Kwa wale tunaofanya kazi sekta Binafsi tunafahamu ni kwa kiasi gani sheria hii inatumika Kama kitanzi katika maisha yetu kwani wengi wetu hatuna mikataba ya kudumu hivyo Ni wachache wenye uhakika wa kufanya kazi Mpaka wafikishe umri wa miaka 60 ambao ndo umri wa kustaafu kwa mjibu wa sheria.
Wengi wetu bado ni vijana wadogo na huwa tunategemea pesa inayokatwa kwenye mishahara yetu na kupelekwa NSSF ije itusaidie pindi mikataba yetu inapofikia tamati. Lakin Cha kushangaza, kwa sheria ya Leo hiyo pesa unaambiwa hauwezi kuipata yote Hadi ufikishe miaka 60.
Kweli kwa sheria hii iliyotungwa mwaka 2016 chini ya uongozi wa Magufuli, nakosa ujasiri wa kusema MITANO Tena kwa Magufuli, labada Kama ni miezi na siyo miaka.
Wengi wetu bado ni vijana wadogo na huwa tunategemea pesa inayokatwa kwenye mishahara yetu na kupelekwa NSSF ije itusaidie pindi mikataba yetu inapofikia tamati. Lakin Cha kushangaza, kwa sheria ya Leo hiyo pesa unaambiwa hauwezi kuipata yote Hadi ufikishe miaka 60.
Kweli kwa sheria hii iliyotungwa mwaka 2016 chini ya uongozi wa Magufuli, nakosa ujasiri wa kusema MITANO Tena kwa Magufuli, labada Kama ni miezi na siyo miaka.