Je, Msemaji wa Ikulu anaruhusiwa post taarifa bila kupata kibali cha Msemaji Mkuu wa Serikali?

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,219
Ndugu zangu naomba kupata elimu na hii ni baada ya matukio kadhaa yanayotokea nakutuchanganya kidogo. Hivi Msemaji Mkuu wa Ikulu anaweza post kitu au maudhui yanayo muhusu Rais wa nchi bila pata kibali cha Msemaji Mkuu wa Serikali?

Pili Je ni sahihi kwa msemaji wa Ikulu kupost au kuweka maudhui yanayo muhusu Rais wa nchi bila kuwa kwanza yamepostiwa kwenye Ikulu tovuti au msemaji mkuu wa serikali? Au kwenye ukurasa wa Rais binafsi?

Je ni sahihi kutengeneza maudhui yeyote iwe yakibunifu au vyovyote vile yanahusu serikali na Rais na kupost bila kuwa yamefanyiwa check na balance na msemaji mkuu wa serikali au muhariri?

Naomba kutolewa matongotongo.
 
Sijui ila binafsi Naona ni muhimu sana kuwa na internal communication system, Makonda nae anahitaji kuwa na mhariri kabla ya kupost.

*MKOA WA DAR ES SALAAM KUONGEZA VITUO VYA AFYA NA HOSPITALI KUPAMBANA NA CORONA*

*Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam imeongeza vituo vya Afya (25)* Kwa Mkoa mzima, ambavyo vitaanza kuhudumia wagonjwa kesho tarehe *15.04.2020* ili kuongeza nguvu katika kubaini wangonjwa wenye maambukizi ya virusi vya Corona
Hii ni baada ya kuwepo kwa wananchi wanaokwenda vituo vya afya na zahanati mbalimbali au kulazimika kununua dawa baada ya kupata *homa au kujisikia vibaya* na badae kukutwa wameathirika na Corona,

Hali hii *inaongeza idadi kubwa ya watu kuwekwa karantini* huku tukipoteza nguvu kazi ya wataalamu wetu wa *Afya* wakiwa miongoni mwakundi la watu waliyoambukizwa.

*Vituo hivyo vya afya, Zahanati, pamoja na hospitali* zitampokea mgonjwa mwenye dalili zote za *ugonjwa wa Corona,* kama vile homa Kali, mafua makali, n.k na kumchukulia vipimo badae watakapobaini hana *malaria au maradhi mengine,* watafanya mawasiliano moja Kwa moja na *mahabara kuu ya Taifa* ili kuja kuchukua *sampuli* na baadae kupima *virusi vya Corona.*

Hatua hii ni *kuhakikisha mtu yeyote atakayebainika na Corona* kusahidiwa na kuzuia kuendelea kuambukiza watu wengine, ikiwemo pia na kulinda wataalamu wetu wanaotoa *huduma za Afya wasipate maambukizi

*Sambamba na hilo mtu huyo* atalazimika kukaa katika kitu hicho cha afya mpaka pale *mahabara kuu ya Taifa* itakapodhiirisha *Hana Corona atachiwa kuendelea na shughuli zake*, na akikutwa na corona utapelekwa sehemu usika zilizotegwa kuwahudumia watu wenye *ugonjwa wa Corona.*

*Pamoja na kuwa na mgawanyo wa vituo vya afya * kila wilaya kama mkoa tumetengeneza *timu tano* kila *wilaya* na kazi yake ni kuja *kukuhudumia popote pale* unapopiga simu, unaweza kushidwa kutoka nyumbani kuja hospitali hivyo watafika *haraka sana.*
Napenda kushukuru sana, serikali ya *Mh. Rais Dr. John Pombe* Magufuli, Kwa kutoa kipaumbele Kwa mkoa wa Dar es salaam, Kwa kutupatia *magari ya kubeba wagonjwa* mawili mawili *(2)* kila wilaya na magali mengine mawili mawili *(2)* ya wataalamu wetu wa Afya *kila wilaya.*

Pia tunaendelea kumshukuru *Waziri wa afya* Kwa kutoa *vitendea kazi mbalimbali* Kwa Mkoa wa Dar es Salaam.

