serikali

  1. Kaka Pekee

    JamiiForums Tanzania Tamko la Marekani kuhusu hali ya kisiasa, uminywaji wa sheria Tanzania

    U.S. Embassy Tanzania Kuzorotoa Kwa Haki Za Kiraia Na Haki Za Binadamu Tanzania Serikali ya Marekani imesikitishwa sana na matukio ya mashambulizi yanayoshamiri na hatua za kisheria zinazochukuliwa na serikali ya Tanzania, ambazo zinakiuka uhuru wa raia na haki za binadamu, na zinazojenga...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kuwekeza katika viwanda ni kumuenzi Baba wa taifa-Samia

    Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa watanzania kumuenzi Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Nyerere kwa kuwekeza katika viwanda kuwezesha taifa kurudi katika uchumi wa kutegemea uzalishaji unaotokana na bidhaa za viwandani. Samia ametoa ushauri huo katika uzinduzi wa wiki...
  3. majutobeach

    JamiiForums Tanzania Serikali itazame TANROADS kwa manyanyaso haya barabarani

    Sisi madereva wa magari makubwa hususani malori tunanyanyasika sana barabarani imefikia hatua hata ya kuichukia serikali yetu inayoongozwa na mtukufu Rais Dkt. John Pombe Magufuli tunaimani sana na Rais wetu huyu kwa utendaji kazi wake wenye kuleta maendeleo nchini na mtetezi wa wanyonge lakini...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Mapendekezo: Serikali ibadilishe madaraka ya mkuu wa mkoa na yasiingiliane kabisa na Jeshi la Polisi

    Habari wakuu. Nafikiri umefika muda wa Serikali yetu kuliangalia hili suala la wakuu wa Mikoa kuwa wenyeviti wa kamati za ulinzi za mikoa, haya ni madaraka yanayoingiliana moja kwa moja na Jeshi la Polisi, na wote tunajua ya kuwa wateule hawa wengi wao hawana mafunzo ya kijeshi, hata kwenye...
  5. Mgambilwa ni mntu

    JamiiForums Tanzania Serikali kuzima Mitambo yote ya TANESCO inayotumia mafuta mazito kufikia mwaka 2020: Ni baada ya kukamilika kwa Mradi wa Stiegler's Gorge

    Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, akiwa mkoani Njombe, ameahidi kuwa, Serikali inatafajia kuzima mitambo yote ya TANESCO, inayotumia mafuta mazito baada ya kukamilika kwa Mradi wa Stiegler's Gorge ifikapo mwaka 2020. Dk. Kalemani alieleza kuwa, umeme wa mafuta mazito ni wa gharama kubwa...
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri pia tupongeze!

    Wanabodi, Natanguliza Heri ya sikukuu ya Pasaka, leo naendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, na bado hoja kuhusu udikiteta Tanzania, zitaendelea, lakini kwa vile hoja ya udikiteta ni jambo kubwa na very serious kuhusu utawala na uongozi wa nchi yetu na linahusisha tuhuma nzito...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Serikali toeni hadharani gharama za mazungumzo na gharama za kugharamia uchunguzi uliofanywa na kamati 2 za Rais

    Sisi tukiwa kama walipa kodi, tunapaswa kujua gharama za mazungumzo na jinsi kila upande ulivyochangia pamoja na gharama iliyotumika kugharamia kamati 2 za Rais kuhusu makinikia. Ni hayo tu. Alafu najiuliza sijui tutaruhusu makinikia ya matrilioni kama tulivyoambiwa na ile kamati ya kwanza ya...
  8. Ben Saanane

    JamiiForums Tanzania Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

    Safari inaendelea. Vitisho. Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku. Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko Kuna watu hawa miongoni mwa wengi. Yeye anaandika "Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali hii utakipata. Kwa elimu na uwezo wako hatukutarajia ungefikia hatua ya ajabu kwa namna uliyofikia...
  9. Kurzweil

    JamiiForums Tanzania Serikali yalifungia gazeti la MSETO kwa miaka 3 kwa kuandika habari likitumia nyaraka za kugushi

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amelifungia gazeti la Mseto kwa miezi 36 kutokana na kuandika stori yenye nyaraka za kughushi. Nape amelifungia gazeti hilo leo baada ya kuandika habari ya uongo kuhusu Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Edwin Ngonyani na...
  10. Shindu Namwaka

    JamiiForums Tanzania Wakulima wa ufuta Lindi na Mtwara waililia serikali kushuka kwa bei ya ufuta

    Anaandika Mwl Razaq Mtele Malilo. Katika misimu miwili iliyopita zao la ufuta lilinunuliwa kuanzia Tsh 2500 hadi Tsh 3000 hali iliyopelekea watu wengi kuhamasika kulima zao hili kwa wingi na vijana wengi walihamasika kurudi mjini hasa jiji la Dar Es Salaam baada ya kuvutiwa na ongezeko hilo la...
  11. Deo Corleone

    JamiiForums Tanzania Serikali: Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uko palepale, gazeti lilipotosha

    Hii ni kwa mujibu wa Prof. Mbalawa, kasema gaazeti la the citizen ni limeandika uwongo. Chanzo: TBC habari ======== UPDATE: Dar es Salaam. The government has said the processes for the construction of the Bagamoyo Port will not be halted and will continue. Reacting to reports about the...
  12. Davion Delmonte Jr.

    JamiiForums Tanzania Fahamu utajiri uliopo kwenye uwekezaji wa dhamana za Serikali (Treasury Bills & Bonds)

    UTAJIRI MKUBWA ULIOPO KWENYE UWEKEZAJI WA DHAMANA ZA SERIKALI Uwekezaji kwenye dhamana za serikali umegawanyika makundi mawili. i) Dhamana za muda mfupi (treasury bills) ii) Dhamana za muda mrefu (treasury bonds) Kwa nchi yetu ya Tanzania biashara ya dhamana za serikali inasimamiwa na...
  13. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Mkapa ilipouza NBC Mwalimu Nyerere alilengwa na machozi

    Heshima sana wanajamvi, Leo naomba tujikite katika mjadala wa athari za uuzwaji wa NBC kwa kampuni ya ABSA ya Afrika kusini.Miaka ya 90s NBC ilikuwa moja ya bank kubwa sana kusini mwa jangwa la sahara ikimilikiwa na serekali ya Tanzania.Kwa mujibu wa vyanzo mbali mbali bank hii ilikuwa...
  14. wambeke

    JamiiForums Tanzania Dkt. Honest Ngowi aichambua sekta ya gesi na kukiri Serikali imejipanga

    Revealed: New terms for oil, gas investors Gas Plant, A Mzumbe University economics lecturer, Dr Honest Ngowi, said the new regime implies that the country stands to get substantial revenues from the gas and oil. In Summary The government has also introduced new charges for companies...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria mmoja Mkenya aishtaki Serikali ya Israeli kwa kifo cha Yesu

    City man moves to Hague court to seek justice for Jesus The International Court of Justice (ICJ) in The Hague has constituted a panel to hear a case filed by a Nairobian challenging the unfair trial, sentencing, punishment and death of Jesus Christ. Dola Indidis, a lawyer and...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

    Tanzania's Albino Society has accused the government of turning a blind eye to the killing of albinos, after four deaths in the past three months. An albino spokesman said there was a belief that the condition was the result of a curse put on the family. Some witch-doctors also say they can...
Back
Top Bottom