YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,905
Migonjwa ya kuua kibao imeshatokea kiwe kipindupindu,malaria ,degedege ,ukimwi no lakini hiyo.migonjwa inaua lakini kina inaowrsa kuua na wengine wanabaki imeshindwa kuua wote sembuse corona?
Siku ya kifommtu Kama umeandikiwa kufa ikifika siku yako hata uvae barakoa kuikwepa corona isikuue waweza gongwa na daladala au bodaboda ukafa na kibarakoa chako ukiwa umevaa
Tuchukue tahadhali na kusikiliza wataalamu lakini sio tuogope corona Kama vile ndio ugonjwa wa kwanza kuua
Zimeua dengue lakini hazikuua watu wote kwa wengine zilikwaa kisiki Ebola iliua watu kibao lakini haikuua wote ikakwaa kisiki kwa wengine
Sembuse corona eti ooh tu ji lockdown kwani corona ndio ugonjwa wa kwanza kuua watu duniani?
Tuchukue tahadhali tahadhari lakini tusitishane
Heri mtu afe kwa corona kuliko afe njaa kwa lockdown .kuta njaa ni kujitakia lakini kufa kwa corona ni mambo ya mwenyezi Mungu siku ikifika aweza amua akuchukuaje akuchukue kwa ajali, kipindupindu au corona?
I don't fear corona I only fear God kiswahili siigopi corona hata kidogo namuogopa mwezi Mungu tu
Siku ya kifommtu Kama umeandikiwa kufa ikifika siku yako hata uvae barakoa kuikwepa corona isikuue waweza gongwa na daladala au bodaboda ukafa na kibarakoa chako ukiwa umevaa
Tuchukue tahadhali na kusikiliza wataalamu lakini sio tuogope corona Kama vile ndio ugonjwa wa kwanza kuua
Zimeua dengue lakini hazikuua watu wote kwa wengine zilikwaa kisiki Ebola iliua watu kibao lakini haikuua wote ikakwaa kisiki kwa wengine
Sembuse corona eti ooh tu ji lockdown kwani corona ndio ugonjwa wa kwanza kuua watu duniani?
Tuchukue tahadhali tahadhari lakini tusitishane
Heri mtu afe kwa corona kuliko afe njaa kwa lockdown .kuta njaa ni kujitakia lakini kufa kwa corona ni mambo ya mwenyezi Mungu siku ikifika aweza amua akuchukuaje akuchukue kwa ajali, kipindupindu au corona?
I don't fear corona I only fear God kiswahili siigopi corona hata kidogo namuogopa mwezi Mungu tu