*Mwisho,* nawasihi wananchi wa Dar es salaam *kuzingatia mambo makuu matatu* *moja* nikujenga mahusiona makubwa na *mungu* wetu pasina mungu hatuwezi kushida hii vita, *pili* kuchukua taadhari zinazotolewa na wataalamu wetu wa Afya, *tatu* nikuendelea kuchapa kazi na kueneza habari njema zinazotoa hofu Kwa watu wetu.

Mh. Paul Makonda

*Mkuu wa Mkoa Wa Dar es Salaam*

14. 04.2020
*👇🏿👇🏿 Fungua kuona orodha ya vituo vya afya kila wilaya*
 
Sijui ila binafsi Naona ni muhimu sana kuwa na internal communication system, Makonda nae anahitaji kuwa na mhariri kabla ya kupost.

*MKOA WA DAR ES SALAAM KUONGEZA VITUO VYA AFYA NA HOSPITALI KUPAMBANA NA CORONA*

*Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam imeongeza vituo vya Afya (25)* Kwa Mkoa mzima, ambavyo vitaanza kuhudumia wagonjwa kesho tarehe *15.04.2020* ili kuongeza nguvu katika kubaini wangonjwa wenye maambukizi ya virusi vya Corona
Hii ni baada ya kuwepo kwa wananchi wanaokwenda vituo vya afya na zahanati mbalimbali au kulazimika kununua dawa baada ya kupata *homa au kujisikia vibaya* na badae kukutwa wameathirika na Corona,

Hali hii *inaongeza idadi kubwa ya watu kuwekwa karantini* huku tukipoteza nguvu kazi ya wataalamu wetu wa *Afya* wakiwa miongoni mwakundi la watu waliyoambukizwa.

*Vituo hivyo vya afya, Zahanati, pamoja na hospitali* zitampokea mgonjwa mwenye dalili zote za *ugonjwa wa Corona,* kama vile homa Kali, mafua makali, n.k na kumchukulia vipimo badae watakapobaini hana *malaria au maradhi mengine,* watafanya mawasiliano moja Kwa moja na *mahabara kuu ya Taifa* ili kuja kuchukua *sampuli* na baadae kupima *virusi vya Corona.*

Hatua hii ni *kuhakikisha mtu yeyote atakayebainika na Corona* kusahidiwa na kuzuia kuendelea kuambukiza watu wengine, ikiwemo pia na kulinda wataalamu wetu wanaotoa *huduma za Afya wasipate maambukizi

*Sambamba na hilo mtu huyo* atalazimika kukaa katika kitu hicho cha afya mpaka pale *mahabara kuu ya Taifa* itakapodhiirisha *Hana Corona atachiwa kuendelea na shughuli zake*, na akikutwa na corona utapelekwa sehemu usika zilizotegwa kuwahudumia watu wenye *ugonjwa wa Corona.*

*Pamoja na kuwa na mgawanyo wa vituo vya afya * kila wilaya kama mkoa tumetengeneza *timu tano* kila *wilaya* na kazi yake ni kuja *kukuhudumia popote pale* unapopiga simu, unaweza kushidwa kutoka nyumbani kuja hospitali hivyo watafika *haraka sana.*
Napenda kushukuru sana, serikali ya *Mh. Rais Dr. John Pombe* Magufuli, Kwa kutoa kipaumbele Kwa mkoa wa Dar es salaam, Kwa kutupatia *magari ya kubeba wagonjwa* mawili mawili *(2)* kila wilaya na magali mengine mawili mawili *(2)* ya wataalamu wetu wa Afya *kila wilaya.*

Pia tunaendelea kumshukuru *Waziri wa afya* Kwa kutoa *vitendea kazi mbalimbali* Kwa Mkoa wa Dar es Salaam.

