johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Niko naangalia mubashara mwenendo wa kesi ya ufisadi inayomkabili Gavana Sonko wa jiji la Nairobi na wenzake wanaotuhumiwa kufisadi fedha za serikali kwenye manunuzi ya umma. Tukio hili linarushwa live kupitia Citizen Tv.
Hapa Tanzania tunayo mahakama ya mafisadi lakini sijaisikia ikiendesha kesi zaidi ya kuwaona mafisadi wakipandishwa pale Kisutu, tunafeli wapi?
Maendeleo hayana vyama!
Gavana wa Nairobi Mike Sonko wakati wa kusikilizwa kwa dhamana mnamo Desemba 11, 2019.
Hapa Tanzania tunayo mahakama ya mafisadi lakini sijaisikia ikiendesha kesi zaidi ya kuwaona mafisadi wakipandishwa pale Kisutu, tunafeli wapi?
Maendeleo hayana vyama!
Gavana wa Nairobi Mike Sonko wakati wa kusikilizwa kwa dhamana mnamo Desemba 11, 2019.