Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,001
- 9,866
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba amemtaka Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, kutafuta wataalamu mara moja wenye uwezo wa kutafsiri sheria zote za nchi kwa lugha ya Kiswahili
Imeamriwa kufanywa hivyo ili iwe rahisi kwa wananchi kuelewa sheria hizo hususan wakati wa kesi na hukumu ili kurahisha uelewa
Dkt. Mwigulu ametoa kauli hiyo, Dar es Salaam katika ziara yake katika Taasisi ya Mafunzo ya Sheria kwa Vitendo, ambapo amesema wananchi wanapata shida kuelewa sheria za nchi kutokana na lugha inayotumiwa
Aidha ameitaka Taasisi ya Mafunzo ya Sheria kwa Vitendo kuwaandaa wanaopata mafunzo hayo kwa muelekeo wa Kiswahili hata kama watatumia kiingereza.
Imeamriwa kufanywa hivyo ili iwe rahisi kwa wananchi kuelewa sheria hizo hususan wakati wa kesi na hukumu ili kurahisha uelewa
Dkt. Mwigulu ametoa kauli hiyo, Dar es Salaam katika ziara yake katika Taasisi ya Mafunzo ya Sheria kwa Vitendo, ambapo amesema wananchi wanapata shida kuelewa sheria za nchi kutokana na lugha inayotumiwa
Aidha ameitaka Taasisi ya Mafunzo ya Sheria kwa Vitendo kuwaandaa wanaopata mafunzo hayo kwa muelekeo wa Kiswahili hata kama watatumia kiingereza.