*Mwisho,* nawasihi wananchi wa Dar es salaam *kuzingatia mambo makuu matatu* *moja* nikujenga mahusiona makubwa na *mungu* wetu pasina mungu hatuwezi kushida hii vita, *pili* kuchukua taadhari zinazotolewa na wataalamu wetu wa Afya, *tatu* nikuendelea kuchapa kazi na kueneza habari njema zinazotoa hofu Kwa watu wetu.

Mh. Paul Makonda

*Mkuu wa Mkoa Wa Dar es Salaam*

14. 04.2020
* Fungua kuona orodha ya vituo vya afya kila wilaya*
Nifungue wapi?

"corona ipo tuchukue tahadhari"
 
Ndugu zangu naomba kupata elimu na hii ni baada ya matukio kadhaa yanayotokea nakutuchanganya kidogo. Hivi msemaji mkuu wa ikulu anaweza post kitu au maudhui yanayo mihusu Rais wa nchi bila pata kibali cha msemaji mkuu wa serikali?

Pili je ni sahihi kwa msemaji wa ikulu kupost au kuweka maudhui yanayo muhusu Rais wa nchi bila kuwa kwanza yamepostiwa kwenye ikulu tovuti au msemaji mkuu wa serikali? Au kwenye ukurasa wa Rais binafsi?

Je ni sahihi kutengeneza maudhui yeyote iwe yakibunifu au vyovyote vile yanahusu serikali na Rais nakupost bila kuwa yamefanyiwa check na balance na msemaji mkuu waserikali au muhariri?

Naomba kutolewa matongotongo.
Mkuu Tumaini, japo sijui kumetokea nini ila kufuatia mimi kuwahi kufanya kazi Serikalini kwa miaka 10, (RTD miaka 5 na TBC miaka 5), nikueleza tuu mfumo wa Mawasiliano Serikalini.

Mfumo wa Mawasiliano Serikalini uko kwa pyramid scheme, Top wa Mawasiliano Serikalini ni Msemaji Mkuu wa Serikali, yeye atatoa taarifa zote za serikali as serikali kwa ujumla wake. Chini wake wako Wazungumzaji wakuu ni wakuu wa hizo Taasisi wakisaidiwa na wasemaji wao, tukianzia kwa rais, Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu itatoa habari zote zinazohusu rais bila kibali chochote na pyramid hiyo inakwenda ikipanuka kwa kushuka chini tukianzia kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Ofisi ya Makamo wa rais nayo ina ofisa habari wake, Ofisi ya Waziri Mkuu ina Ofisa habari wake, Wizara zote, Wakala zote, na idara zote zinazojitegemea, MDAs zina vitengo vya habari, mikoa hadi wilaya zina vitengo vyake vya habari ambavyo vyote vinajitegemea kwa maofisa habari wote kutoa habari za sehemu husika kwa approval ya Mkuu tuu wa sehemu yake, halafu Msemaji Mkuu wa Serikali anakuwa copied.

Utoaji habari serikali hapa kwetu bado uko very poor poor kutokana na mapungufu ya vitendea kazi, uwezo duni wa maofisa habari, na uoga tuu wa utiaji habari, ilitakiwa kila ofisa habari wa Serikali awe equipped na vifaa vya kisasa, na kuwa kuwe na uwezo wa kuwa msemaji wa taasisi husika na ku pitch story moja kwa moja from hoses mouth into the newsroom.

Mfano Gerson Msingwa ana uwezo wa kuitisha press conference na kuongea yeye kwa niaba ya rais, sio lazima kila kitu cha Ikulu na mpaka the rais au Katibu Mkuu Kiongozi aseme, Msigwa tuu mwenyewe anatoaha na anaweza kama alivyokuwa akifanya Patrick Chokala. Tangu Msigwa amekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, anatoa tuu press releases only, wakati zilipaswa kuandamana na pitch story kwenye taarifa zetu za habari tunajiunga na Ikulu story za Ikulu Msigwa anaripoti.

The same applies kwa maofisa habari wengine wote wawe na vifaa na uwezo wa wap kuripoti direct to newsroom na sio kuwategemea waandushi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari ndio wawaripotie.

