Naishauri Serikali ya Tanzania, watu wasiruhusiwe kuingia wala kutoka Dar, Arusha na Mwanza

H.T.P

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
1,169
1,298
Huu ni mtazamo wangu katika kuunga mkono juhudi za Serikali kupambana na COVID-19. Watu wasikae ndani moja kwa moja lakini, ili kupunguza kuenea kwa tatizo nchi nzima, ni vizuri Serikali ikaamua watu wa dar wafanyie Shughuli zao Dar, Arusha na Mwanza kadhalika...Hii ni mikoa ya biashara hivyo, kufunga moja kwa moja ni ngumu watu hawalimi wanategemea biashara zao....hivyo pamoja na kuchukua tahadhari lkn wasitoke nje ya hiyo miji na watu wengine wasiingie.

Tukiacha watu waendelee kuingia na kutoka kwenye hii miji, itafika hatua Serikali itapata WAZIMU, pale ambapo mara unasikia watu 10 wamefia Arusha, mara unasikia 100 Tabora, mara 50 Dodoma, mara 200 Chato!! hapo itakua toooo late.

Nafahamu Mh JP alishasema, ukimshauri ndo unaharibu ila, naomba ausikilize huu ushauri wenye nia njema ya kupunguza, maana wala si mzito sana, ukizingatia watu watabaki kwenye miji yao wakiendelea kupiga kazi na kujikinga...japo ilitakiwa wawe NDANI KWENYE NYUMBA ZAO...LAKINI kuzingatia hali dhoofu ya uchumi wetu....walau wabaki mijini kwao wasiendelee kusambaza nchi nzima. SHETANI AKAMWAMBIA YESU JITUPE CHINI MAANA MUNGU ATAKUAGIZIA MALAIKA WAKE WAKUSHIKE WALA MGUU WAKO HAUTADHURIKA...YESU AKAMWAMBIA IMEANDIKWA USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO...TUCHUKUENI TAHADHARI TUACHE KUMJARIBU MUNGU. ASANTENI.
 
Hili janga linachukuliwa kama mzaha bado
Hatua za haraka na ngumu zinatakiwa zichukuliwe kwa kuzuia kuenea kwake
Mtu anaumwa halafu badala ya kukaa nyumbani anaenda hospitali na hii ni hatari zaidi kwani anakopita kote anaacha virusi
Wazo zuri hili ni kufunga tu usafiri ila magari ya mizigo tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
H.T.P,
Ushauri wako ni murua kabisa. Kwamba hadi sasa hawajauona umuhimu huo si wapishe tu watu wengine waongoze vita hivi sasa?

Wanakumbuka hawakufanya la maana hadi ugonjwa ukaingia na sasa ni hivyo hivyo ugonjwa unasambaa wapo tu?

This now is too much.
 
Wazo jema haswa.
Huu ni mtazamo wangu katika kuunga mkono juhudi za Serikali kupambana na COVID-19. Watu wasikae ndani moja kwa moja lakini, ili kupunguza kuenea kwa tatizo nchi nzima, ni vizuri Serikali ikaamua watu wa dar wafanyie Shughuli zao Dar, Arusha na Mwanza kadhalika...Hii ni mikoa ya biashara hivyo, kufunga moja kwa moja ni ngumu watu hawalimi wanategemea biashara zao....hivyo pamoja na kuchukua tahadhari lkn wasitoke nje ya hiyo miji na watu wengine wasiingie.

Tukiacha watu waendelee kuingia na kutoka kwenye hii miji, itafika hatua Serikali itapata WAZIMU, pale ambapo mara unasikia watu 10 wamefia Arusha, mara unasikia 100 Tabora, mara 50 Dodoma, mara 200 Chato!! hapo itakua toooo late.

Nafahamu Mh JP alishasema, ukimshauri ndo unaharibu ila, naomba ausikilize huu ushauri wenye nia njema ya kupunguza, maana wala si mzito sana, ukizingatia watu watabaki kwenye miji yao wakiendelea kupiga kazi na kujikinga...japo ilitakiwa wawe NDANI KWENYE NYUMBA ZAO...LAKINI kuzingatia hali dhoofu ya uchumi wetu....walau wabaki mijini kwao wasiendelee kusambaza nchi nzima. SHETANI AKAMWAMBIA YESU JITUPE CHINI MAANA MUNGU ATAKUAGIZIA MALAIKA WAKE WAKUSHIKE WALA MGUU WAKO HAUTADHURIKA...YESU AKAMWAMBIA IMEANDIKWA USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO...TUCHUKUENI TAHADHARI TUACHE KUMJARIBU MUNGU. ASANTENI.
 
Huu ugonjwa unaweza kuzuilika kabisa. serikali kupitia jeshi wangetengeneza sanitizer gel yakutosha ambayo ingewekwa kwenye vifunganshio mbalimbali vya ujazo mdogo kuanzia ml 50 ambavyo vingeuzwa kwabei elekezi ambayo raia yoyote angeweza kuimudu.
Ndani ya wiki moja kuhakikisha kila mahali iwe imefika naiwe nilazima kwakila mtu atakae kua nje au barabarani nilazima awe nahio sanitizer gel.
Jeshi litumike kuhakikisha hizo sanitizer gel zinapatikana kila mahali kwa bei elekezi. litumike kuhakikisha kila atakae tumia usafir wa uma, machinga, bajaji, napikipik nabiashara yoyote bila kujali ukubwa wake nilazima awe nasanitizer gel.
Ifanyike promo kubwa kutumia wasanii watu maarufu na vyombo vyahabar nchi nzima kua nilazima uwe nahizo sanitizer gel namatumiz yake ilikuzuia maambukiz mapya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
H.T.P,
Ushauri wako ni murua kabisa. Kwamba hadi sasa hawajauona umuhimu huo si wapishe tu watu wengine waongoze vita hivi sasa?

Wanakumbuka hawakufanya la maana hadi ugonjwa ukaingia na sasa ni hivyo hivyo ugonjwa unasambaa wapo tu?

This now is too much.
kwani umezuiliwa kuchukua juhudi kuwakinga WaTZ wenzio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom