matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,569
- 15,306
Ameangusha Laptop na kuua harddisk na kupoteza data zote. Nikaiweka mbali, amedandia na kukwea kabati na kuiangusha kupasua kioo slim laptop.
Amedumbukiza simu ya mama yake kwenye ndoo ya maji. Ameshapasua simu nyingine kama mbili (anavizia ukijisahau tu).
Amechana Macover ya vitabu vyangu na kuvichorachora. Ameiiburuza decoder kamaeigeza gari hadi sasa haifanyi kazi.
Kwa sababu anapenda game, amevizia tablet na kuibomoa kioo, sasa hivi ni nyufa tu. Kila noti anaiita Buku, Kakiiona Buku mahala hata kama ni msimbazi kanalilia kakiichoka ni kuichana.
Laptop mpya ilipokuja kaliivizia na kung'oa Herufi Mbili. Radio sasa kwa kulazimisha kuweka CD kameua Dvd reader, speaker kama mbili.
Ni mdogo miaka miwili kafikisha juzi tu, hata fimbo naona kama namuonea. Mazingira tumejaribu kuficha vitu na kuviweka mbali lakini kila siku anabuni njia za kuvifikia, na hasa ukijisahau.
Hivyo basi, naoendekeza Serikali itunge sheria ya kuwabana watoto kuwasaidia wazazi wao kuwa ni lazima hasa wanapochoka maana nao hutia hasara nyingi utotoni mwao.
Updates za ushauri
1: kumnunulia makorokoro yake mengi ya kuchezea.
2:kutafuta mbinu za kisaikolojia kumsaidia fimbo sio suluhisho zuri.
....
Amedumbukiza simu ya mama yake kwenye ndoo ya maji. Ameshapasua simu nyingine kama mbili (anavizia ukijisahau tu).
Amechana Macover ya vitabu vyangu na kuvichorachora. Ameiiburuza decoder kamaeigeza gari hadi sasa haifanyi kazi.
Kwa sababu anapenda game, amevizia tablet na kuibomoa kioo, sasa hivi ni nyufa tu. Kila noti anaiita Buku, Kakiiona Buku mahala hata kama ni msimbazi kanalilia kakiichoka ni kuichana.
Laptop mpya ilipokuja kaliivizia na kung'oa Herufi Mbili. Radio sasa kwa kulazimisha kuweka CD kameua Dvd reader, speaker kama mbili.
Ni mdogo miaka miwili kafikisha juzi tu, hata fimbo naona kama namuonea. Mazingira tumejaribu kuficha vitu na kuviweka mbali lakini kila siku anabuni njia za kuvifikia, na hasa ukijisahau.
Hivyo basi, naoendekeza Serikali itunge sheria ya kuwabana watoto kuwasaidia wazazi wao kuwa ni lazima hasa wanapochoka maana nao hutia hasara nyingi utotoni mwao.
Updates za ushauri
1: kumnunulia makorokoro yake mengi ya kuchezea.
2:kutafuta mbinu za kisaikolojia kumsaidia fimbo sio suluhisho zuri.
....