Katibu mkuu mteule wa CHADEMA Mh Mnyika amesema msiba wa mama Erick Kabendera uwe ni somo kwamba kuna haja ya Serikali kupeleka bungeni muswada wa sheria utakaotoa nafuu kwa mahabusu kuwazika wapendwa wao pale wanapofiwa.
Chanzo: ITV Habari
Maendeleo hayana vyama!
Hili ni kwa serikali na watunga Sera wa Taifa hili. Kuna tafiti moja nilikuwa nasoma imefanywa na Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, nimeshangaa kuona hili tatizo lilipofikia. Sio kwamba nilikuwa sijui bali tatizo ni kubwa na vijana waliohitimu vyuo vya elimu ya juu kwa maelfu hawana...
Imesema endapo msanii yeyote atabainika anajihusisha na shughuli hizo bila kuwa na usajili, atachukuliwa hatua kali za kisheria.
Katibu Mtendaji wa Basata, Godfrey Mngereza, alisema hayo jana wakati wa ufunguzi wa kongamano la Fursa kwa Wasanii wa Wilaya ya Siha lililofanyika katika ukumbi wa...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia ABRAHAM OBEDI [55] wakala wa bima ya GTM na Mkazi wa Isanga Jijini Mbeya akiwa na mihuri hamsini na sita [56] ya idara mbalimbali za serikali na ofisi binafsi ambayo imeghushiwa na kuhifadhiwa katika ofisi yake ya Stationaries.
Mtuhumiwa alikamatwa...
Kama ni walimu wote wamesoma chuo kimoja na wale wa private lakini matokeo tofauti. Tatizo liko wapi? Nashangaa sana jambo hili watoto wanafeli hakuna mfano.
Mwalimu anafundisha Primary lakini mtoto wake yupo shule private, Mwalimu mwingine anafundisha Secondary lakini mtoto wake anasoma Feza...
Kuna maana gani viongozi wa Serikali, bunge na vyama vya siasa kusomesha watoto wao English medium schools halafu wanaacha watoto wa wengine wasome Swahili medium? Huu ni unafiki mkubwa.
Badilisheni shule zote za Serikali ziwe English medium.
Wanafiki wakubwa nyie msio na haya
Hizi ndizo...
Habari za uzushi za kutekwa kwa mdhibiti mkuu wa fedha za serikali wa zamani Profesa Assad zimezusha taharuki kubwa.
Na mpaka ilipoibuka video mitandaoni ambapo Profesa Assad anaonekana yupo salama na mwenye afya njema, watu wengi waliingiwa na hofu kubwa.
Ifikapo tarehe 31 Desemba mwaka huu...
Habari za sikukuu?
Natambua kwamba kwa watanzania wengi hii ni siku kama siku nyingine na kwamba maisha yanaendelea kama kawaida. Natambua pia kwamba kuna ambao wako katika huzuni na pia wapo ambao wako katika furaha. Hayo ndio maisha na inabidi tukubaliane na hali halisi kabla ya kuanza...
Naandika waraka huu mfupi nikitambua kuwa kuna watu leo katika Nchi hii hawataki kusikia mawazo mbadala wala kukosolewa kwa mwenendo wa Serikali ya Awamu ya Tano.
Mhe.Rais Magufuli chukua muda sikiliza pia mawazo mbadala kutoka kwa watu ambao hawakusifii tu!
Mhe.Rais Mstaafu Benjamin Mkapa...
Niliingia mkataba na Kamati ya ujenzi kwa niaba ya halimashauri wa kujenga wodi ya wazazi kwenye kituo cha afya. Mkataba ulikuwa nijenge jengo kwa miezi mitatu.
Mimi kazi yangu ilikuwa kujenga na wao Kamati walete vifaa na kunilipa labour charge.
Sasa kazi imesimama ni mwezi wa tisa sasa...