Jukumu la msemaji Mkuu wa Serikali libaki kuzungumzia matukio ya kitaifa kama hili la Corona

P
 
TumainiEl,
Swali haliwezi kuulizwa na mtu hasiyekuwa na interest. Angalia job descriptions za hao wawili na policy ya serikali juu ya mawasiliano na umma.
 
Sijui ila binafsi Naona ni muhimu sana kuwa na internal communication system, Makonda nae anahitaji kuwa na mhariri kabla ya kupost.

*MKOA WA DAR ES SALAAM KUONGEZA VITUO VYA AFYA NA HOSPITALI KUPAMBANA NA CORONA*

*Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam imeongeza vituo vya Afya (25)* Kwa Mkoa mzima, ambavyo vitaanza kuhudumia wagonjwa kesho tarehe *15.04.2020* ili kuongeza nguvu katika kubaini wangonjwa wenye maambukizi ya virusi vya Corona
Hii ni baada ya kuwepo kwa wananchi wanaokwenda vituo vya afya na zahanati mbalimbali au kulazimika kununua dawa baada ya kupata *homa au kujisikia vibaya* na badae kukutwa wameathirika na Corona,

Hali hii *inaongeza idadi kubwa ya watu kuwekwa karantini* huku tukipoteza nguvu kazi ya wataalamu wetu wa *Afya* wakiwa miongoni mwakundi la watu waliyoambukizwa.

*Vituo hivyo vya afya, Zahanati, pamoja na hospitali* zitampokea mgonjwa mwenye dalili zote za *ugonjwa wa Corona,* kama vile homa Kali, mafua makali, n.k na kumchukulia vipimo badae watakapobaini hana *malaria au maradhi mengine,* watafanya mawasiliano moja Kwa moja na *mahabara kuu ya Taifa* ili kuja kuchukua *sampuli* na baadae kupima *virusi vya Corona.*

Hatua hii ni *kuhakikisha mtu yeyote atakayebainika na Corona* kusahidiwa na kuzuia kuendelea kuambukiza watu wengine, ikiwemo pia na kulinda wataalamu wetu wanaotoa *huduma za Afya wasipate maambukizi

*Sambamba na hilo mtu huyo* atalazimika kukaa katika kitu hicho cha afya mpaka pale *mahabara kuu ya Taifa* itakapodhiirisha *Hana Corona atachiwa kuendelea na shughuli zake*, na akikutwa na corona utapelekwa sehemu usika zilizotegwa kuwahudumia watu wenye *ugonjwa wa Corona.*

*Pamoja na kuwa na mgawanyo wa vituo vya afya * kila wilaya kama mkoa tumetengeneza *timu tano* kila *wilaya* na kazi yake ni kuja *kukuhudumia popote pale* unapopiga simu, unaweza kushidwa kutoka nyumbani kuja hospitali hivyo watafika *haraka sana.*
Napenda kushukuru sana, serikali ya *Mh. Rais Dr. John Pombe* Magufuli, Kwa kutoa kipaumbele Kwa mkoa wa Dar es salaam, Kwa kutupatia *magari ya kubeba wagonjwa* mawili mawili *(2)* kila wilaya na magali mengine mawili mawili *(2)* ya wataalamu wetu wa Afya *kila wilaya.*

Pia tunaendelea kumshukuru *Waziri wa afya* Kwa kutoa *vitendea kazi mbalimbali* Kwa Mkoa wa Dar es Salaam.

*Mwisho,* nawasihi wananchi wa Dar es salaam *kuzingatia mambo makuu matatu* *moja* nikujenga mahusiona makubwa na *mungu* wetu pasina mungu hatuwezi kushida hii vita, *pili* kuchukua taadhari zinazotolewa na wataalamu wetu wa Afya, *tatu* nikuendelea kuchapa kazi na kueneza habari njema zinazotoa hofu Kwa watu wetu.

