sheria

  1. PAZIA 3

    GE2020 Je, Tume yaUuchaguzi inaweza kushitakiwa Mahakamani kwa kukiuka Sheria za Uchaguzi au viongozi wake wanaweza kuwajibishwa na Kamati ya Maadili?

    Kila mtu anashuhudia mambo yanavyoendelea, kwa uelewa wangu wa katiba ya nchi hii, mwenye kinga ya madaraka ni Rais pekee, He vipi kuhusu watendaji wa Tume ya uchaguzi, hawawezi kuburuzwa korotin kwa kukiuka Sheria na Kanuni za Uchaguzi zilizoweka kwa mujibu wa katiba ya nchi hii? Nani mwenye...
  2. Zacht

    Sheria ambazo hazijaandikwa lakini kila mtu anapaswa kujua na kuzifuata

    1. Usizungumze na mtu aliyevaa earphones Kimsingi unapoteza wakati wako. 2. Usizungumze wakati wa kutafuna au kula. 3.Usiweke picha zako kwenye mitandao ya kijamii wakati umetoa ombi la likizo kazin kuhusu afya yako ya mwili 4. Usitumie "k, hmm" katika mazungumzo yako(chatting)...
  3. Cannabis

    Je, kanuni na sheria za Uchaguzi kwa taifa letu zinaruhusu mtu mwenye uraia pacha kugombea nafasi nyeti ya urais?

    Wakuu leo katika press conference ya Ndugu Humphrey PolePole nimemsikia akisema kwamba ana taarifa kwamba kuna mgombea wa Urais ameshapata uraia wa nchi nyingine, ndio maana anachochea watu kufanya vurugu baada ya uchaguzi. Je, sheria na kanuni za uchaguzi mkuu wa nchi yetu zinaruhusu mtu aliye...
  4. N

    TBT: Nguli wa sheria Lissu akiwahenyesha polisi, kuna haja ya polisi kufundishwa sheria?

    Lissu hakuanza utukutu leo, Lissu kaanza kuhenyesha watu tangu enzi za Mkapa, wanasheria wa serikali wote waliishamshindwa, hivi huyu mwamba alifundishwa sheria na wahadhiri wa hapa hapa bongo kweli? Huyu mwamba ni moja ya watu wachache wanaoachaga historia kwenye nchi zao. Anyway nimefurahia...
  5. K

    GE2020 Sheria inasemaje Mgombea akikiuka ratiba ya kampeni?

    Wagombea wa ccm kwa tiketi ya Urais na Ubunge wamekua wakienda kinyume na ratiba ya UCHAGUZI kwa kutokuwepo eneo la kampeni kwa siku tajwa. Je, kwa kufanya hivi wanavunja sheria au wanaweza kwenda maeneo hayo pale wanapojisikia?
  6. K

    Sheria ya uchaguzi inasemaje juu ya mawakala wa vyama vya siasa?

    Nawaombeni Ndugu zangu mnieleweshe juu ya Sheria ya Uchaguzi inasemaje juu ya mawakala ya Vyama vya Siasa kwenye vituo vya kupigia kura. Leo nimemuona mgombea fulani wa Chama fulani akisema kuwa hakitaeleweka kuhusu mawakala wao kama hawataapishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi iliwasimamie kwenye...
  7. B

    GE2020 Mshindani anapoasisi sheria kwa washindani wengine kufuata

    Mabibi na mabwana, inastaajabisha pale mshindani mmoja anapojipa wajibu wa kuweka sheria, kanuni, taratibu n.k kwa washindani wengine kufuata ili wapate kushinda mpambano ambapo yeye naye ni mnufaika. Kwa minajili hii ni vipi mamba akamwongoza binadamu kuvuka mto salama? Vipi Fisi akashauri...
  8. Miss Zomboko

    Lukuvi ajibu tuhuma za baadhi ya wanasiasa kujimilikisha ardhi. Asema umilikishwaji hufanyika kwa kuguata sheria na hakuna kiongozi aliyejimilikisha a

    Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amekanusha vikali kauli iliyotolewa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa kuwa kuna baadhi ya viongozi wamepora ardhi ikiwemo ardhi ya eneo la Mbarari mkoa wa Mbeya na kusisitiza kuwa kati ya viongozi waliotuhumiwa hakuna hata...
  9. J

    Ernest Nyanda wa Star TV, mnapojadili Sheria za Uchaguzi waalike wanasheria mahiri. Usizoe tu wachambuzi wa mitaani, wanakufelisha!

    Kilichonishangaza leo katika mjadala wa Star tv Tuongee asubuhi, mada ikiwa " Muungano wa vyama vya siasa wakati wa uchaguzi " ni kwamba wageni wote wawili waliotambulishwa kama wanasheria wameshindwa kutupa tofauti kati ya Muungano na Ushirikiano. Wamesisitiza kuwa penye ushirikiano lazima...
  10. M

    GE2020 Lissu anapouaminisha Umma kuwa atakuwa Rais bora kupitia hulka za mtu aliyesomea Sheria

    Kwanza nikiri wazi kwamba mtaji wa siasa ni maneno matamu, lakini siasa ni adui mkubwa wa ufahamu na nirafiki wa shetani, mwanasiasa si wa kumwamini 100% kwa sababu siasa ndio chanzo mabaya yote duniani. Tokea nimemfahamu mtu aitwaye Tundu Lissu nimejifunza kitu baada ya kufuatilia watu...
  11. Rahma Salum

    Sheria inasemaje kuhusu Mjamzito kupimwa Vinasaba vya Binadamu (DNA)?