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati Mh Kalemani akiwa ziarani kikazi huko mkoani Tabora , Mh Kalemani amesema kwamba haiwezekani mtu yeyote kushindwa kulipa gharama ya kuwekewa umeme huo ambayo ni Tsh 27, 000/= kwa kisingizio chochote kile.
Mh Waziri amedai serikali inafikiria kuwawekea...
Hivi karibuni niliandika kuhusu chuki inavyoshamiri kila kona. Leo naangalia tena ni chuki gani inaendelea kukua. Zimebaki siku 9 tu tufunge Mwaka huu tuufikie mwaka wa Uchaguzi.
Hivi karibuni nimewaona Chama cha Upinzani wamefanya Uchaguzi wao ambapo viongozi waliotokeza kuongoza Chama...
Si jingine ni hili la mitandao ya simu inayotoa huduma za kifedha kupandisha kiholela gharama za kutuma na kutoa pesa.
Tumefika huku jamaniiii. Zamani ilikuwa unaweza kutoa kwenye 5000 ukapata 4500. Siku hizi ni BUKU MZEE WANAKATA BUKU KABISA.
WAMEPANDISHA MARA MBILI.
Au mnaonaje wadau...
Wakazi wa Mtumba wakimzika marehemu Edward Mabumba ambaye msiba wake umekuwa wa watu 55 kulazwa hospitali baada ya kudaiwa kula chakula chenye sumu. Picha na Habel Chidawali
Dodoma. Serikali imetoa amri ya muda kuzuia mikusanyiko kwenye misiba mtaa wa Mtumba jijini hapa. Amri hiyo inawataka...
Mtandao wa kijamii wa Twitter umesema leo kuwa umezifuta akaunti 6,000 zilizokuwa sehemu ya juhudi kubwa ya serikali ya Saudi Arabia na watu binafsi ya kutanua maslahi ya kisiasa na kieneo ya taifa hilo.
Twitter imesema akaunti hizo zimekuwa zikisambaza maudhui ya kupigia upatu mamlaka za...
Dodoma 20, 2019
WAZIRI MPANGO: Baada ya Uchumi wa Tanzania 'kufanya vizuri' kumepelekea Kupungua kwa misaada na kumeathiri baadhi ya miradi ya maendeleo nchini
Serikali imesema kupungua kwa misaada ya maendeleo kumeathiri baadhi ya vyanzo vya ugharamiaji wa miradi ya maendeleo nchini na hivyo...
Tuna vijana wengi wamemaliza darasa la saba, kidato cha nne, kidato cha tano, chuo, n.k. wana moto na hali ya kufanyakazi lakini kazi za kufanya za kujenga jamii au taifa huku wakijipatia kipato ziko wapi? Kisayansi: kazi (Work) = Force (kani) X Distance ( Umbali).
Ikiwa na maana ukiburuza...
Kuna wakati ukivifikiria hivi vyama vya upinzani unaelewa ni kwanini CCM inaweza kuongoza hii nchi kwa namna inavyotaka.
KUB anaomba eti NEC ndio isimamie uchaguzi wa serikali za mitaa badala ya waziri wa Tamisemi.......yaani anaamini hapo ndio haki itatendeka.
Binafsi sioni tofauti kati ya...
Rais wa Tanzania, John Magufuli amewataka wananchi kujihadhari kujenga nyumba kwenye maeneo ambayo kuna mkondo wa maji.
Mkuu huyo wa nchi ametoa tahadhari hiyo leo Jumatano Desemba 18, 2019 wakati anazindua mradi wa Visima vya maji Chato na kuzungumza na wananchi wa Chato katika uwanja wa Shule...
Serikali imezindua mkakati wa taifa wa awamu ya pili wa miaka 10, wa kuendeleza zao la mpunga nchini ili kuhakikisha wanafikia hekta milioni moja ifikapo mwaka 2025.
Hayo yalibainishwa jana na Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga, ambapo alisema lengo ni kuona wanaongeza uzalishaji wa zao la mpunga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.