Nimepokea baadhi ya message inbox zingine zikinitisha nani kakwambia zingine utaratibu unakamilika kuwapatia kadi soon. Na nyingine ikishukuru kwa kufikisha ujumbe hadharani pengine wakubwa walikuwa hawajui. Tunaiomba serikali tukufu ya Mh. Magufuli iingilie kati upatikanaji wa kadi za bima...
Serikali imesogeza huduma za mawasiliano kwa wananchi wa Chato kwa kuzindua kituo cha Tehama, Telesenta Chato mkoani Geita baada ya kukamilisha usimikaji miundombinu ya mawasiliano kituoni.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe jana alizindua kituo hicho cha Tehama ambacho...
Watu wanahoji kwa nini Rais Magufuli anapeleka maendeleo kwao, Chato na Geita kwa ujumla, kama vile watu wa Chato au Geita hawastahili kupata maendeleo, sasa asipeleke Chato apeleke wapi?
Unapokuja kwenye rasilimali za nchi hii haziko kwenye mgawanyo sawa, kuna mahala pengine utafikiri sio...
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inatarajia kufungua kitengo cha tiba za mifupa na misuli katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mara Kwangwa mara hospitali hiyo itakapokamilika kujengwa.
Akizungumza mara baada ya kukagua ujenzi wa hospitali hiyo iliyopo Manispaa ya Musoma mkoani...
Yaani hadi najuta sijui ni kwanini nimekuwa Mpayapaya/ Masikini/ Mbayuwayu hivi kiasi kwamba miaka yangu nenda rudi nashindwa kupata Kipato cha hata Kununua tu ‘ Simenti ‘ mfuko Mmoja ili name nianze Ujenzi wa Kujenga ‘ Kakibanda ‘ Kangu niondokane na ‘ manyanyaso ‘ ya ‘ Kimakusudi ‘ kabisa...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika, amepiga marufuku viongozi wa Serikali kuzuia barua za watumishi kufika eneo linalohusika na kwamba hata kama inakwenda kwake ni lazima iachwe na imfikie.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametaka gereji nchini kurasimishwa na kuwa sekta rasmi huku akihimiza mafundi waliokaa muda mrefu gereji kupatiwa vyeti kutokana na kuwa na ujuzi wa kutosha.
Chanzo Habari: Azam Tv
Endeleeni tu kuwafanya Watanzania wote (hasa wale wa Dar es Salaam ni...
Baada ya Rais wetu mpendwa Dk. Magufuli kutimiza ndoto ya baba wa taifa ya kuhamia Dodoma ni wakati sasa wa kufikiria ndoto ya pili ya Mwalimu Nyerere ya kuwa na muungano wa serikali moja.
Dodoma ni katikati ya ramani ya muungano wetu hivyo serikali kuhamia katika jiji hilo ni ishara nzuri ya...
Uchaguzi wa serikali za mitaa umefanyika mwezi uliopita. Naamini kila mmoja wetu anatambua kilichotokea hakuna haja kurudia kuandika hapa.
Ninaamini kwa dhati kabsa kuna viongozi walioenguliwa kwenye vinyang'anyiro either kwa hujuma or kwa kutoelimishwa au kupewa semina namna ya kujaza kwa...
Serikali imewakataza wafugaji kuweka alama kwenye ngozi za mifugo yao hasa ng’ombe kwani kufanya hivyo kunashusha thamani ya ngozi za Tanzania, na badala yake imewataka waweke alama za hereni kwenye masikio ya mifugo yao ili kulinda ubora wa ngozi za mifugo yao.
Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu...
Bunge la Liberia laitishwa kwa dharura Rais George Weah wa Liberia amewaomba Wabunge wa Bunge la nchi hiyo kukatisha likizo yao na kukutana kwa dharura kujadili mambo muhimu yanayolihusu Taifa hilo likiwemo lile linaloelezwa kuwa ni ukosefu wa fedha.
Taarifa iliyotolewa na Bunge la Liberia...
Mfano mtu anaamua kabisa kwenda public kwamba anatangaza vita dhidi ya Serikali iliyopo Madarakani na lengo lake ni kuiondoa (Serikali) Madarakani kwa nguvu, hayo ni mapinduzi, je Serikali haina haki ya self defense dhidi ya hao watu? Je, ni kosa kwa Serikali kufanya, preemptive strike before...
Chama cha UPDP kimemvua madaraka Mwenyekiti wake mzee Dovutwa baada ya kuvunja katiba ya chama hicho.
Dovutwa aliungana na Mbowe wa Chadema kujitoa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa ilhali katiba ya UPDP haina kipengere kinachoruhusu chama chao kujitoa kwenye uchaguzi wowote.
Dovutwa...
Gharama za fremu za biashara haziko rafiki kwa mfanyabishara na TRA pia Kodi sio rafiki kabisa Ni pepo ibilisi.
TRA na Wenye fremu na wapangisha majengo ya maduka ndio chanzo kikuu Cha kufungwa biashara nyingi na kuzuia biashara mpya na viwanda vipya kuanza.
Hawa wawili ndio mashetani...
Wazee tunaikumbuka hii? Ilianza kama utani, c lakini sio utani kwa akili ya mwanzilishi mwenyewe wa pesa za digitali. Lengo la Satoshi Nakamoto mwanzilishi wa pesa ya digitali ya bitcoin ni kuleta dunia yenye pesa ambayo haiko chini ya chombo chochote au serikali duniani. Kusudi lingine ni...
Ccm ina viwanja vimetapakaa nchi nzima, lakini vingi vina hali mbaya. Chama chetu hakina fedha za ukarabati.
Viwanja kama CCM Kirumba, Kaitaba na vingine vingi, kabla ya mfumo wa vyama vingi, tulitegemea fedha za serikali.
Kwa sasa njia pekee ni kuhamishia sherehe za kitaifa katika viwanja...
Vitimbi na vituko vikivyotokea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, mpaka kupelekea CCM kudai kushinda kwa asilimia mia moja serikali za mitaa na 99.8 vijiji.
Hizo ni njama zilizopangwa kuwahadaa Watanzania na ulimwengu wa kimataifa ionekane kuwa CCM na Rais Magufuli wanakubalika sana hivyo...
Baadhi ya madhara ya uwepo wa viongozi haramu walioteuliwa na serikali kimabavu katika ngazi ya serikali za mitaa.
1. Shughuli za kijamii katika vijiji, mitaa, vitongoji kukwama kwa kupata upinzani wa wananchi.
2. Viongozi hawa haramu kuwaogopa wananchi, hivyo kuathiri watendaji wao.
3...
Serikali ya mpito nchi Sudan imekifutilia mbali Chama cha NCP kilichokuwa kikiongozwa na dikteta Omar Al Bashir, ikiwa ni katika juhudi za kuleta amani ya kweli nchini humo, lengo ni kuondoa vimelea vyote vya udikteta .
Hili ni onyo kwa vyama vingine vya kidikteta barani Africa, kwamba...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imefanikiwa kukusanya mikopo iliyoiva yenye thamani ya shilingi bilioni 183.3 sawa na asilimia 116.2 ya lengo la kukusanya shilingi bilioni 157.7.
“Natambua kwamba baadhi ya wahitimu wamepata mkopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, hivyo natumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.