Mh. Paul Makonda

*Mkuu wa Mkoa Wa Dar es Salaam*

14. 04.2020
*👇🏿👇🏿 Fungua kuona orodha ya vituo vya afya kila wilaya*
Aisee, si mchezo! Huyo ni Mkuu wa Mkoa katiririka hivyo? Watani zangu Wasukuma sijui wanakwama wapi....

Aione mtani na kaka yangu Pascal Mayalla, Nyani Ngabu na Wangari Maathai
 
Elli Mshana,
"Mahabara ndio nini?" Me nadhani watu waendelee kuchukua tahadhali nakupatiwa elimu sahihi hili swala lamahusiano na Mungu sidhani kama ni ujumbe mahususi kwa wakati huu viongozi wetu wafikishe ujumbe sahihi na msisitizo nikuepuka misongamano isiyo ya lazima
 
Mkuu Tumaini, japo sijui kumetokea nini ila kufuatia mimi kuwahi kufanya kazi Serikalini kwa miaka 10, (RTD miaka 5 na TBC miaka 5), nikueleza tuu mfumo wa Mawasiliano Serikalini.

Mfumo wa Mawasiliano Serikalini uko kwa pyramid scheme, Top wa Mawasiliano Serikalini ni Msemaji Mkuu wa Serikali, yeye atatoa taarifa zote za serikali as serikali kwa ujumla wake. Chini wake wako Wazungumzaji wakuu ni wakuu wa hizo Taasisi wakisaidiwa na wasemaji wao, tukianzia kwa rais, Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu itatoa habari zote zinazohusu rais bila kibali chochote na pyramid hiyo inakwenda ikipanuka kwa kushuka chini tukianzia kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Ofisi ya Makamo wa rais nayo ina ofisa habari wake, Ofisi ya Waziri Mkuu ina Ofisa habari wake, Wizara zote, Wakala zote, na idara zote zinazojitegemea, MDAs zina vitengo vya habari, mikoa hadi wilaya zina vitengo vyake vya habari ambavyo vyote vinajitegemea kwa maofisa habari wote kutoa habari za sehemu husika kwa approval ya Mkuu tuu wa sehemu yake, halafu Msemaji Mkuu wa Serikali anakuwa copied.

Utoaji habari serikali hapa kwetu bado uko very poor poor kutokana na mapungufu ya vitendea kazi, uwezo duni wa maofisa habari, na uoga tuu wa utiaji habari, ilitakiwa kila ofisa habari wa Serikali awe equipped na vifaa vya kisasa, na kuwa kuwe na uwezo wa kuwa msemaji wa taasisi husika na ku pitch story moja kwa moja from hoses mouth into the newsroom.

Mfano Gerson Msingwa ana uwezo wa kuitisha press conference na kuongea yeye kwa niaba ya rais, sio lazima kila kitu cha Ikulu na mpaka the rais au Katibu Mkuu Kiongozi aseme, Msigwa tuu mwenyewe anatoaha na anaweza kama alivyokuwa akifanya Patrick Chokala. Tangu Msigwa amekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, anatoa tuu press releases only, wakati zilipaswa kuandamana na pitch story kwenye taarifa zetu za habari tunajiunga na Ikulu story za Ikulu Msigwa anaripoti.

The same applies kwa maofisa habari wengine wote wawe na vifaa na uwezo wa wap kuripoti direct to newsroom na sio kuwategemea waandushi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari ndio wawaripotie.

Jukumu la msemaji Mkuu wa Serikali libaki kuzungumzia matukio ya kitaifa kama hili la Corona

P
Thanks very much P, sasa naomba niongezee swali ina maana ili kupata habari za ikulu lazima uwe karibu na Msigwa twite na sio kurugenzi ya mawasiliano ikulu twite? yes /no
 
Thanks very much P, sasa naomba niongezee swali ina maana ili kupata habari za ikulu lazima uwe karibu na Msigwa twite na sio kurugenzi ya mawasiliano ikulu twite? yes /no
Official news za rais ni twite ya Ikulu, halafu Msingwa pia yuko huru kutweet kama Michuzi anavyotupia kule globu ya jamii.
P
 
Back
Top Bottom