukuta mmoja mrefu wa maana.
Mpaka jirani aje kushtuka atakuta kuna ukuta mzito kama ule wa kuzuia bahari wa Ocean road.
Je, kuna mwenye wazo tofauti?
Sasa ili 'kuboresha mipango miji' ninapanga kumega kama mita moja kutoka kwa jirani ili kikae sawa.
Hapa ninakusanya nguvu ya tofali elfu mbili.. Nikija kuibuka naibuka na ukuta mmoja mrefu wa maana.
Mpaka jirani aje kushtuka atakuta kuna ukuta mzito kama ule wa kuzuia bahari wa Ocean road.
Je, kuna mwenye wazo tofauti?