    Sheria ya Usimamizi wa Vinasaba vya Binadamu ya Mwaka 2009, Sheria namba 8 kuanzia ibara ya 45 hadi 47 inaeleza taratibu za upimaji wa vinasaba kwa mama mjamzito, kijusi na mimba iliyotungwa nje (extracorporeal embryos). Vipimo vya vinasaba kwa mama mjamzito havitakiwi kufanyika ila pale tu...
  12. B

    GE2020 Job Ndugai na mabadiliko ya Katiba na Sheria. Je, wananchi tunaonewa au tukubali mitano tena?

    oi
  13. Yericko Nyerere

    Msajili asaidiwe asiinajisi Ofisi ya Umma. CCM + TLP, CHADEMA + ACT hawajavunja Sheria

    Labda huyu msajili atuambie Chama cha TLP kinachomnadi Mgombea wa CCM ndugu Magufuli sio chama cha Siasa. Kwa tafsiri ndogo ya kifungu cha 11A cha sheria ya vyama vya siasa Sura 258 iliyonukuliwa na msajiri hapo, ni kwamba sheria inahusu KUUNGANA KWA VYAMA yaani kwa kizungu wanaita...
  14. J

    GE2020 Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa: Vyama vya Siasa vinavyotaka kushirikiana Uchaguzi Mkuu vimeshachelewa kwa mujibu wa Sheria

    Naibu wa msajili wa vyama vya siasa Dkt. Nyahoza amesema vyama vya siasa vinavyojipanga kushirikiana vimeshachelewa. Nyahoza amesema muda uliowekwa kisheria kwa vyama vyenye nia ya kushirikiana kuingia mkataba wa kisheria umeshapita hivyo hakuna ushirikiano utakaoruhusiwa kwa sasa. ======...
  15. Shadida Salum

    Vitendo vinavyokatazwa kwa mujibu wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi namba 6 ya 2010

    Kwa mujibu wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi namba 6 ya mwaka 2010; Kifungu cha 24, kifungu kidogo cha 2 kinaeleza kuwa; Mgombea yeyote, awe yeye mwenyewe au wakala wake au chama chake, akifanya kitendo ambacho kimekatazwa kama ilivyoelezwa sehemu hii, atakuwa amekosa sifa ya kushiriki kwenye...
  16. konda msafi

    Tanzania kuna sheria kandamizi sana

    Kuna clip moja inasambaa instagram ikimwonyesha kijana mmoja mwanafunzi wa CBE akisindikizwa na askari kanzu kupanda kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la kuwa na blog bila leseni kutoka TCRA. Hizi sheria za kijinga zinapatikana Tanzania tu. Hivi CCM mbona inatulazimisha tuishi...
  17. Emanueli misalaba

    Unafiki na ubinafsi wa Watunga sheria wetu Zanzibar, Wawakilishi kwenye Baraza la Wawakilishi Zanzibar

    Wafanyakazi wa sekta binafsi upande wa Zanzibar, mioyo yetu inatuuma sana, kwa sababu ya Mfuko wa hifadhi ya zanzibar ZSSF, Mfuko huu namna ambavyo Wawakilishi wa wananchi na watunga sheria wetu walipitisha sheria kandamizi na za kiuonevu, mfuko hauna fao la kujitoa kwa mwanachama wa sekta...
  18. Matojo Cosatta

    Orodha ya Sheria zinazotumika kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2020

    ORODHA YA SHERIA ZINAZOTUMIKA KWENYE UCHAGUZI MKUU WA 2020. SEHEMU 1: UTANGULI. Kuna msurululu mrefu wa Sheria za ndani (municipal laws) zinazotumika katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020. Sheria za ndani zinazotumika katika Uchaguzi Mkuu zimegawanyika katika aina kuu nne (4) zifuatazo; (1)...
  19. Deogratias Mutungi

    NEC na ZEC ni Tume Huru kwa mujibu wa Sheria, nongwa inatoka wapi?

    NEC NA ZEC NI TUME HURU KWA MUJIBU WA SHERIA, NONGWA INATOKA WAPI? Deogratias Mutungi Uchaguzi wa kisiasa lazima uwe huru, na ni mtamu unapokuwa huru, maana unapokuwa huru unogesha demokrasia na mifumo yake, raha ya uchaguzi kisiasa ni kuwa huru, demokrasia ustawi na kunoga kisiasa endapo tu...
  20. J

    Rais Magufuli ataka Polisi kumwachia mmiliki wa shule ya Waislamu Byamungu iliyoungua Kyerwa wakati wakiendelea na upelelezi

    Rais Magufuli amelitaka Jeshi la polisi kumtoa mahabusu mmiliki wa shule ya Waislamu iliyoungua moto huko Kyerwa mkoani Kagera wakati wakiendelea na upelelezi. Rais Magufuli amesema siyo rahisi mzee huyo anayemiliki shule kuwahujumu watoto anaowalea hivyo ni vema uchunguzi wa kina wa tukio hilo...
Back
Top Bottom