Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Bunge ndiyo linatunga sheria lakini mimi nimeona sehemu kubwa miswada huwa inatoka wizarani au kwenye taasisi za serikali. Sijawahi sikia mbunge ametoa mswada na baadaye umekuwa sheria.
Imewahi tokea kwenye historia yetu mbunge katoa mswada na umekuwa sheria? Wenzetu unakuta hata hiyo sheria inaitwa kwa jina la mbunge huyo.
Halafu mwananchi kama siridhiki na jambo fulani nataka itungwe sheria ya kulihusu naweza peleka mswada bungeni? Kuna utaratibu labda wa kukusanya sign kadhaa na Ikifika unaweza peleka mswada?
Imewahi tokea kwenye historia yetu mbunge katoa mswada na umekuwa sheria? Wenzetu unakuta hata hiyo sheria inaitwa kwa jina la mbunge huyo.
Halafu mwananchi kama siridhiki na jambo fulani nataka itungwe sheria ya kulihusu naweza peleka mswada bungeni? Kuna utaratibu labda wa kukusanya sign kadhaa na Ikifika unaweza peleka mswada?